LIBRO I
Salmos 1–41
Salmo 1
1Dichoso el hombre
que no sigue el consejo de los malvados,
ni se detiene en la senda de los pecadores
ni cultiva la amistad de los blasfemos,
2sino que en la ley del Señor se deleita,
y día y noche medita en ella.
3Es como el árbol
plantado a la orilla de un río
que, cuando llega su tiempo, da fruto
y sus hojas jamás se marchitan.
¡Todo cuanto hace prospera!
4En cambio, los malvados
son como paja arrastrada por el viento.
5Por eso no se sostendrán los malvados en el juicio,
ni los pecadores en la asamblea de los justos.
6Porque el Señor cuida el camino de los justos,
mas la senda de los malos lleva a la perdición.
KITABU CHA KWANZA
(Zaburi 1–41)
Zaburi 1
Furaha Ya Kweli
11:1 Kum 33:29; Za 40:4; 26:9; 37:38; 51:13; 104:35; 26:4; 10:2-11; 128:4; 89:15; 81:12; Mwa 49:6; Isa 28:14; Hos 7:5; Ay 21:16; 11:3; 31:5; Mit 1:22; 4:14Heri mtu yule ambaye
haendi katika shauri la watu waovu,
wala hasimami katika njia ya wenye dhambi,
au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
21:2 Za 19:7; 119:1, 16, 35; 112:1; Rum 7:22; Eze 11:20; 18:17; Mwa 24:63Bali huifurahia sheria ya Bwana,
naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
31:3 Za 46:4; 65:9; 52:8; 92:12, 14; 128:2, 3; Yer 11:16; Zek 4:3; Hes 24:6; Ay 14:9; Eze 17:5; 47:12; Isa 1:30; 64:6; Mwa 39:3Mtu huyo ni kama mti uliopandwa
kando ya vijito vya maji,
ambao huzaa matunda kwa majira yake
na majani yake hayanyauki.
Lolote afanyalo hufanikiwa.
Huzuni Ya Waovu
41:4 Ay 13:25; Isa 40:24; Yer 13:24Sivyo walivyo waovu!
Wao ni kama makapi
yapeperushwayo na upepo.
51:5 Za 5:5; 26:12; 35:28; 82:1; 89:5; 107:32; 111:1; 149:1; Ay 19:29; 1:6; Za 37:18; 121:5; 145:20; 9:6; Nah 1:7; Law 26:38; Yn 1:41Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu,
wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki,
bali njia ya waovu itaangamia.