Genesis 36 – HLGN & NEN

Ang Pulong Sang Dios

Genesis 36:1-43

Ang mga Kaliwat ni Esau

(1 Cro. 1:34-37)

1Amo ini ang estorya parte sa pamilya ni Esau (nga ginatawag man nga Edom).

2Nagpangasawa si Esau sang mga babayi nga taga-Canaan. Sila amo si Ada nga anak ni Elon nga Hithanon kag si Oholibama nga anak ni Ana kag apo ni Zibeon nga Hivhanon. 3Ginpangasawa man niya si Basemat nga utod ni Nebayot nga anak ni Ishmael. 4Ang anak ni Esau kay Ada amo si Elifaz. Ang iya anak kay Basemat amo si Reuel. 5Kag ang iya mga anak kay Oholibama amo sila ni Jeush, Jalam, kag Kora. Sila ang mga anak ni Esau nga natawo sa Canaan.

6Gindala ni Esau ang iya mga asawa, mga anak, kag ang tanan nga sakop sang iya pamilya, pati ang iya mga pagkabutang kag kasapatan nga natipon niya sa Canaan, kag nagsaylo siya sa isa ka lugar palayo kay Jacob nga iya utod. 7Kay indi na sila puwede mag-upod sa isa ka lugar tungod sa kadamuon sang ila pagkabutang; kag ang lugar nga ila ginaestaran indi na makasustiner sa ila tungod sa kadamuon sang ila kasapatan. 8Gani didto nag-estar si Esau (nga ginatawag man nga Edom) sa kabukiran sang Seir.

9Amo ini ang estorya parte sa pamilya ni Esau nga amay sang mga Edomnon nga nagaestar sa kabukiran sang Seir.

10Ang anak ni Esau kay Basemat amo si Reuel, kag ang anak niya kay Ada amo si Elifaz.

11Ang mga anak ni Elifaz amo sila ni Teman, Omar, Zefo, Gatam kag Kenaz. 12May anak man si Elifaz nga si Amalek sa isa pa niya ka asawa nga si Timna. Sila ang mga apo ni Esau kay Ada.

13Ang mga anak ni Reuel amo sila ni Nahat, Zera, Shama, kag Miza. Sila ang mga apo ni Esau kay Basemat.

14Ang mga anak ni Esau kay Oholibama amo sila ni Jeush, Jalam, kag Kora. (Si Oholibama anak ni Ana kag apo ni Zibeon.)

15Amo ini sila ang nangin pangulo sa mga kaliwat ni Esau: Si Teman, Omar, Zefo, Kenaz, 16Kora,36:16 Kora: Indi ini makita sa Samaritan Pentateuch. Tan-awa man sa Gen. 36:11 kag 1 Cro. 1:36. Gatam, kag Amalek. Ini sila nga mga pangulo sang lugar sang Edom mga anak ni Elifaz kag mga apo ni Ada.

17Nangin pangulo man sa Edom ang mga anak ni Reuel nga sila ni Nahat, Zera, Shama, kag Miza. Sila ang mga apo ni Esau kay Basemat.

18Nangin pangulo man ang mga anak ni Esau kay Oholibama nga anak ni Ana. Sila amo si Jeush, Jalam, kag Kora.

19Sila tanan ang mga kaliwat ni Esau nga mga pangulo sang Edom.

Ang mga Kaliwat ni Seir

(1 Cro. 1:38-42)

20Amo ini ang mga anak nga lalaki ni Seir nga Horhanon nga nagaestar sa Edom: Si Lotan, Shobal, Zibeon, Ana, 21Dishon, Ezer, kag Dishan. Nangin pangulo man sila sang mga Horhanon nga nagaestar sa Edom.

22Ang mga anak ni Lotan amo si Hori kag si Hemam.36:22 Hemam: ukon, Homam. Si Lotan may utod nga babayi nga si Timna nga isa pa ka asawa ni Elifaz.

23Ang mga anak ni Shobal amo sila ni Alvan, Manahat, Ebal, Shefo, kag Onam.

24Ang mga anak ni Zibeon amo si Aya kag si Ana. Si Ana amo ang nakasapo sang tuburan didto sa kamingawan sang nagabantay siya sang mga asno sang iya amay. 25Ang mga anak ni Ana amo si Dishon kag si Oholibama.

26Ang mga anak ni Dishon amo sila ni Hemdan, Eshban, Itran, kag Keran.

27Ang mga anak ni Ezer amo sila ni Bilhan, Zaavan, kag Akan.

28Ang mga anak ni Dishan amo si Uz kag si Aran.

29-30Amo ini sila ang mga pangulo sang mga Horhanon nga may mga ginadumalahan nga mga lugar sa Seir: Si Lotan, Shobal, Zibeon, Ana, Dishon, Ezer, kag Dishan.

Ang mga Hari sang Edom

(1 Cro. 1:43-54)

31Amo ini sila ang mga hari sang Edom sang panahon nga wala pa sang mga hari ang mga Israelinhon: 32Si Bela nga taga-Dinhaba nga anak ni Beor nangin hari sa Edom. 33Pagkapatay niya, ginbuslan siya ni Jobab nga anak ni Zera nga taga-Bozra. 34Pagkapatay ni Jobab, ginbuslan siya ni Husham nga taga-Teman. 35Pagkapatay ni Husham, ginbuslan siya ni Hadad nga taga-Avit nga anak ni Bedad. Si Hadad ang nakapierdi sa mga Midianhon didto sa Moab. 36Pagkapatay ni Hadad, ginbuslan siya ni Samla nga taga-Masreka. 37Pagkapatay ni Samla, ginbuslan siya ni Shaul nga taga-Rehobot nga malapit sa Suba sang Eufrates. 38Pagkapatay ni Shaul, ginbuslan siya ni Baal Hanan nga anak ni Acbor. 39Pagkapatay ni Baal Hanan, ginbuslan siya ni Hadar nga taga-Pau. Ang iya asawa si Mehetabel nga anak ni Matred kag apo ni Mezahab.

40-43Si Esau (nga gintawag man nga Edom) amo ang ginhalinan sang mga Edomnon. Kag amo ini sila ang nangin pangulo sa mga kaliwat ni Esau nga ang ila mga tribo kag lugar ginpangalanan sa ila: Timna, Alva, Jetet, Oholibama, Elah, Pinon, Kenaz, Teman, Mibzar, Magdiel, kag Iram.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 36:1-43

Wazao Wa Esau

(1 Nyakati 1:34-42)

136:1 Mwa 2:4; 25:30Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

236:2 Mwa 26:34; 28:8-9Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi, 3pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

436:4 1Nya 1:35Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli, 536:5 1Nya 1:35Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.

636:6 Mwa 12:5; 1Nya 1:35Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake. 736:7 Mwa 13:6; 27:39Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao. 836:8 Kum 2:4Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.

936:9 Mwa 2:4Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

1036:10 Mwa 36:3Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:

Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

1136:11 1Nya 1:45Wana wa Elifazi ni:

Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

1236:12 Kut 17:8, 16; 1Sam 15:2Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.

1336:13 Mwa 36:3Wana wa Reueli ni:

Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

1436:14 Mwa 36:2Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:

Yeushi, Yalamu na Kora.

1536:15 Mwa 36:19-40; Kut 15:15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:

Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:

Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 1636:16 Mwa 32:3Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.

1736:17 1Nya 1:37Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:

Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

1836:18 Mwa 36:2Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:

Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.

1936:19 1Nya 1:35Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.

2036:20 Mwa 14:6Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 2136:21 Mwa 36:30Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

22Wana wa Lotani walikuwa:

Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.

23Wana wa Shobali walikuwa:

Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

2436:24 Mwa 36:2Wana wa Sibeoni walikuwa:

Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.

2536:25 Mwa 36:2Watoto wa Ana walikuwa:

Dishoni na Oholibama binti wa Ana.

26Wana wa Dishoni walikuwa:

Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

27Wana wa Eseri walikuwa:

Bilhani, Zaavani na Akani.

28Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani.

2936:29 Mwa 36:20Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 3036:30 Mwa 36:21Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.

Watawala Wa Edomu

(1 Nyakati 1:43-54)

3136:31 Mwa 17:6Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:

32Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

3336:33 Isa 34:6Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

3436:34 Yer 49:7Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

3536:35 Rut 1:1, 6; Mwa 19:37Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

36Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

3736:37 Mwa 26:22Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

38Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

4036:40 Mwa 36:15Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:

Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela, Pinoni, 42Kenazi, Temani, Mibsari, 4336:43 Mwa 36:9Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.

Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.