מעשי השליחים 7 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

מעשי השליחים 7:1-60

1”האם נכונות ההאשמות האלה?“ שאל הכהן הגדול את סטפנוס.

2”הקשיבו אלי, אנשים, אחים וזקנים נכבדים!“ השיב סטפנוס. ”אלוהי הכבוד נגלה אל אברהם אבינו בארם נהריים, לפני שיצא לחרן, 3ואמר לו לעזוב את ארץ מולדתו, להיפרד מבני משפחתו וללכת אל הארץ שה׳ ינחה אותו אליה. 4אברהם עזב את אור כשדים וגר בחרן עד מות אביו. לאחר מכן הביא אותו ה׳ לכאן, לארץ הזאת אשר אתם גרים בה עכשיו. 5אלוהים לא נתן לאברהם רכוש משלו – אפילו לא חלקת־אדמה קטנה; הוא רק הבטיח לו שבמרוצת הזמן תשתייך כל הארץ לאברהם ולצאצאיו, אך כי באותה עת לא היה לו עדיין ילד. 6כמו־כן אמר לו אלוהים שצאצאיו אלה יעזבו את ארצם ויגורו בארץ זרה, ושם יהיו עבדים במשך ארבע מאות שנה. 7אולם אלוהים הבטיח לאברהם שיעניש את הארץ אשר תשעבד אותם, ושלאחר מכן יצאו ויעבדו אותו כאן.

8”באותה עת נתן ה׳ לאברהם את מצוות המילה, כהוכחה לברית שכרת עם אברהם, וכאשר נולד בנו יצחק מל אותו אברהם ביום השמיני לחייו. כעבור זמן יצחק מל את יעקב, ויעקב את שנים־עשר האבות.

9”אותם אנשים שהיו לאבות האומה הישראלית קנאו ביוסף אחיהם, ומכרו אותו כעבד לישמעאלים שהיו בדרכם למצרים. אולם אלוהים היה עם יוסף 10והציל אותו מכל צרותיו. אלוהים העניק ליוסף חן רב וחכמה בלתי־רגילה, אשר מצאו־חן בעיני פרעה מלך מצרים, ומשום כך מינה אותו פרעה למושל על כל ארץ מצרים ולאחראי על כל ענייני הארמון.

11”כעבור זמן־מה שרר רעב כבד אשר גרם סבל רב במצרים ובכנען, ולאבותינו לא היה מה לאכול. 12כאשר שמע יעקב שיש עדיין אוכל במצרים, שלח לשם את בניו בפעם הראשונה כדי לקנות מה שיוכלו להשיג. 13בביקורם השני במצרים גילה להם יוסף את זהותו ואף הציג אותם לפני פרעה. 14יוסף שלח להביא מארץ כנען את יעקב אביו ואת כל בני־משפחתו, כולם יחד מנו שבעים וחמש איש, והזמין אותם לגור איתו במצרים. 15וכך ירד יעקב למצרים. לאחר שמתו יעקב ובניו, 16נלקחו גופותיהם לשכם ונקברו בקבר שקנה אברהם מיד בני־חמור.

17”כשקרב המועד שקבע אלוהים לשחרור בני־ישראל מעבדותם, כפי שהבטיח לאברהם אבינו, התרבה עם ישראל במצרים במהירות גדולה. 18ואז עלה לשלטון מלך אשר לא כיבד את זכרו של יוסף. 19מלך זה נהג בעמנו ברשעות ובאכזריות, וציווה על אבותינו להפקיר את ילדיהם למוות. 20באותה תקופה נולד משה, שהיה טוב בעיני אלוהים, והוריו הסתירוהו בביתם במשך שלושה חודשים. 21כשלא יכלו הוריו להסתיר אותו יותר נאלצו להוציאו מן הבית, מצאה אותו בת פרעה ואימצה אותו לה לבן. 22משה לומד בכל חכמת מצרים, גדל והיה לנואם מחונן ולאיש־מעשים דגול.

23”יום אחד עלה בדעתו של משה לבקר את אחיו בני־ישראל, והוא בן ארבעים. 24בעת ביקורו ראה איש מצרי מתאכזר אל ישראלי. משה ניגש אל המצרי והרג אותו. 25הוא קיווה שאחיו יבינו שאלוהים שלח אותו לעזור להם, אך הם לא הבינו זאת.

26”למחרת שוב ביקר משה את בני־עמו, והפעם ראה שני ישראלים רבים ביניהם. הוא ניסה להפריד ביניהם ואמר: ’הרי אחים אתם; מדוע אתם מתקוטטים?‘

27”אולם האיש שהחל בקטטה דרש ממשה להסתלק ולא להתערב. ’מי מינה אותך למושל ושופט עלינו?‘ שאל. 28’האם אתה עומד להרוג אותי כשם שהרגת אתמול את המצרי?‘ “

29לשמע דברים אלה ברח משה למדיין, ושם נולדו שני בניו.

30”כעבור ארבעים שנה נגלה אליו מלאך ה׳ במדבר הר־סיני מתוך הסנה הבוער. 31המראה הבלתי־רגיל הפליא את משה; הוא רץ אל הסנה כדי להביט בו מקרוב, ואז שמע את קול ה׳: 32’אנוכי אלוהי אבותיך – אלוהי אברהם, יצחק ויעקב!‘ משה רעד מפחד ולא העז להרים את עיניו.

33”לפני כן אמר אלוהים למשה: ’של נעליך מעל רגליך, כי המקום אשר אתה עומד עליו אדמת־קודש הוא‘. 34ואלוהים המשיך: ’ראה ראיתי את עוני עמי אשר במצרים, ואת צעקתם שמעתי… וארד להצילו… ועתה לכה ואשלחך אל פרעה והוצא את עמי בני־ישראל ממצרים‘.7‏.34 ז 34 שמות ג 5‏-10

35”המדובר באותו משה אשר בני־ישראל דחוהו זמן־מה קודם לכן כאשר מחו: ’מי מינה אותך למושל ושופט עלינו?‘ אותו משה נשלח אליהם עתה להיות להם למנהיג ולמושיע! 36בעזרת ניסים גדולים וכבירים הוציא משה את עמו מארץ מצרים, העבירם דרך ים סוף, ולאחר מכן נדד איתם במדבר ארבעים שנה. 37זהו אותו משה אשר אמר לבני־ישראל:7‏.37 ז 37 דברים יח 15 ’נביא מקרבכם – מאחיכם – כמוני, יקים לכם אלוהים, אליו תשמעון‘. 38כשהתקהלו בני־ישראל במדבר, משה היה האיש שתיווך בינם לבין המלאך שנתן להם את תורת ה׳ – את דבר האלוהים החי – בהר סיני.

39”אולם אבותינו דחו את משה ורצו לשוב למצרים. 40’עשה לנו אלוהים אשר ילכו לפננו‘, ביקשו מאהרון, ’כי איננו יודעים מה קרה למשה אשר הוציא אותנו מארץ מצרים‘. 41וכך עשו להם בני ישראל עגל־זהב, הקריבו לו קורבנות, ושמחו באליל שיצרו במו ידיהם.

42”משום כך פנה להם ה׳ עורף והניח להם לסגוד לשמש, לירח ולכוכבים כמו לאלים! בספר עמוס שואל ה׳ את עם ישראל: ’הזבחים ומנחה הגשתם לי במדבר ארבעים שנה, בית ישראל? 43לא! התעניינותכם האמיתית הייתה באלילים שלכם: בסוכתו של מולך, בכוכבו של ריפן, ובכל הצלמים שעשיתם לכם. משום כך אגרש אתכם מכאן לארץ רחוקה – עד מעבר לבבל אגלה אתכם!‘.7‏.43 ז 43 ראה עמוס ה 25‏-27

44”במשך נדודיהם במדבר נשאו אותם אבותינו את משכן העדות, ובתוכו שמרו את לוחות־הברית. משכן זה נבנה בדיוק לפי הדגם שהראה אלוהים למשה. 45שנים רבות לאחר מכן, כשפקד יהושע על הקרבות נגד הגויים שישבו בכנען, הביאו האבות את המשכן הזה אל ארצם החדשה, ושם הוא נשאר עד ימי דוד המלך.

46”דוד, שמצא־חן בעיני אלוהים, ביקש את הזכות לבנות מקדש קבע לאלוהי יעקב. 47אולם רק בנו של דוד, שלמה, זכה לבנות את המקדש הזה. 48‏-49ובכל זאת, אלוהים אינו שוכן במקדש מעשה ידי־אדם. ’השמים כסאי‘, אמר ה׳ בפי ישעיהו הנביא, ’והארץ – הדום רגלי. אי־זה בית אשר תבנו לי? ואי־זה מקום מנוחתי? 50(הלא) את כל אלה ידי עשתה!‘.7‏.50 ז 50 ישעיהו סו 1‏-2 51הו עם קשה עורף ועובד אלילים! עד מתי תמשיכו להתנגד לרוח הקודש? אתם נוהגים בדיוק כמו אבותיכם – גם הם התנגדו לרוח הקודש. 52האם יכולים אתם לנקוב בשמו של נביא אחד שאבותיכם לא רדפו אותו? הם אפילו הרגו את אלה שניבאו את בואו של המשיח הצדיק – זה שבגדתם בו ורצחתם אותו! 53אכן, בכוונה תחילה הפרתם את תורת ה׳, אשר נמסרה לכם באמצעות המלאכים.“

54כששמעו חברי הסנהדרין את האשמותיו של סטפנוס, נמלאו זעם וחרקו בשיניהם. 55אך סטפנוס, שהיה מלא רוח הקודש, נעץ מבטו בשמים, וראה את כבוד האלוהים ואת ישוע עומד לימין האלוהים. 56”הנני רואה את השמים נפתחים, ואת ישוע המשיח עומד לימין האלוהים!“ אמר להם סטפנוס.

57לשמע דברים אלה אטמו את אוזניהם, צרחו בכל כוחם והתנפלו עליו. 58הם גררו אותו אל מחוץ לעיר ורגמו אותו באבנים. מבצעי גזר־הדין פשטו את מעיליהם, והניחו אותם למשמרת לרגלי בחור אחד בשם שאול.

59בשעה שפגעו בו האבנים זו אחר זו התפלל סטפנוס: ”אדוני, ישוע, קבל נא את רוחי!“ 60ואז נפל על ברכיו וזעק: ”אדוני, סלח להם על החטא הזה!“ ובאותו רגע נפח את נשמתו.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 7:1-60

Hotuba Ya Stefano

1Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

27:2 Za 29:3; Mwa 11:31; 15:7; Mdo 22:1Stefano akajibu, “Ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni! Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa bado yuko Mesopotamia, kabla hajaishi Harani, 37:3 Mwa 12:1-5; 48:4akamwambia, ‘Ondoka kutoka nchi yako na kutoka kwa jamii yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.’

47:4 Mwa 12:5; Ebr 11:13“Hivyo aliondoka katika nchi ya Wakaldayo akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu akamtoa huko akamleta katika nchi hii ambayo mnaishi sasa. 57:5 Mwa 17:8; 26:3; 12:7; Ebr 11:13Mungu hakumpa urithi wowote katika nchi hii, hakumpa hata mahali pa kuweka wayo mmoja. Bali Mungu alimwahidi kuwa yeye na uzao wake baada yake wangeirithi hii nchi, ingawa wakati huo Abrahamu hakuwa na mtoto. 67:6 Kut 1:8-11; 12:40Mungu akasema naye hivi: ‘Wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.’ 77:7 Mwa 15:13-14; Kut 3:12Mungu akasema, ‘Lakini mimi nitaliadhibu taifa watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka katika nchi hiyo na wataniabudu mahali hapa.’ 87:8 Mwa 17:9-14; 21:2-4; 29:31-35; 35:16-18, 22-26Ndipo akampa Abrahamu Agano la tohara. Naye Abrahamu akamzaa Isaki na kumtahiri siku ya nane. Baadaye Isaki akamzaa Yakobo, naye Yakobo akawazaa wale wazee wetu kumi na wawili.

97:9 Mwa 37:4-11; 37:28; 39:2, 21-23; Hag 2:4“Kwa sababu wazee wetu walimwonea wivu Yosefu ndugu yao, walimuuza kama mtumwa huko Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye. 107:10 Mwa 41:37-41; Za 105:20-22Akamwokoa kutoka mateso yote yaliyompata, tena akampa kibali na hekima aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri, ambaye alimweka kuwa mtawala juu ya Misri na juu ya jumba lote la kifalme.

117:11 Mwa 41:54; 42:5“Basi kukawa na njaa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa, nao baba zetu wakawa hawana chakula. 127:12 Mwa 42:12Lakini Yakobo aliposikia kwamba kuna nafaka huko Misri, aliwatuma baba zetu, wakaenda huko kwa mara yao ya kwanza. 137:13 Mwa 45:1-4Walipokwenda mara ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, nao ndugu zake Yosefu wakajulishwa kwa Farao. 147:14 Mwa 45:9-10; Kut 1:5; Kum 10:22Ndipo Yosefu akawatuma kumleta Yakobo baba yake pamoja na jamaa yake yote, jumla yao walikuwa watu sabini na watano. 157:15 Mwa 49:33Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia. 167:16 Mwa 50:13; Yos 24:32Miili yao ilirudishwa Shekemu na kuzikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.

177:17 Kut 1:6-7; Za 105:24“Lakini wakati ulipokuwa unakaribia wa kutimizwa kwa ile ahadi ambayo Mungu alikuwa amempa Abrahamu, watu wetu walizidi kuongezeka sana huko Misri. 187:18 Kut 1:8Ndipo mfalme mwingine ambaye hakujua lolote kuhusu Yosefu akatawala Misri. 197:19 Kut 1:8-22Huyu mfalme akawatendea watu wetu hila na kuwatesa baba zetu kwa kuwalazimisha wawatupe watoto wao wachanga ili wafe.

207:20 Kut 2:2; Ebr 11:23“Wakati huo Mose alizaliwa, naye hakuwa mtoto wa kawaida. Akalelewa nyumbani kwa baba yake kwa muda wa miezi mitatu. 217:21 Kut 2:3-10Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe. 227:22 1Fal 4:30; Isa 19:11Mose akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.

237:23 Kut 2:11; 2:12“Mose alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kuwatembelea ndugu zake Waisraeli. 24Aliona mmoja wao akidhulumiwa na Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yule Mmisri akamuua kulipiza kisasi. 25Mose alidhani kuwa ndugu zake wangetambua kwamba Mungu anamtumia ili kuwaokoa, lakini wao hawakuelewa. 267:26 Kut 2:13Siku iliyofuata Mose aliwakuta Waisraeli wawili wakigombana, akajaribu kuwapatanisha kwa kuwaambia, ‘Enyi watu, ninyi ni ndugu, mbona mnataka kudhulumiana?’

277:27 Lk 12:14; Mdo 4:7; Mwa 19:9; Hes 16; 13; Kut 2:14“Lakini yule mtu aliyekuwa akimdhulumu mwenzake akamsukuma Mose kando, akamuuliza, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu? 28Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?’ 297:29 Kut 2:11-15Mose aliposikia maneno haya, alikimbilia huko Midiani alikokaa kama mgeni, naye akapata watoto wawili wa kiume.

307:30 Kut 3:2; 2:15, 22; 18:3, 4“Basi baada ya miaka arobaini kupita, malaika wa Mungu akamtokea Mose jangwani karibu na Mlima Sinai katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto. 317:31 Kut 3:1-5Alipoona mambo haya, alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie kwa karibu, akaisikia sauti ya Bwana, ikisema: 327:32 Mt 22:32; Ebr 11:16; Mdo 3:13; Kut 3:6‘Mimi ndimi Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo.’ Mose alitetemeka kwa hofu na hakuthubutu kutazama.

337:33 Kut 3:5-6; Yos 5:15“Ndipo Bwana akamwambia, ‘Vua viatu vyako kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu. 347:34 Kut 3:7-10Hakika nimeona mateso ya watu wangu huko Misri. Nimesikia kilio chao cha uchungu, nami nimeshuka ili niwaokoe. Basi sasa njoo, nami nitakutuma Misri.’

357:35 Mdo 7:27; Kut 2:14“Huyu ndiye Mose yule waliyemkataa wakisema, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu?’ Alikuwa ametumwa na Mungu mwenyewe kuwa mtawala na mkombozi wao, kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kile kichaka. 367:36 Kut 12:41; 33; 1; 14:21Aliwaongoza wana wa Israeli kutoka Misri, baada ya kufanya ishara na maajabu mengi huko Misri, katika Bahari ya Shamu,7:36 Yaani Bahari ya Mafunjo. na katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini.

377:37 Kum 18:15, 18; Mdo 3:22; Mt 15:5“Huyu ndiye yule Mose aliyewaambia Waisraeli, ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe.’ 387:38 Kut 19:17; Law 27:34; Ebr 4:12; Rum 3:2Huyu ndiye yule Mose aliyekuwa katika kusanyiko huko jangwani, ambaye malaika alisema naye pamoja na baba zetu kwenye Mlima Sinai, naye akapokea maneno yaliyo hai ili atupatie.

397:39 Hes 14:3-4“Lakini baba zetu walikataa kumtii Mose, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena. 407:40 Kut 32:1-23Wakamwambia Aroni, ‘Tufanyie miungu watakaotuongoza, kwa maana mtu huyu Mose aliyetutoa nchi ya Misri, hatujui yaliyompata.’ 417:41 Za 106:19-20; Ufu 9:20Huu ni ule wakati walitengeneza sanamu katika umbo la ndama, wakailetea sadaka kufanya maadhimisho kwa ajili ya kile kitu walichokitengeneza kwa mikono yao wenyewe. 427:42 Yos 24:20; Isa 63:19; Yer 19:13Ndipo Mungu akageuka, akawaacha waabudu jeshi lote la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Manabii:

“ ‘Je, mliniletea dhabihu na sadaka

kwa miaka arobaini kule jangwani,

ee nyumba ya Israeli?

437:43 Amo 5:25-27La, ninyi mliinua madhabahu ya Moleki,

na nyota ya mungu wenu Refani,

vinyago mlivyotengeneza ili kuviabudu.

Kwa hiyo nitawapeleka mbali’ kuliko Babeli.

447:44 Kut 38:21; Hes 17:7; Kut 25:8“Baba zetu walikuwa na lile Hema la Ushuhuda huko jangwani. Lilikuwa limetengenezwa kama Mungu alivyokuwa amemwelekeza Mose, kulingana na kielelezo alichoona. 457:45 Yos 23:9; Za 132:1-5Baba zetu wakiisha kulipokea hema kwa kupokezana wakiongozwa na Yoshua katika milki ya nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao, nalo likadumu katika nchi mpaka wakati wa Daudi, 467:46 1Fal 8:17; Za 44:2ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani. 477:47 1Fal 6:1-38; 1Nya 17:12; 2Nya 3:1Lakini alikuwa Solomoni ndiye alimjengea Mungu nyumba.

487:48 1Fal 8:27; 2Nya 2:6“Hata hivyo, Yeye Aliye Juu Sana hakai kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono ya wanadamu. Kama nabii alivyosema:

497:49 Mt 5:32-35; Isa 66:1, 2; Mt 23:22“ ‘Mbingu ni kiti changu cha enzi,

nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.

Mtanijengea nyumba ya namna gani?

asema Bwana.

Au mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?

507:50 Isa 66:1-2; Lk 23:34Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote?’

517:51 Kut 32:9; 33:3-5; Law 26:41; Yer 9:26“Enyi watu wenye shingo ngumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, daima hamwachi kumpinga Roho Mtakatifu, kama walivyofanya baba zenu. 527:52 2Nya 36:16; Mt 5:12; Mdo 3:14; 1The 2:15Je, kuna nabii gani ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki. Nanyi sasa mmekuwa wasaliti wake na wauaji. 537:53 Gal 3:19; Ebr 2:2Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”

Stefano Apigwa Mawe

547:54 Mt 5:33; Mdo 5:33Waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno. 557:55 Mk 16:19; Mdo 6:5; Lk 22:69Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu. 567:56 Mt 3:16; 8:20; Eze 1:1; Mdo 10:11; Dan 7:13Akasema, “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama upande wa kuume wa Mungu.”

57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja. 587:58 Lk 4:29; Law 24:14-16; Kum 13; 9; Mdo 22:20; 8:1Wakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka mavazi yao miguuni mwa kijana mmoja ambaye jina lake aliitwa Sauli.

597:59 Za 31:5; Lk 23:46Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 607:60 Lk 22:41; Mdo 9:40; Mt 5:44Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala.