1 Cronica 3 – HLGN & NEN

Ang Pulong Sang Dios

1 Cronica 3:1-24

Ang mga Anak nga Lalaki ni David

1Amo ini ang mga anak nga lalaki ni David nga nagkalatawo sa Hebron: Ang kamagulangan amo si Amnon nga anak niya kay Ahinoam nga taga-Jezreel. Ang ikaduha amo si Daniel3:1 Daniel: ukon, Kileab. nga anak niya kay Abigail nga taga-Carmel. 2Ang ikatatlo amo si Absalom nga anak niya kay Maaca nga anak ni Haring Talmai sang Geshur. Ang ikaapat amo si Adonia nga anak niya kay Hagit. 3Ang ikalima amo si Shefatia nga anak niya kay Abital. Kag ang ikaanom amo si Itream nga anak niya kay Egla. 4Ini sila nga anom natawo sa Hebron, nga sa diin naghari si David sa sulod sang pito ka tuig kag anom ka bulan.

Naghari si David sa Jerusalem sa sulod sang 33 ka tuig. 5Kag amo ini ang iya mga anak nga natawo didto: si Shimea, Shobab, Natan, kag Solomon. Ini sila nga apat anak ni David kay Batsheba3:5 Batsheba: ukon, Batshua. nga anak ni Amiel. 6May siyam pa gid siya ka anak nga amo sila ni Ibhar, Elishua,3:6 Elishua: ukon, Elishama. Elifelet, 7Noga, Nefeg, Jafia, 8Elishama, Eliada, kag Elifelet. 9Amo ini sila ang mga anak nga lalaki ni David, luwas sa iban pa niya nga mga anak nga lalaki sa iban pa niya nga mga asawa. May anak man si David nga babayi nga si Tamar.

Ang mga Hari sang Juda

10Amo ini ang mga kaliwat ni Solomon nga nangin hari: Rehoboam, Abia, Asa, Jehoshafat, 11Jehoram,3:11 Jehoram: ukon, Joram. Ahazia, Joash, 12Amazia, Azaria,3:12 Azaria: ukon, Uzia. Jotam, 13Ahaz, Hezekia, Manase, 14Amon, kag Josia.

15Amo ini sila ang mga anak ni Josia: ang kamagulangan si Johanan, ang ikaduha si Jehoyakim, ang ikatatlo si Zedekia, kag ang ikaapat si Shalum. 16Ang nagbulos kay Jehoyakim bilang hari amo si Jehoyakin3:16 Jehoyakin: ukon, Jeconia. nga iya anak. Kag ang nagbulos kay Jehoyakin amo si Zedekia nga iya tiyo.3:16 tiyo: ukon, utod.

Ang mga Kaliwat ni Jehoyakin

17Amo ini ang mga anak nga lalaki ni Jehoyakin, ang hari nga ginbihag sa Babilonia: si Shealtiel, 18Malkiram, Pedaya, Shenazar, Jekamia, Hoshama, kag si Nedabia. 19Ang mga anak nga lalaki ni Pedaya amo si Zerubabel kag si Shimei. Ang mga anak nga lalaki ni Zerubabel amo si Meshulam kag si Hanania. Ang ila utod nga babayi amo si Shelomit. 20May lima pa ka anak nga lalaki si Zerubabel nga amo sila ni Hashuba, Ohel, Berekia, Hasadia, kag Jushab Hesed. 21Ang mga anak nga lalaki ni Hanania amo si Pelatia kag si Jeshaya. Si Jeshaya amay ni Refaya, si Refaya amay ni Arnan, si Arnan amay ni Obadias, kag si Obadias amay ni Shecania. 22Ang mga kaliwat ni Shecania amo si Shemaya kag ang mga anak ni Shemaya nga sila ni Hatush, Igal, Baria, Nearia, kag Shafat—anom sila tanan. 23Ang mga anak nga lalaki ni Nearia amo sila ni Elioenai, Hizkia, kag Azrikam—tatlo sila tanan. 24Ang mga anak nga lalaki ni Elioenai amo sila ni Hodavia, Eliashib, Pelaya, Akub, Johanan, Delaya, kag Anani—pito sila tanan.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 3:1-24

Wana Wa Daudi

13:1 1Nya 14:3; 14:3; 28:5; Yos 15:56; 1Sam 25:42; 27:3Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:

Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;

wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;

23:2 1Fal 2:22wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;

33:3 2Sam 3:5wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;

wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.

43:4 2Sam 5:4; 1Nya 29:27; 1Sam 2:11; 5:5; 1Fal 2:11Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita.

Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu, 53:5 2Sam 11:3; 12:24; 1Nya 14:4nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:

mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua,3:5 Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu. Shobabu, Nathani na Solomoni. 6Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti, 7Noga, Nefegi, Yafia, 83:8 2Sam 5:14Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa. 93:9 2Sam 13:1; 1Nya 14:4; 2Sam 14:27Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.

Wafalme Wa Yuda

103:10 1Fal 14:21-31; 15:1-8; 2Nya 12:16; 13:1; 17:1–21:3Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu,

mwanawe huyo alikuwa Abiya,

mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati,

mwanawe huyo alikuwa Asa,

113:11 2Fal 8:16-24; 2Nya 21:1; 22:1-10; 2Fal 11:1-12mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,

mwanawe huyo alikuwa Ahazia,

mwanawe huyo alikuwa Yoashi,

123:12 2Fal 14:1-22; 2Nya 25:1-28; 27:1; Isa 1:1; 3:13; 2Nya 28:1; Isa 1:1; 2Fal 21:1-18; 2Nya 33:1mwanawe huyo alikuwa Amazia,

mwanawe huyo alikuwa Azaria,

mwanawe huyo alikuwa Yothamu,

13mwanawe huyo alikuwa Ahazi,

mwanawe huyo alikuwa Hezekia,

mwanawe huyo alikuwa Manase,

14mwanawe huyo alikuwa Amoni

na mwanawe huyo alikuwa Yosia.

153:15 2Fal 23:34; Yer 37:1; 2Fal 25:3Wana wa Yosia walikuwa:

Yohanani mzaliwa wake wa kwanza,

Yehoyakimu mwanawe wa pili,

wa tatu Sedekia,

wa nne Shalumu.

163:16 2Fal 24:6, 8; Mt 1:11; 2Fal 24:18Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:

Yekonia mwanawe,

na Sedekia.

Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho

173:17 Ezr 3:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:

Shealtieli mwanawe, 183:18 Ezr 1:8; 5:14; Yer 22:30Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

193:19 Hag 2:2; Zek 4:6; Ezr 3:2Wana wa Pedaya walikuwa:

Zerubabeli na Shimei.

Wana wa Zerubabeli walikuwa:

Meshulamu na Hanania.

Shelomithi alikuwa dada yao.

20Pia walikuwepo wengine watano:

Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.

21Wazao wa Hanania walikuwa:

Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

223:22 Ezr 8:2-3Wazao wa Shekania:

Shemaya na wanawe:

Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.

23Wana wa Nearia walikuwa:

Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.

24Wana wa Elioenai walikuwa:

Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.