הבשורה על-פי לוקס 14 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי לוקס 14:1‏-35

1‏-2מנהיג פרושי אחד הזמין את ישוע לסעוד בביתו בשבת. האורחים האחרים שהיו בבית הפרוש הביטו בישוע בתשומת לב מרובה, כי רצו לראות אם ירפא איש חולה שהיה איתם. לאיש הייתה מחלה שמנפחת את הגוף בגלל עודף נוזלים. 3ישוע פנה אל הפרושים ואל חכמי־התורה ושאל: ”האם מותר לרפא חולה בשבת או אסור?“ 4משלא ענו לשאלתו אחז ישוע ביד החולה, ריפא אותו ושלח אותו לדרכו.

5לאחר מכן פנה ישוע אל הנוכחים ואמר: ”מי מכם אינו עובד בשבת? אם החמור או השור שלכם ייפול בשבת לתוך באר, לא תמהרו לחלץ אותו?“ 6גם הפעם לא השיבו לו. 7ישוע שם לב לכך שכל אחד מהאורחים בבית הפרוש השתדל לתפוס מקום ישיבה מכובד, ולכן אמר להם: 8”אם הוזמנת לחתונה, אל תשב בראש השולחן, שמא יבוא אורח חשוב ממך, 9ואז יבוא המארח ויבקש ממך לפנות את מקומך לאורח הנכבד. בבושת פנים תאלץ לקום ולשבת בפינה, היכן שנותר כיסא פנוי.

10”נהג כך: בבואך לחתונה שב בפינה. כשיראה אותך המארח הוא יבוא ויאמר: ’ידידי היקר, מדוע אתה יושב בפינה? עליך לשבת במקום נכבד יותר!‘ וכך תכובד לעיני כל האורחים. 11כי מי שמכבד את עצמו יושפל ומי שמשפיל את עצמו יכובד.“ 12לאחר מכן פנה ישוע אל מארחו ואמר: ”כשאתה עורך סעודה אל תזמין את חבריך, אחיך, קרוביך או שכניך העשירים, כי יש להניח שהם יזמינו אותך לסעוד בביתם, וכך תקבל את גמולך המלא. 13הזמן במקומם את העניים, הצולעים, בעלי המום והעיוורים. 14אמנם אין באפשרותם להשיב לך כגמולך, אך בתחיית המתים אלוהים עצמו ישלם ויגמול לך ולכל עושה טוב.“

15אחד מהמסובים, שהקשיב בתשומת לב לדברי ישוע, קרא: ”זכות גדולה היא להשתתף בסעודת מלכות האלוהים!“

16ישוע ענה לו במשל: ”איש אחד ערך סעודה גדולה והזמין אורחים רבים. 17כאשר הושלמו ההכנות שלח את עבדו להודיע למוזמנים שהסעודה מוכנה. 18אך כל אחד מהמוזמנים מצא תירוץ וסיבה שלא לבוא. האחד אמר: ’אני באמת מצטער שאיני יכול לבוא, זה עתה קניתי חלקת אדמה ואני מוכרח ללכת לבדוק אותה‘. 19השני אמר: ’הבוקר קניתי חמישה צמדי שוורים, ואני מוכרח ללכת לראות איך הם עובדים, קבל בבקשה את התנצלותי‘. 20השלישי בדיוק נשא אישה, ולכן לא השתתף בסעודה.

21”העבד חזר אל אדוניו ומסר לו את דברי המוזמנים השונים. אדוניו התרגז מאוד וביקש מהעבד למהר אל הרחובות ואל הסמטאות ולהזמין את העניים, בעלי המום, העיוורים והפיסחים. 22העבד מילא את רצון אדוניו, אך עדיין היה מקום לאורחים נוספים.

23” ’לך אל הסמטאות, אל השבילים ואל מקומות־מחבוא‘, אמר בעל הבית לעבדו, ’והפצר בקבצנים ובנוודים לבוא לסעודה, כדי שהבית יתמלא עד אפס מקום. 24איש מהמוזמנים הראשונים לא יטעם מהסעודה שלי!‘ “

25כשהלך אחריו קהל גדול, פנה ישוע לאחור ודיבר אל האנשים: 26”מי שרוצה ללכת בעקבותיי עליו לאהוב אותי יותר מאשר את אביו, אמו, אשתו, ילדיו, אחיו ואחיותיו – אפילו יותר מחייו – אחרת לא יוכל להיות תלמיד שלי. 27מי שאינו נושא את צלבו ואינו בא אחרי איננו יכול להיות תלמידי. 28עליכם לחשוב ולשקול היטב לפני שאתם מחליטים ללכת אחרי. אם ברצונך לבנות בית, האם לא תשב תחילה ותחשב את המחיר, כדי לראות אם יש באפשרותך להשלים את הבנייה? 29אם לא תחשב את המחיר תיווכח, לאחר שתניח את היסודות, שאין לך מספיק כסף ולא תוכל להשלים את הבניין. כל מי שיראה את המבנה הלא־גמור ילעג לך ויאמר: 30’האיש הזה התחיל לבנות בית, אבל הפסיק באמצע משום שלא היה מספיק כסף!‘

31”או איזה מלך יאיים במלחמה נגד מלך אחר, לפני שיישב תחילה וישקול בכובד ראש אם צבאו המונה 10,000 חיילים, מסוגל להביס את 20,000 חיילי האויב? 32אם יגיע למסקנה שאין לו סיכוי לנצח הוא ישלח אל יריבו שליחים, לפני שיהיה מאוחר מדי, ויבקש לערוך משא ומתן לשלום. 33גם אתם צריכים לחשוב ולשקול היטב לפני שאתם מחליטים ללכת אחרי. מי שאינו מוכן לוותר על כל רכושו למעני לא יוכל להיות תלמידי.

34”מלח הוא דבר מועיל, אבל אם הוא מאבד את מליחותו, כיצד ניתן להשיב לו את טעמו? 35מלח חסר־טעם אינו מביא כל תועלת – אי־אפשר להשתמש בו אפילו כדשן. מי שמסוגל לשמוע שיקשיב.“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 14:1-35

Yesu Nyumbani Mwa Farisayo

114:1 Lk 7:36; 11:37; Mt 12:10Ikawa siku moja Yesu alipokuwa amekwenda kula chakula kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo siku ya Sabato, watu walikuwa wakimchunguza kwa bidii. 2Papo hapo mbele yake palikuwa na mtu mmoja mwenye ugonjwa wa kuvimba mwili. 314:3 Mt 22:25; 12:10Yesu akawauliza wale Mafarisayo na walimu wa sheria, “Je, ni halali kuponya watu siku ya Sabato au la?” 4Wakakaa kimya. Hivyo Yesu akamshika yule mgonjwa mkono na kumponya, akamruhusu aende zake.

514:5 Lk 13:15Kisha akawauliza, “Kama mmoja wenu angekuwa na mtoto au ngʼombe wake aliyetumbukia katika kisima siku ya Sabato, je, hamtamvuta mara moja na kumtoa?” 6Nao hawakuwa na la kusema.

Unyenyekevu Na Ukarimu

714:7 Lk 11:43Alipoona jinsi wageni walivyokuwa wanachagua mahali pa heshima wakati wa kula, akawaambia mfano huu: 814:8 Mit 25:6“Mtu akikualika arusini, usikae mahali pa mgeni wa heshima kwa kuwa inawezekana amealikwa mtu mheshimiwa kuliko wewe. 9Kama mkifanya hivyo yule aliyewaalika ninyi wawili atakuja na kukuambia, ‘Mpishe huyu mtu kiti chako.’ Ndipo kwa aibu utalazimika kukaa katika nafasi ya chini kabisa. 1014:10 Mit 25:6, 7Badala yake, unapoalikwa, chagua nafasi ya chini, ili yule mwenyeji wako atakapokuona atakuja na kukuambia, ‘Rafiki yangu, nenda kwenye nafasi iliyo bora zaidi.’ Kwa jinsi hii utakuwa umepewa heshima mbele ya wageni wenzako wote. 1114:11 Mt 23:12; Lk 18:14Kwa maana kila mtu ajikwezaye atashushwa, naye ajishushaye atakwezwa.”

12Kisha Yesu akamwambia yule aliyewaalika, “Uandaapo karamu ya chakula cha mchana au cha jioni, usialike rafiki zako au ndugu zako au jamaa zako au majirani zako walio matajiri tu. Ukifanya hivyo, wao nao wanaweza kukualika kwao, nawe ukawa umelipwa kile ulichofanya na kupata thawabu yako. 1314:13 Neh 8:10, 12; Kum 14:29Bali ufanyapo karamu, waalike maskini, vilema na vipofu, 1414:14 Mdo 24:15; Yn 5:29nawe utabarikiwa kwa sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye haki.”

Mfano Wa Karamu Kuu

(Mathayo 22:1-10)

1514:15 Isa 25:6; Ufu 19:9; Mt 3:2Mmoja wa wale waliokuwa pamoja naye mezani aliposikia hivi akamwambia Yesu, “Amebarikiwa mtu yule atakayekula katika karamu ya Ufalme wa Mungu!”

1614:16 Mt 22:2Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anaandaa karamu kubwa, akaalika watu wengi. 1714:17 Mit 9:2, 3Wakati wa karamu ulipofika, akamtuma mtumishi wake akawaambie wale walioalikwa, ‘Karibuni, kila kitu ki tayari sasa.’

18“Lakini wote, kila mmoja, wakaanza kutoa udhuru: Wa kwanza akasema, ‘Nimenunua shamba, lazima niende kuliona. Tafadhali niwie radhi.’

19“Mwingine akasema, ‘Ndipo tu nimenunua jozi tano za ngʼombe wa kulimia, nami ninakwenda kuwajaribu, tafadhali niwie radhi.’ 2014:20 1Kor 7:33Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’

2114:21 Lk 14:13“Yule mtumishi akarudi, akampa bwana wake taarifa. Ndipo yule mwenye nyumba akakasirika, akamwagiza yule mtumishi wake, akisema, ‘Nenda upesi kwenye mitaa na vichochoro vya mjini uwalete maskini, vilema, vipofu na viwete.’

22“Yule mtumishi akamwambia, ‘Bwana, yale uliyoniagiza nimefanya, lakini bado ipo nafasi.’

23“Ndipo yule bwana akamwambia mtumishi wake, ‘Nenda kwenye barabara na vijia vilivyoko nje ya mji na uwalazimishe watu waingie ili nyumba yangu ipate kujaa. 2414:24 Mt 21:43; Mdo 13:46Kwa maana nawaambia, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeionja karamu yangu.’ ”

Gharama Ya Kuwa Mwanafunzi

(Mathayo 10:37-38)

25Umati mkubwa wa watu ulikuwa ukisafiri pamoja na Yesu, naye akageuka, akawaambia, 2614:26 Mt 10:37; Yn 12:25“Mtu yeyote anayekuja kwangu hawezi kuwa mwanafunzi wangu kama hatanipenda mimi zaidi ya baba yake na mama yake, mke wake na watoto wake, ndugu zake na dada zake, naam, hata maisha yake mwenyewe. 2714:27 Mt 10:38; Lk 9:23Yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

2814:28 Mit 24:27“Ni nani miongoni mwenu ambaye kama anataka kujenga nyumba, hakai kwanza chini na kufanya makisio ya gharama aone kama ana fedha za kutosha kukamilisha? 29La sivyo, akiisha kuweka msingi, naye akiwa hana uwezo wa kuikamilisha, wote waionao wataanza kumdhihaki, 30wakisema, ‘Mtu huyu alianza kujenga lakini hakuweza kukamilisha.’

31“Au ni mfalme gani atokaye kwenda kupigana vita na mfalme mwingine, ambaye hakai chini kwanza na kufikiri iwapo akiwa na jeshi la watu 10,000 ataweza kupigana na yule anayekuja na jeshi la watu 20,000? 32Kama hawezi, basi wakati yule mwingine akiwa bado yuko mbali, yeye hutuma ujumbe wa watu na kuomba masharti ya amani. 3314:33 Flp 3:7-8Vivyo hivyo, yeyote miongoni mwenu ambaye hawezi kuacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

Chumvi Isiyofaa

(Mathayo 5:13; Marko 9:50)

3414:34 Mk 9:50“Chumvi ni nzuri, lakini chumvi ikiwa imepoteza ladha yake, itafanywaje ili iweze kukolea tena? 3514:35 Mt 5:13; 11:15Haifai ardhi wala kwa lundo la mbolea, bali hutupwa nje.

“Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”