אגרת פולוס השנייה אל-הקורנתים 6 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

אגרת פולוס השנייה אל-הקורנתים 6:1-18

1כעוזרי אלוהים אנו מתחננים לפניכם לא להזניח את חסד אלוהים שקיבלתם; אל תבזבזו את טובו וחסדו של אלוהים! 2כי הוא אומר:6‏.2 ו 2 ישעיהו מט 8 ”בעת רצון עניתיך וביום ישועה עזרתיך“. עתה עת רצון והיום יום ישועה!

3אנו משתדלים לא להיות מכשול לאיש, כדי שלא יטילו דופי בעבודתנו. 4אדרבא, בכל מעשינו אנו משתדלים להראות שאנו משרתי אלוהים. בסבלנות רבה אנו נושאים סבל, צרות ומצוקות. 5הוכינו, הושלכנו לכלא, נמסרנו לידי המון זועם; עמלנו עד אפיסת כוחות, לא אכלנו ולא ישנו. 6הוכחנו שאנו משרתי אלוהים בחיינו הטהורים, בהבנתנו את הבשורה, בסבלנותנו, בנדיבות לבנו, באהבתנו הכנה, ברוח הקודש הממלא אותנו, 7בדבר האמת שבפינו ובגבורת אלוהים. אנו חמושים בנשק הצדקה להגנה ולהתקפה. 8אנו שומרים על נאמנותנו לאדון אם מכבדים אותנו ואם בזים לנו, אם מבקרים או משבחים אותנו. אנו כנים וישרים אך נחשבים לשקרנים. 9העולם מתעלם מאתנו, אך רבים מכירים אותנו; אנו קרובים למוות, ובכל זאת חיים. נפצענו אך לא מתנו. 10לבנו מלא צער, ובכל זאת אנו שמחים באדון. אנו אמנם עניים, אך מעשירים אנשים רבים במתנות רוחניות. אנו חסרי־כל אך נהנים מן הכול.

11הו, ידידי הקורינתיים, דיברתי אליכם בכנות ופתחתי לפניכם את לבי. 12לא סגרתי את לבי בפניכם; אתם סגרתם את לבכם בפני! 13אני פונה אליכם עתה כאל בני: אנא, פתחו לנו את לבכם והיענו לאהבתנו.

14אל תיכנסו לשותפות עם אלה שאינם אוהבים את האדון, שכן מה המשותף לאנשי אלוהים ולאנשי חטא? כיצד יכול האור לחיות עם החושך?

15איזו הסכמה יכולה להיות בין המשיח לבין השטן? כיצד יכול המאמין להיות שותף ללא־מאמין? 16איזה קשר יש להיכל אלוהים עם האלילים? הלא אתם היכל אלוהים, משכן אלוהים חיים, שכן הוא עצמו אמר:6‏.16 ו 16 ויקרא כו 11,12 ”ונתתי משכני בתוככם … והתהלכתי בתוככם והייתי לכם לאלוהים ואתם תהיו לי לעם“. 17על כן אמר ה׳:6‏.17 ו 17 ישעיה נב 11; יחזקאל כ 34,41 ”צאו מתוכם והברו, נאום ה׳, וטמא אל תיגעו ואני אקבץ אתכם. 18והייתי לכם לאב ואתם תהיו לי לבנים ולבנות, נאום ה׳ צבאות.“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 6:1-18

16:1 1Kor 3:9; 2Kor 5:20; 1Kor 15; 2Kama watendakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure. 26:2 Isa 49; 8; Za 69:13; Isa 55:6Kwa maana asema:

“Wakati wangu uliokubalika nilikusikia,

siku ya wokovu nilikusaidia.”

Tazama, wakati uliokubalika ndio huu, siku ya wokovu ndiyo sasa.

Taabu Za Paulo

36:3 Mt 5:29; Rum 14:13-20; 1Kor 8:9-13; 9:13; 10:32Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama. 46:4 2Kor 4:2; 1Kor 4:1Bali kama watumishi wa Mungu tuonyeshe kwa kila njia: katika saburi nyingi; katika dhiki, katika misiba, na katika shida; 56:5 Mdo 16:23; 2Kor 11:23-25; 1Kor 4:11katika kupigwa, katika kufungwa gerezani na katika ghasia; katika kazi ngumu, katika kukesha na katika kufunga; 66:6 1Kor 2:4; Rum 12:5; 1Tim 1:5; 1The 1:5katika utakatifu, katika ufahamu, katika uvumilivu, na katika utu wema; katika Roho Mtakatifu na upendo wa kweli; 76:7 2Kor 4:2-7; Rum 13:12; 2Kor 10:4; Efe 6:10-18katika maneno ya kweli na katika nguvu za Mungu, kwa silaha za haki za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto; 86:8 1Kor 4:10-13; Mt 27:63katika utukufu na katika kudharauliwa; katika sifa mbaya na katika sifa nzuri; tukiwa kama wadanganyaji, lakini tukiwa wakweli; 96:9 Rum 8:36; 2Kor 1:8-10; 4:10-11tukiwa maarufu, lakini tukihesabiwa kama tusiojulikana; tukiwa kama wanaokufa, lakini tunaishi; tukipigwa, lakini hatuuawi; 106:10 Mt 5:12; 2Kor 7; 4; Flp 2:17; 4:4; Kol 1:24; 1The 1:6; 2Kor 8:9; Mdo 3:6; Rum 8:32tukiwa kama wenye huzuni, lakini siku zote tukifurahi; tukionekana maskini, lakini tukitajirisha wengi; tukiwa kama wasio na kitu, lakini tuna vitu vyote.

116:11 2Kor 7:3; Za 119:32Tumesema nanyi wazi, enyi Wakorintho na kuwafungulieni mioyo yetu wazi kabisa. 126:12 2Nya 12:15Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu. 136:13 1The 2:11; 2Kor 7:2Sasa nasema, kama na watoto wangu: Ninyi pia ifungueni mioyo yenu kabisa.

Msifungiwe Nira Pamoja Na Wasioamini

146:14 Mwa 24:3; Kum 22:10; 1Kor 5:9-10; Efe 5:7-11Msifungiwe nira pamoja na watu wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa, kwa maana pana uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 156:15 1Kor 10:21; Mdo 5:14; 1Kor 6; 6Kuna mapatano gani kati ya Kristo na Beliari?6:15 Beliari hapa ina maana ya uovu, kutokumcha Mungu. Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini? 166:16 1Kor 10:21; 3:16; Mt 16:16; Law 26:12; Yer 32:38; Eze 37:27; Ufu 21; 3Kuna mapatano gani kati ya Hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi tu Hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema: “Nitakaa pamoja nao na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”

176:17 Ufu 18; 4; Isa 51:11; Eze 20:34-41“Kwa hiyo tokeni miongoni mwao,

mkatengwe nao,

asema Bwana.

Msiguse kitu chochote kilicho najisi,

nami nitawakaribisha.”

186:18 Kut 4:22; 2Sam 7:14; 1Nya 17:13; Isa 43:6; Rum 8:14; 2Sam 7:8“Mimi nitakuwa Baba kwenu,

nanyi mtakuwa wanangu na binti zangu,

asema Bwana Mwenyezi.”