1 Cronica 8 – HLGN & NEN

Ang Pulong Sang Dios

1 Cronica 8:1-40

Ang mga Kaliwat ni Benjamin

1Amo ini ang mga anak nga lalaki ni Benjamin halin sa kamagulangan hasta sa kamanghuran: Bela, Ashbel, Ahara, 2Noha, kag Rafa. 3Ang mga anak ni Bela amo sila ni Addar, Gera, Abihud,8:3 Gera, Abihud: ukon, Gera nga amay ni Ehud. 4Abishua, Naaman, Ahoa, 5Gera, Shefufan, kag Huram. 6Ang mga kaliwat ni Ehud, nga mga pangulo sang ila mga pamilya, ginpahalin sa Geba kag nagsaylo sila sa Manahat. 7Sila amo si Naaman, Ahia, kag Gera. Ining si Gera nga amay ni Uza kag ni Ahihub amo ang nagpanguna sa ila sa pagsaylo.

8Ginbulagan ni Shaharaim ang iya mga asawa nga si Hushim kag si Baara. Sang ulihi nag-estar siya sa Moab, kag nakabata sila 9sang iya asawa nga si Hodesh. Ang ila mga anak nga lalaki amo sila ni Jobab, Zibia, Mesha, Malcam, 10Jeuz, Sakia, kag Mirma. Ini sila nangin pangulo sang ila mga pamilya. 11May anak man si Shaharaim sa asawa niya nga si Hushim. Sila amo si Abitub kag si Elpaal. 12Ang mga anak ni Elpaal amo sila ni Eber, Misham, Shemed (nga nagtukod sang mga banwa sang Ono kag Lod, kag sang mga baryo sa palibot sini), 13Beria, kag Shema. Sila ang mga pangulo sang ila mga pamilya nga nag-estar sa Ayalon. Sila man ang nagpahalin sang mga pumuluyo sang Gat. 14-16Ang mga anak ni Beria amo sila ni Ahio, Shashak, Jeremot, Zebadia, Arad, Eder, Micael, Ishpa, kag Joha.

17-18Ang mga anak ni Elpaal amo sila ni Zebadia, Meshulam, Hizki, Heber, Ishmerai, Izlia, kag si Jobab.

19-21Ang mga anak ni Shimei amo sila ni Jakim, Zicri, Zabdi, Elienai, Ziletai, Eliel, Adaya, Beraya, kag Shimrat.

22-25Ang mga anak ni Shashak amo sila ni Ishpan, Eber, Eliel, Abdon, Zicri, Hanan, Hanania, Elam, Antotia, Ifdea, kag Penuel. 26-27Ang mga anak ni Jeroham amo sila ni Shamsherai, Sheharia, Atalia, Jaareshia, Elias, kag Zicri. 28Ini sila mga pangulo sang ila mga pamilya suno sa listahan sang ila mga kaliwat, kag nag-estar sila sa Jerusalem.

29Si Jiel8:29 Jiel: Wala ini sa Hebreo, pero makita sa iban nga mga kopya sang Septuagint. nga amay ni Gibeon nag-estar sa Gibeon. Ang ngalan sang iya asawa amo si Maaca. 30Ang iya mga anak nga lalaki halin sa kamagulangan hasta sa kamanghuran amo sila ni Abdon, Zur, Kish, Baal, Ner,8:30 Ner: Wala ini sa Hebreo, pero makita sa iban nga mga kopya sang Septuagint. Nadab 31Gedor, Ahio, Zeker,8:31 Zeker: ukon, Zacarias. 32kag Miklot (nga amay ni Shimea).8:32 Shimea: ukon, Shimeam. Nag-estar sila malapit sa ila mga paryente sa Jerusalem. 33Si Ner amay ni Kish, si Kish amay ni Saul, kag si Saul amay nila ni Jonatan, Malkishua, Abinadab, kag Eshbaal.8:33 Eshbaal: nga amo man si Ishboshet. 34Ang anak ni Jonatan amo si Merib Baal8:34 Merib Baal: nga amo man si Mefiboshet. nga amay ni Micas. 35Ang mga anak ni Micas amo sila ni Piton, Melec, Tarea, kag Ahaz. 36Si Ahaz amay ni Jehoada,8:36 Jehoada: ukon, Jada. kag si Jehoada amay nila ni Alemet, Azmavet, kag Zimri. Si Zimri amay ni Moza, 37kag si Moza amay ni Binea. Ang anak ni Binea amo si Rafah,8:37 Rafah: ukon, Refaya. ang anak ni Rafah amo si Eleasa, kag ang anak ni Eleasa amo si Azel. 38Si Azel may anom ka anak nga sila ni Azrikam, Bokeru, Ishmael, Shearia, Obadias, kag Hanan. 39Ang mga anak sang utod ni Azel nga si Eshek amo sila ni Ulam ang kamagulangan, Jeush ang ikaduha, kag Elifelet ang ikatatlo. 40Maisog ang mga anak ni Ulam kag sagad magpana. Madamo sila sang mga anak kag mga kaapuhan—150 tanan.

Ini sila tanan mga kaliwat ni Benjamin.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 8:1-40

Ukoo Wa Sauli Mbenyamini

18:1 Mwa 46:21; 1Nya 7:6; Hes 26:38Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,

Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,

2Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.

38:3 Mwa 46:21Wana wa Bela walikuwa:

Adari, Gera, Abihudi, 48:4 2Sam 23:9Abishua, Naamani, Ahoa, 5Gera, Shefufani na Huramu.

68:6 Amu 3:12-30; 1Nya 2:52; Neh 6:2Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

7Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

8Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara. 9Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu, 10Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao. 11Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

128:12 Ezr 2:33; Neh 7:37Wana wa Elpaali walikuwa:

Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka), 138:13 Yos 10:12; Yn 11:22; Yos 19:42na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

14Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi, 15Zebadia, Aradi, Ederi, 16Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

17Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi, 18Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.

19Yakimu, Zikri, Zabdi, 20Elienai, Silethai, Elieli, 21Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

22Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli, 23Abdoni, Zikri, Hanani, 24Hanania, Elamu, Anthothiya, 25Ifdeya na Penueli.

26Shamsherai, Sheharia, Athalia, 27Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

28Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

298:29 Yos 9:3; 1Nya 9:35Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

Mke wake aliitwa Maaka. 30Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 318:31 1Nya 9:37Gedori, Ahio, Zekeri, 32na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

338:33 1Sam 28:19; 9:1; 14:49; 2Sam 2:8; Mdo 13:21Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

348:34 2Sam 9:12; 4:4; 21:7-14Yonathani akamzaa:

Merib-Baali,8:34 Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (Amu 6:32); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona 2Sam 4:4). naye Merib-Baali akamzaa Mika.

35Wana wa Mika walikuwa:

Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

36Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa. 37Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

38Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.

39Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti. 408:40 Hes 26:38; 1Nya 12:2; 2Nya 11:1; 13:3; Neh 4:13; Wim 3:7-8; Efe 6:11-20Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.

Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.