מעשי השליחים 24 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

מעשי השליחים 24:1-27

1כעבור חמישה ימים הגיע חנניה הכהן הגדול לקיסריה, ואיתו אחדים מזקני היהודים ועורך־דין בשם טרטולוס. הם באו אל המושל והגישו את תלונתם נגד פולוס.

2כשהכניסו את פולוס אל החדר פתח טרטולוס בנאום התביעה:

”הוד מעלתך, המושל! הנהגתך הנבונה הביאה לנו, היהודים, שלום ושלווה, והפחיתה במידה ניכרת את ההפליה נגדנו. 3על כל אלה אנחנו מודים לך מאוד. 4איני רוצה לשעמם אותך ולבזבז את זמנך, אולם אני מתחנן לפניך שתואיל להקשיב לתלונתי נגד האיש הזה, ואני מבטיח לקצר בדברי. 5איש זה הוא מנהיג התנועה המשיחית; הוא מעורר מהומות, משלהב יצרים ומסית את היהודים בעולם כולו למרוד בקיסר. 6מלבד זאת הוא ניסה לחלל את בית־המקדש בשעה שאסרנו אותו.

”רצינו לתת לו את העונש המגיע לו, 7אבל לוסיאס המפקד בא וחטף אותו מידנו בכוח הזרוע, 8ודרש שפולוס יישפט על פי החוק הרומאי. אם תחקור אותו, תיווכח שדיברתי אמת.“

9כל היהודים שנכחו שם אישרו את דברי טרטולוס.

10עתה הגיע תורו של פולוס לדבר. המושל רמז לו לקום על רגליו ולשאת את דברו.

”ידוע לי, אדוני, שאתה שופט בענייני היהודים כבר שנים רבות,“ פתח פולוס, ”ועל כן אני שמח להגן על עצמי לפניך. 11לא יקשה עליך לוודא שלא עברו למעלה משנים־עשר יום מאז שעליתי לירושלים, כדי להשתחוות לה׳ בבית־המקדש. 12כמו־כן תוכל לוודא בנקל שמעולם לא עוררתי מהומות בבתי־הכנסת ולא ברחובות העיר. 13איש מן האנשים האלה לא יוכל להוכיח אף אחת מההאשמות הרבות שהם טופלים עלי.

14”אולם אני מודה בדבר אחד: אני מאמין בדרך הישועה, שהם מתייחסים אליה כאל כת או תנועה, ובדרך זאת אני עובד את אלוהי אבותינו; אני מאמין באמונה שלמה בכל מה שכתוב בספרי התורה והנביאים. 15כמו כן אני מאמין, בדיוק כמו אנשים אלה, שתהיה תחיית המתים – לצדיקים ולרשעים. 16משום כך אני משתדל בכל כוחי לשמור על מצפון נקי לפני אלוהים ולפני בני אדם.

17”לאחר היעדרות של שנים אחדות חזרתי לירושלים, כדי להביא סכום כסף לעזרת היהודים המשיחיים וכדי להקריב קרבן לאלוהים. 18מאשימי ראו אותי במקדש בשעה שהקרבתי מנחה לה׳. ראשי היה מגולח, לפי דרישת התורה, ובאותה שעה לא היה קהל סביבי ולא הייתה כל מהומה. 19אולם היו שם יהודים אחדים מאסיה, ואם יש להם טענות נגדי, מדוע אין הם נמצאים כאן עתה? 20שאל־נא את האנשים העומדים כאן עתה איזה חטא מצא בי הסנהדרין שלהם, 21מלבד משפט אחד שצעקתי לעברם: ’אני עומד לפני המועצה הזאת כדי להגן על עצמי, משום שאני מאמין בתחיית המתים!‘ “

22בנקודה זאת, פליקס, אשר ידע היטב את לימודי ישוע, סגר את התביעות ואמר: ”חכו עד שיגיע לוסיאס, מפקד הכוח, ורק אז אחליט במשפט.“ 23הוא ציווה לכלוא את פולוס בבית־הסוהר, אולם ציווה על הסוהרים להקל עליו את מאסרו, להתייחס אליו בעדינות ובאדיבות, ולהרשות לידידיו לבקר אותו, לטפל בו ולהביא לו מתנות.

24כעבור ימים אחדים בא פליקס עם אשתו היהודייה דרוסילה ושלח לקרוא לפולוס. פליקס ואשתו הקשיבו לפולוס בתשומת לב בשעה שסיפר להם על האמונה במשיח. 25הוא שוחח איתם על צדקה, על כיבוש היצר ועל הדין העתיד לבוא.

פליקס, שנמלא פחד נורא, אמר לפולוס: ”לך עכשיו, בבקשה. אקרא לך שוב בהזדמנות אחרת.“

26בסתר לבו הוא קיווה שפולוס יציע לו שוחד, ועל כן קרא לו מדי פעם לשיחה. 27כך חלפו שנתיים ימים, ואז מונה פורקיוס פסטוס למושל במקומו של פליקס. אולם פליקס רצה למצוא־חן בעיני היהודים, ולכן השאיר את פולוס בבית־הסוהר.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 24:1-27

Mbele Ya Feliksi Huko Kaisaria

124:1 Mdo 23:2; 23:30-35; 23:24Baada ya siku tano, kuhani mkuu Anania akashuka akiwa amefuatana na baadhi ya wazee pamoja na mwanasheria mmoja aitwaye Tertulo, nao wakaleta mashtaka yao dhidi ya Paulo mbele ya mtawala. 224:2 Lk 1:3; Mdo 23:26Paulo alipoitwa aingie ndani, Tertulo akaanza kutoa mashtaka akisema, “Mtukufu Feliksi, kwa muda mrefu tumefurahia amani na matengenezo mengi mazuri yamefanywa kwa ajili ya watu hawa kwa sababu ya upeo wako wa kuona mambo ya mbele. 324:3 Lk 1:3; Mdo 23:26; 26:25Wakati wote na kila mahali, kwa namna yoyote, mtukufu sana Feliksi, tumeyapokea mambo haya yote kwa shukrani nyingi. 4Lakini nisije nikakuchosha zaidi, ningekuomba kwa hisani yako utusikilize kwa kifupi.

524:5 Mdo 16:20; 17:6; 21:28; Mk 1:24; Mdo 28:22“Tumemwona mtu huyu kuwa ni msumbufu, anayechochea ghasia miongoni mwa Wayahudi duniani pote. Yeye ndiye kiongozi wa dhehebu la Wanazarayo, 624:6 Mdo 21:28na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata; [tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu. 7Lakini jemadari Lisia alitujia na nguvu nyingi, akamwondoa mikononi mwetu, 8akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako: ili] kwa kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua kutoka kwake mambo yote tunayomshtaki kwayo.”

924:9 1The 2:16Pia wale Wayahudi wakaunga mkono wakithibitisha kuwa mashtaka yote haya ni kweli.

Paulo Ajitetea Mbele Ya Feliksi

1024:10 Mdo 23:24Mtawala Feliksi alipompungia Paulo mkono ili ajitetee, yeye akajibu, “Najua kwamba wewe umekuwa hakimu katika taifa hili kwa miaka mingi, hivyo natoa utetezi wangu kwa furaha. 1124:11 Mdo 21:27Unaweza kuhakikisha kwa urahisi kuwa hazijapita zaidi ya siku kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu kuabudu. 1224:12 Mdo 25:8; 28:17Hawa wanaonishtaki hawakunikuta nikibishana na mtu yeyote Hekaluni au kuchochea umati wa watu katika sinagogi au mahali pengine popote mjini. 1324:13 Mdo 25:7Wala hawawezi kabisa kukuthibitishia mashtaka haya wanayonishtaki kwayo. 1424:14 Mdo 3:13; 9:2; 26:6, 22; 28:23Lakini, ninakubali kwamba mimi namwabudu Mungu wa baba zetu, mfuasi wa Njia, ile ambayo wao wanaiita dhehebu. Ninaamini kila kitu kinachokubaliana na Sheria na kile kilichoandikwa katika Manabii, 1524:15 Mdo 23:6; 28:20; Dan 12:12; Mt 25:46nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwa wenye haki na wasio na haki. 1624:16 Mdo 23:1Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu.

1724:17 Mdo 11:29, 30; Rum 15:25-28, 31; 1Kor 16:1-4, 15; 2Kor 8:1-4; Gal 2:10“Basi, baada ya kutokuwepo kwa miaka mingi nilikuja Yerusalemu ili kuwaletea watu wangu msaada kwa ajili ya maskini na kutoa dhabihu. 1824:18 Mdo 21:26Nilikuwa nimeshatakaswa kwa taratibu za kiibada waliponikuta Hekaluni nikifanya mambo haya. Hapakuwa na umati wa watu, pamoja nami wala aliyehusika kwenye fujo yoyote. 1924:19 Mdo 23:30Lakini kulikuwa na baadhi ya Wayahudi kutoka Asia, ambao wangelazimika wawepo hapa mbele yako ili watoe mashtaka kama wanalo jambo lolote dhidi yangu. 20Au, watu hawa walioko hapa waseme ni uhalifu gani walioniona nao waliponisimamisha mbele ya baraza, 2124:21 Mdo 23:6isipokuwa ni kuhusu jambo hili moja nililopiga kelele mbele yao kwamba, ‘Mimi nashtakiwa mbele yenu leo kwa sababu ya ufufuo wa wafu.’ ”

2224:22 Mdo 9:2; 24:7Basi Feliksi ambaye alikuwa anafahamu vizuri habari za Njia ile, akaahirisha shauri lile kwa maelezo yake akisema, “Wakati jemadari Lisia atakapoteremka huku, nitaamua shauri lako.” 2324:23 Mdo 23:35; 28:16; 23:16; 27:3Ndipo akaamuru kiongozi wa askari amweke chini ya ulinzi lakini ampe uhuru na kuwaruhusu rafiki zake wamhudumie.

2424:24 Mdo 20:21Baada ya siku kadhaa, Feliksi alikuja pamoja na Drusila mkewe, ambaye alikuwa Myahudi. Alituma aitiwe Paulo, naye akamsikiliza alipokuwa akinena juu ya imani katika Kristo Yesu. 2524:25 Gal 5:23; 1Pet 4:7; Mdo 10:42Naye Paulo alipokuwa akinena juu ya haki, kuwa na kiasi na juu ya hukumu ijayo, Feliksi aliingiwa na hofu na kusema, “Hiyo yatosha sasa! Waweza kuondoka. Nitakapokuwa na wasaa nitakuita.” 26Wakati huo Feliksi alitazamia kwamba Paulo angempa rushwa. Hivyo akawa anamwita mara kwa mara na kuzungumza naye.

2724:27 Mdo 25:1, 4, 9, 14; 12:3; 25:9; 23:35; 25:14Baada ya miaka miwili kupita, Porkio Festo akaingia kwenye utawala mahali pa Feliksi, lakini kwa kuwa Feliksi alitaka kuwapendeza Wayahudi, akamwacha Paulo gerezani.