ヤコブの手紙 3 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

ヤコブの手紙 3:1-18

3

舌をコントロールする

1愛する皆さん。みなが教師のようになって、人の欠点をあげつらってはいけません。自分も欠点だらけではありませんか。人よりもすぐれた判断力を持つべき私たち教師がもし悪を行うなら、ほかの人よりはるかにきびしいさばきを受けるのです。 2また、ことばを制御できる人は、すべての点で自分を完全に制することができる人です。 3馬を御したい時は、口に小さなくつわをかけるだけでよいのです。 4また大きな船も、小さなかじ一つで、どんな嵐の中でも思いのままに進路を変えることができます。

5同様に舌もちっぽけなものですが、使い方を誤ると、途方もなく大きな害を生じます。小さな火が大きな森林を焼き尽くします。 6舌は火と同じように、悪の炎で体全体を毒し、私たちの人生を滅びと災いの炎で焼き尽くすのです。 7人間は、あらゆる獣、鳥、魚、地をはうものを、思いのままに支配しています。 8しかし、自分の舌だけは思いどおりにできません。舌はいつでも、死の毒を吐き出そうと待っているのです。

9私たちはこの舌で、天の父なる神をほめたたえ、同じ舌で、神にかたどって造られた人間をのろいます。 10賛美とのろいが同じ人の口から出るのです。愛する皆さん。こんなことがあってはなりません。 11同じ泉の水が甘くなったり、苦くなったりするでしょうか。 12いちじくの木にオリーブの実がなったり、ぶどうの木にいちじくの実がなったりするでしょうか。塩水の池から、真水を汲むこともできません。

13良い生き方をする人は、柔和な行いを身につけた、知恵のある賢い人です。 14しかし、もし自分にねたみや敵対心があるなら、決してその知恵をひけらかしてはいけません。それは偽善です。 15ねたみや敵対心は、神からの知恵ではなく、この世のものであり、真理に逆らう悪霊から来るものです。 16ねたみや敵対心のうず巻くところでは、秩序が乱れ、あらゆる悪がはびこっています。 17しかし、神からの知恵は純粋であり、平和とおだやかなやさしさに満ち、思いやりと良い実に満ちています。 18また、偏見や偽善がありません。平和をつくる人は、平和の種をまいて、義の実を結ばせるのです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yakobo 3:1-18

Kuufuga Ulimi

13:1 1Fal 8:46; 1Yn 1:8; Mit 10:19; 1Pet 3:10; Mt 12:37; Yak 1:26Ndugu zangu, msiwe walimu wengi, kwa maana mnafahamu kwamba sisi tufundishao tutahukumiwa vikali zaidi. 23:2 Za 12:3, 4; 73:8, 9Sisi sote tunajikwaa katika mambo mengi. Ikiwa mtu yeyote hakosei kamwe katika yale anayosema, yeye ni mkamilifu, naye anaweza kuuzuia pia na mwili wake wote.

33:3 Za 32:9Tunapotia lijamu kwenye vinywa vya farasi ili kuwafanya watutii, tunaweza kuigeuza miili yao yote. 4Au angalia pia meli, ingawa ni kubwa sana, nazo huchukuliwa na upepo mkali, lakini hugeuzwa kwa usukani mdogo sana, kokote anakotaka nahodha. 53:5 Mt 15:11, 18, 19; Za 12:3, 4; 73:8, 9Vivyo hivyo ulimi ni kiungo kidogo sana katika mwili, lakini hujivuna majivuno makuu. Fikirini jinsi moto mdogo unavyoweza kuteketeza msitu mkubwa! 63:6 Mit 16:27; Mt 15:11, 18, 19; 5:22Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu.

7Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini vinafugika na vimefugwa na binadamu, 83:8 Za 140:10; Rum 3:13lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.

93:9 Mwa 1:26-27Kwa ulimi tunamhimidi Bwana, yaani Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu. 10Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haistahili kuwa hivyo. 113:11 Kut 20:14; Kum 5:8; 5:17; Kut 5:18Je, chemchemi yaweza kutoa katika tundu moja maji matamu na maji ya chumvi? 123:12 Yak 1:25Je, ndugu zangu, mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Wala chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu.

Aina Mbili Za Hekima

133:13 Mt 9:13; Lk 6:37Ni nani aliye na hekima na ufahamu miongoni mwenu? Basi na aionyeshe hiyo kwa maisha yake mema na kwa matendo yake yaliyotendwa kwa unyenyekevu utokanao na hekima. 143:14 Mt 6:27; Yak 1:22-25Lakini ikiwa mna wivu na ni wenye chuki na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu kwa ajili ya hayo wala msiikatae kweli. 153:15 Mt 25:35, 36Hekima ya namna hiyo haishuki kutoka mbinguni, bali ni ya kidunia, isiyo ya kiroho, na ya kishetani. 163:16 Lk 3:11; 1Yn 3:17, 18Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna.

17Lakini hekima itokayo mbinguni kwanza ni safi, kisha inapenda amani, tena ni ya upole, iliyo tayari kusikiliza wengine kwa unyenyekevu, iliyojaa huruma na matunda mema, isiyopendelea mtu, tena isiyokuwa na unafiki. 183:18 Rum 3:28; Mt 7:16, 18Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.