1我夜晚躺在床上,
思念著我心愛的人;
我尋找他,卻找不到。
2我要起來尋遍城裡的大街小巷,
我要尋找我心愛的人。
我尋找他,卻尋不到。
3遇上了城中巡邏的守衛,
我就問他們:「你們看到我心愛的人了嗎?」
4我剛離開他們,便找到了我心愛的人。
我拉著他,不讓他走;
我把他帶回娘家,
到懷我者的臥室。
5耶路撒冷的少女啊!
我指著羚羊和田野的母鹿吩咐你們,
不要叫醒或驚動愛情,
等它自發吧。
耶路撒冷的少女:
6那從曠野上來,形狀像煙柱,
散發著商人販賣的沒藥、乳香等各樣芬芳之氣的是什麼呢?
7看啊,是所羅門的轎子,
周圍是六十名勇士,
都是以色列的精兵。
8他們個個驍勇善戰,手持利劍,
腰配戰刀,防備夜間的偷襲。
9所羅門王用黎巴嫩木為自己製造了一頂轎子。
10銀轎柱、金靠背、紫錦坐墊,
轎子裡面的裝飾都是耶路撒冷少女們用愛情編織的。
11錫安的少女啊,
出去看看所羅門王的風采吧!
他頭上的王冠是他母親在他成婚那天,
在他心中歡快之日為他戴上的。
13:1 Isa 26:9; Wim 5:6Usiku kucha kwenye kitanda changu
nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye;
nilimtafuta, lakini sikumpata.
2Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini,
katika barabara zake na viwanja;
nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye.
Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.
33:3 Wim 5:7; Isa 21:6-11Walinzi walinikuta
walipokuwa wakizunguka mji.
Nikawauliza, “Je, mmemwona
yule moyo wangu umpendaye?”
43:4 Wim 8:2; 6:9; 8:5; Rum 8:35-39; Mit 8:17; 4:13Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita
nilimpata yule moyo wangu umpendaye.
Nilimshika na sikumwachia aende
mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu,
katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.
53:5 Wim 2:7; 8:4Binti za Yerusalemu, ninawaagiza
kwa paa na kwa ayala wa shambani:
Msichochee wala kuamsha mapenzi
hata yatakapotaka yenyewe.
Shairi La Tatu
Mpenzi
63:6 Wim 8:6; 4:6, 14; Kut 30:34; Yer 2:2Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani
kama nguzo ya moshi,
anayenukia manemane na uvumba
iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote
vya mfanyabiashara?
73:7 1Sam 8:11Tazama! Ni gari la Solomoni
lisindikizwalo na mashujaa sitini,
walio wakuu sana wa Israeli,
83:8 Ay 15:22; Za 91:5wote wamevaa panga,
wote wazoefu katika vita,
kila mmoja na upanga wake pajani,
wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.
9Mfalme Solomoni alijitengenezea gari;
alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.
103:10 Mt 22:37; Efe 3:19; Rum 5:8Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,
kitako chake kwa dhahabu.
Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,
gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo
na binti za Yerusalemu.
113:11 Isa 3:16; 54:5; 32:9-13; 62:5; Yer 3:14Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni,
mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji,
taji ambalo mama yake alimvika
siku ya arusi yake,
siku ambayo moyo wake ulishangilia.