הבשורה על-פי מתי 11 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי מתי 11:1-30

1כשישוע סיים לתת הוראות לתלמידיו, הלך בעצמו להטיף בערים שלהם.

2יוחנן המטביל, שהיה אז בכלא, שמע על הנסים שחולל המשיח, ולכן שלח שניים מתלמידיו לשאול את ישוע: 3”האם אתה האיש שלו אנו מחכים? או האם עלינו להמשיך לחכות למישהו אחר?“

4השיב להם ישוע: ”לכו וספרו ליוחנן את כל מה שראיתם ושמעתם כאן היום. 5ספרו לו שהעיוורים רואים, הפיסחים מהלכים, המצורעים מטוהרים, החרשים שומעים, המתים קמים לתחייה והעניים שומעים את בשורת מלכות האלוהים. 6מלבד זאת אמרו לו: ’אשרי האיש שעבורו אינני מהווה מכשול!‘ “ 7לאחר שהלכו התלמידים החל ישוע לדבר אל הקהל על יוחנן: ”למה ציפיתם כשהלכתם אל המדבר השומם לראות את יוחנן? עשב הנע ברוח? 8או אולי ציפיתם לפגוש אדם לבוש פאר, כמו נסיך בארמון? 9או האם ציפיתם לראות נביא אלוהים? אז נכון, והוא אף גדול מנביא! 10יוחנן הוא השליח שנועד ללכת לפני ולבשר את בואי, כפי שכתוב בתנ״ך:11‏.10 יא 10 מלאכי ג 1 ’הנני שולח מלאכי לפניך ופנה דרכך לפניך.‘

11”אומר לכם את האמת: מבין כל האנשים שנולדו אי־פעם, לא היה איש גדול כיוחנן המטביל. ובכל זאת, הוא נחשב לקטן לעומת כל אחד במלכות השמים. 12מאז יוחנן ועד היום, חייבים להיאבק למען מלכות השמיים! 13כל התורה והנביאים סיפרו על המשיח עד בואו של יוחנן. 14אם אתם מוכנים להאמין לדברי, יוחנן הוא שאליו כולם מחכים ומייחלים. 15מי שמסוגל לשמוע, שיקשיב!

16”מה אני יכול להגיד על הדור הזה? האנשים כאן דומים לילדים המשחקים עם חבריהם ואומרים: 17’שיחקנו אתכם ב”חתן וכלה“, אבל לא שמחתם. שיחקנו אתכם ב”לוויה“, אבל לא התאבלתם‘. 18יוחנן המטביל התנזר מיין וצם לעיתים קרובות, ואתם אומרים עליו ’שד בו‘. 19בן־האדם אוכל ושותה ואתם מתלוננים שהוא זולל וסובא ומתחבר עם אנשים מפוקפקים. האמת של אלוהים נגלית דרך חייהם וחוכמתם של צדיקים.“11‏.19 יא 19 כלשונו: ”ונצדקה החכמה בבניה“

20לאחר מכן החל ישוע להוכיח את הערים שבהן חולל נסים רבים, כי התושבים לא חזרו בתשובה.

21”אוי לכן, כורזין ובית־צידה! אילו חוללתי בערים המושחתות צור וצידון את הנסים שחוללתי בקרבכן, אנשיהן מזמן היו חוזרים בתשובה ולובשים שק ואפר לאות חרטה. 22ובאמת, ביום־הדין תקבלנה צור וצידון עונש קל משלכן! 23וְאַתְּ, כפר־נחום, החושבת אַתְּ שישבחו וירוממו אותַך עד השמים? לגיהינום תורדי! אילו נעשו בסדום הנפלאות שחוללתי בך, הייתה סדום קיימת עד היום! 24ובאמת, ביום־הדין תקבל סדום עונש קל משלך!“

25לאחר מכן התפלל ישוע את התפילה הבאה: ”אבי, אדון השמים והארץ, אני מודה לך על שהסתרת את האמת מפני אלה החושבים את עצמם לחכמים, ועל שגילית אותה לילדים קטנים. 26תודה לך אבי, על שבחרת לפעול דווקא כך.

27”הכול נמסר לי מאת אבי. איש אינו מכיר ממש את הבן – מלבד האב. ואיש אינו מכיר ממש את האב – מלבד הבן, והאנשים שהוא בוחר לגלות להם את האב.“

28”אתם, העייפים והנושאים עול כבד: בואו אלי ואתן לכם מנוחה. 29‏-30שאו את העול שלי ולימדו ממני, כי אני עניו וצנוע, ואצלי תמצאו מנוחה לנפשותיכם. כי עולי נעים ומשאי קל.“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 11:1-30

Yesu Na Yohana Mbatizaji

(Luka 7:18-35)

111:1 Mt 7:28; 26:1Baada ya Yesu kumaliza kutoa maagizo kwa wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka hapo akaenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao.

211:2 Mt 14:3Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo11:2 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake 311:3 Za 118:26; Ebr 10:37ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”

4Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona: 511:5 Lk 4:18-19; Isa 61:1-2Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema. 611:6 Mt 13:21; 26:31Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

711:7 Mt 3:1-5Wale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? 8Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme. 911:9 Lk 1:76; 7:26Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 1011:10 Mal 3:1; Lk 7:27Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa:

“ ‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,

atakayetengeneza njia mbele yako.’

1111:11 Mt 13:17Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 1211:12 Lk 16:16; 13:24Tangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 1311:13 Lk 16:16Kwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 1411:14 Mal 4:5; Yn 1:21Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 1511:15 Lk 14:35; Ufu 2:7Yeye aliye na masikio, na asikie.

1611:16 Lk 7:31“Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,

1711:17 Mit 29:9“ ‘Tuliwapigia filimbi,

lakini hamkucheza;

tuliwaimbia nyimbo za maombolezo,

lakini hamkuomboleza.’

1811:18 Mt 3:4; Lk 1:15Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja, alikuwa hali wala hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’ 1911:19 Mt 9:11Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, nao wanasema, ‘Tazameni huyu mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na “wenye dhambi.” ’ Lakini hekima huthibitishwa kuwa kweli kwa matendo yake.”

Onyo Kwa Miji Isiyotubu

(Luka 10:13-15)

2011:20 Lk 10:11Ndipo Yesu akaanza kushutumu miji ambamo alifanya miujiza yake mingi kuliko kwingine, kwa maana watu wake hawakutubu. 2111:21 Mk 8:22; Yn 1:44; Yoe 3:4; Mk 3:8; Yn 3:5-9“Ole wako, Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa maana kama miujiza iliyofanyika kwenu, ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu. 2211:22 Mt 11:24; 10:15Lakini nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi. 2311:23 Mt 4:13; Isa 14:13-15Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.11:23 Kuzimu ni Mahali pa wafu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. 2411:24 Mt 10:15Lakini nakuambia kwamba, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ya hukumu kuliko wewe.”

Hakuna Amjuaye Baba Ila Mwana

(Luka 10:21-22)

2511:25 Lk 23:34; Yn 12:27-28; Mt 13:11; 1Kor 1:26-29Wakati huo Yesu alisema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo. 26Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.

2711:27 Mt 28:18; Yn 3:35; 10:15; 17:25-26“Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu: Hakuna mtu amjuaye Mwana ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.

Yesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo

2811:28 Yn 7:37“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. 2911:29 Flp 2:5; 1Yn 2:6; Za 116:7; Yer 6:16Jifungeni nira yangu, mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu. 3011:30 1Yn 5:3Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”