耶路撒冷的少女:
1絕色的佳人啊,
你的良人去了何處?
你的良人轉往何方?
我們好幫你尋找他。
女子:
2我的良人下到自己的園中,
在香草花圃中牧放他的羊群,
採集百合花。
3我屬於我的良人,
我的良人也屬於我。
他在百合花間牧放羊群。
男子:
4我的愛人啊,
你像得撒一樣秀麗,
像耶路撒冷一樣佳美,
像旌旗飄揚的軍隊一樣威嚴。
5求你把視線移開吧,
因為你的眼波使我迷亂。
你的秀髮像從基列山坡下來的山羊群。
6你的牙齒白得像一群洗乾淨的母羊,
成雙成對,
一顆也沒有脫落。
7你面紗下的雙頰如兩瓣石榴。
8雖有六十個王后,
八十個妃嬪和無數的宮女,
9但我完美無瑕的小鴿子獨一無二,
她是她母親的獨女和最愛。
眾女子看見她都誇她有福,
王后和妃嬪見了也連連稱讚她,說:
10「這位燦爛似晨光,
皎潔如明月,耀眼如太陽,
亮麗如佈滿天際之星辰6·10 「佈滿天際之星辰」希伯來文是「威嚴如旌旗飄揚的軍隊」,希伯來人常把星星比作天上的軍隊。的是誰呢?」
11我下到核桃園中,
要看看谷中嫩綠的植物,
看看葡萄樹是否已發芽,
石榴樹是否正在開花。
12不知不覺,
我的心把我帶到我尊長的車上。
耶路撒冷的少女:
13回來吧,回來吧,
書拉密的少女!
回來吧,回來吧,
好讓我們再看看你!
男子:
你們為何目不轉睛地看著書拉密的少女,
好像觀看瑪哈念的舞蹈呢?
Marafiki
16:1 Wim 1:8; 5:6Mpenzi wako amekwenda wapi,
ewe mzuri kupita wanawake wote?
Mpenzi wako amegeukia njia ipi,
tupate kumtafuta pamoja nawe?
Mpendwa
26:2 Sef 3:17; Isa 40:11; Wim 4:12; 5:13; 5:6Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
kwenye vitalu vya vikolezo,
kujilisha bustanini
na kukusanya yungiyungi.
36:3 Wim 7:10; 2:16Mimi ni wake mpenzi wangu,
na mpenzi wangu ni wangu;
yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.
Shairi La Tano
Mpenzi
46:4 2Kor 10:4; 1Fal 15:33; Yos 12; 24; Za 48:2; Hes 1:52; Za 50:2Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,
upendezaye kama Yerusalemu,
umetukuka kama jeshi lenye bendera.
5Uyageuze macho yako mbali nami,
yananigharikisha.
Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
wanaoteremka kutoka Gileadi.
6Meno yako ni kama kundi la kondoo
watokao kuogeshwa.
Kila mmoja ana pacha lake,
hakuna hata mmoja aliye peke yake.
76:7 Mwa 24:65; Wim 4:3Mashavu yako nyuma ya shela yako
ni kama vipande viwili vya komamanga.
86:8 Za 45:9; Mwa 22:24; Es 2:14Panaweza kuwepo malkia sitini,
masuria themanini
na mabikira wasiohesabika;
96:9 Wim 1:15; 5:2; 3:4lakini hua wangu, mkamilifu wangu,
ni wa namna ya pekee,
binti pekee kwa mama yake,
kipenzi cha yeye aliyemzaa.
Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;
malkia na masuria walimsifu.
Marafiki
10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,
mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,
ametukuka kama nyota zifuatanazo?
Mpenzi
116:11 Wim 7:12Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi
ili kutazama machipuko ya bondeni,
kuona kama mizabibu imechipua
au kama mikomamanga imechanua maua.
12Kabla sijangʼamua,
shauku yangu iliniweka
katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.
Marafiki
136:13 Kut 15:20Rudi, rudi, ee Mshulami;
rudi, rudi ili tupate kukutazama!
Mpenzi
Kwa nini kumtazama Mshulami,
kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?6:13 Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.