ゼパニヤ書 2 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

ゼパニヤ書 2:1-15

2

諸国と共にさばかれるユダとイスラエル

1集まって祈れ、恥知らずの民よ。

2まだ時間があるうちに。

さばきが始まり、

残された機会がもみがらのように吹き飛ばされる前に。

主の激しい怒りが襲いかかり、

御怒りの恐るべき日が始まる前に。

3謙遜な者たちよ、従おうと努力してきた者たちよ、

神に助けを請え。

謙遜に歩み、正しいことを行え。

そうすれば、その運命の日に

主に守ってもらえるかもしれない。

4ガザ、アシュケロン、アシュドデ、エクロン、

これらのペリシテ人の町も、根こそぎにされ、

荒れはてたままにされる。

5海岸とカナンの地に住むペリシテ人は災いだ。

さばきはおまえたちにも向けられているからだ。

主はおまえたちを一人残らず滅ぼしてしまう。

6海岸地帯は牧草地となり、羊飼いがテントを張り、

羊がたわむれるようになる。

7そこでは、わずかに生き残ったユダ部族が

家畜を放牧する。

彼らは、使われなくなったアシュケロンの家に

身を横たえて休む。

神である主が、ご自分の民を親しく訪れ、

元どおり繁栄させてくださるからだ。

8-9イスラエルの神、全能の主は言う。

「わたしは、モアブとアモンの民が

わたしの民をあざけり、この地を侵略した時の

ののしりを聞いた。

だから確実に、モアブとアモンは、

ソドムとゴモラのように滅ぼされ、

いら草が茂る所、塩の穴、永久に荒廃した地となる。

生き残ったわたしの民が、

そこを奪って自分のものにする。」

10彼らは高慢の報いを受ける。

全世界を支配する主の民をあざけったからだ。

11主は彼らをひどい目に会わせる。

外国の勢力の神々をことごとく餓死させ、

全世界ですべての人々が自分の住む地で

主を礼拝するようになる。

12エチオピヤ人よ。

おまえたちも主の剣で殺される。

13北の地も同様だ。

神はアッシリヤを滅ぼし、

その壮大な首都ニネベを荒野のような不毛の地にする。

14あの隆盛を誇っていた町は羊の牧草地となる。

あらゆる野の獣がそこに住みつく。

針ねずみは巣穴を掘り、はげたかやふくろうは

宮殿の廃墟に住み、破れた窓で鳴く。

からすは扉のところで鳴く。

高価な杉の羽目板も、風雨にさらされたままになる。

15これが、「世界中で自分ほどすばらしい町はない」

と言って、安らかに暮らしていた、

あの広大で繁栄した都の運命だ。

しかし今、見るがいい。

荒れはて、動物の住みかとなってしまった。

そこを通る者はみなあざけるか、

とても信じられないといった顔で首を振る。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Sefania 2:1-15

12:1 2Nya 20:4; Yoe 1:14; 2:16; Yer 3:3; 6:15Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,

enyi taifa lisilo na aibu,

22:2 Isa 17:13; Hos 13:3; 2Fal 23:26; Yer 4:4; 10:25; Eze 7:19; Mao 4:11kabla ya wakati ulioamriwa haujafika

na siku ile inayopeperusha kama makapi,

kabla hasira kali ya Bwana haijaja juu yenu,

kabla siku ya ghadhabu ya Bwana

haijaja juu yenu.

32:3 Amo 5:6; Yoe 2:4; Isa 1:17; Za 45:4; 57:1; 76:9Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi,

ninyi ambao hufanya lile analoamuru.

Tafuteni haki, tafuteni unyenyekevu;

labda mtahifadhiwa

siku ya hasira ya Bwana.

Dhidi Ya Ufilisti

42:4 Mwa 10:19; Amo 1:6-8; Zek 9:5-7; Yer 6:4; 47:5Gaza utaachwa

na Ashkeloni utaachwa magofu.

Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu

na Ekroni utangʼolewa.

52:5 1Sam 30:14; Law 26:31; Eze 25:16; Yos 13:3; Isa 14:30Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,

enyi Wakerethi;

neno la Bwana liko dhidi yenu,

ee Kanaani, nchi ya Wafilisti.

“Mimi nitawaangamiza,

na hakuna atakayebaki.”

62:6 Isa 5:17; 17:2Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi,

patakuwa mahali pa wachungaji

na mazizi ya kondoo.

72:7 Isa 11:11; Hag 1:12; Mik 5:7; 4:10; Kut 4:31; Lk 1:68; Mwa 45:7; Kum 30:3; Za 126:4; Yer 23:3; 32:44; Hos 6:11; Eze 39:25; Yoe 3:1; Amo 1:6-8Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda,

hapo watapata malisho.

Wakati wa jioni watajilaza chini

katika nyumba za Ashkeloni.

Bwana Mungu wao atawatunza,

naye atawarudishia wafungwa wao.

Dhidi Ya Moabu Na Amoni

82:8 Mwa 19:37; Yer 48:27; 49:1; Eze 25:3, 8; 21:28; Mao 3:61; Isa 16:6“Nimeyasikia matukano ya Moabu

nazo dhihaka za Waamoni,

ambao waliwatukana watu wangu

na kutoa vitisho dhidi ya nchi yao.

92:9 Kum 23:6; 29:23; Isa 11:14; Yer 48:1-47; 49:1-6; Eze 25:1-11; 2Fal 19:31; Amo 1:13; 2:1-3Hakika, kama niishivyo,”

asema Bwana Mwenye Nguvu Zote,

Mungu wa Israeli,

“hakika Moabu itakuwa kama Sodoma,

Waamoni kama Gomora:

mahali pa magugu na mashimo ya chumvi,

nchi ya ukiwa milele.

Mabaki ya watu wangu watawateka nyara;

mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”

102:10 Ay 40:12; Isa 16:6; Yer 48:27; Za 9:6Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao,

kwa kutukana na kudhihaki

watu wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.

112:11 Mwa 49:10; 10:5; Za 2:8; 22:27; Isa 2:2, 3; Mal 1:11; Yn 4:21; 1Tim 2:8; Yoe 2:11; 1Nya 19:1; Eze 25:6-7; Isa 12:4; Za 86:9; Sef 3:9Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao

atakapoangamiza miungu yote ya nchi.

Mataifa katika kila pwani yatamwabudu,

kila moja katika nchi yake.

Dhidi Ya Kushi

122:12 Mwa 10:6; Isa 18:1; 20:4; Yer 46:10“Ninyi pia, ee Wakushi,

mtauawa kwa upanga wangu.”

Dhidi Ya Ashuru

132:13 Mwa 10:5-11; Zek 10:11; Mik 5:6Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini

na kuangamiza Waashuru,

akiiacha Ninawi ukiwa

na pakame kama jangwa.

142:14 Isa 5:17; 13:21; 14:23; Ufu 18:2; Za 102:6Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale,

viumbe vya kila aina.

Bundi wa jangwani na bundi waliao kwa sauti nyembamba

wataishi juu ya nguzo zake.

Mwangwi wa kuita kwao utapita madirishani,

kifusi kitakuwa milangoni,

boriti za mierezi zitaachwa wazi.

152:15 Isa 32:9; 47:8; Eze 27:36; 28:2; Ufu 18:7; Yer 49:33; Nah 3:19Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha

wakijisikia salama.

Ulisema moyoni mwako,

“Mimi ndimi, na wala hapana mwingine ila mimi.”

Jinsi gani umekuwa gofu,

mahali pa kulala wanyama pori!

Wote wanaopita kando yake wanauzomea

na kutikisa mkono kwa dharau.