路加福音 21 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

路加福音 21:1-38

窮寡婦的奉獻

1耶穌抬頭觀看,見有錢人正把捐項投進奉獻箱裡, 2又見一個窮寡婦投進兩個小銅錢, 3就說:「我實在告訴你們,這位窮寡婦奉獻的比其他人都多。 4因為他們不過奉獻了自己剩餘的,但這窮寡婦卻奉獻了她賴以為生的一切。」

預言將來的事

5有些人正在談論由精美的石頭和珍貴的供物所裝飾的聖殿, 6耶穌說:「你們現在所見到的,將來有一天要被完全拆毀,找不到兩塊疊在一起的石頭。」

7他們問:「老師,這些事什麼時候會發生呢?發生的時候有什麼預兆呢?」

8耶穌回答說:「你們要小心提防,不要被迷惑。因為將來會有許多人冒我的名來,說,『我就是基督』,或說,『時候到了』,你們切勿跟從他們。 9你們聽見打仗和叛亂的事,不要害怕,因為這些事一定會先發生,但末日將不會立刻來臨。」

10耶穌接著說:「民族將與民族互鬥,國家將與國家相爭, 11將有大地震,各處將有饑荒和瘟疫,天上也將出現恐怖的景象和大異兆。

12「這些事情出現之前,人們要拘捕你們,迫害你們,把你們押到會堂和監牢,你們將為了我的名而被君王和官長審問。 13那時,正是你們為我做見證的好機會。 14你們要立定心志,不要為怎樣申辯而憂慮, 15因為我會賜給你們口才、智慧,使你們的仇敵全無反駁的餘地。 16你們將被父母、弟兄、親戚、朋友出賣,你們有些人會被他們害死。 17你們將為我的名而被眾人憎恨, 18但你們連一根頭髮也不會失落。 19你們只要堅忍到底,必能保全自己的靈魂。

20「你們看見耶路撒冷被重兵包圍時,就知道它被毀滅的日子快到了。 21那時,住在猶太地區的人要趕快逃到山上去,住在城裡的人要跑到城外,住在鄉村的人不要進城, 22因為那是報應的日子,要應驗聖經的全部記載。 23那時,孕婦和哺育嬰兒的母親們可就遭殃了!因為將有大災難降在這地方,烈怒要臨到這些人民。 24他們要死在刀劍之下,要被擄到外國去。耶路撒冷要被外族人蹂躪,直到外族人肆虐的日期滿了為止。

25「日月星辰必顯出異兆,怒海洶湧、波濤翻騰,令各國驚恐不安。 26天體必震動,人類想到世界要面臨的事都嚇得魂不附體。 27那時,他們要看見人子駕著雲、帶著能力和極大的榮耀降臨。 28當這些事發生時,你們要昂首挺胸,因為你們蒙救贖的日子近了。」

警醒禱告

29耶穌又講了一個比喻:「看看無花果樹和其他樹木吧。 30當你們看見樹木發芽長葉時,就知道夏天近了。 31同樣,當你們看見這些事情發生時,就知道上帝的國近了。

32「我實在告訴你們,這個世代還沒有過去,這一切都要發生。 33天地都要消逝,但我的話永不消逝。

34「你們要小心,不要被宴樂、醉酒和人生的掛慮所拖累,免得那日子像網羅般突然臨到你們, 35因為那日子將要這樣臨到世上每一個人。 36你們要時刻警醒,常常禱告,使你們能逃過這一切將要發生的災難,並能站在人子面前。」

37耶穌每天在聖殿裡講道,晚上則到城外的橄欖山上過夜。 38百姓一早都趕去聖殿聽祂的教導。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 21:1-38

Sadaka Ya Mjane

(Marko 12:41-44)

121:1 Mt 27:6; Yn 8:20Yesu alipoinua macho yake, aliwaona matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu. 2Akamwona pia mjane mmoja maskini akiweka humo sarafu mbili ndogo za shaba. 321:3 2Kor 8:12Yesu akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote. 421:4 2Kor 8:12Hawa watu wengine wote wametoa sadaka kutokana na wingi wa mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake vyote alivyokuwa navyo, hata kile alichohitaji ili kuishi.”

Dalili Za Siku Za Mwisho

(Mathayo 24:1-2; Marko 13:1-2)

5Baadhi ya wanafunzi wake wakawa wanamwonyesha jinsi Hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia, 621:6 Lk 19:44“Kuhusu haya mnayoyaona hapa, wakati utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”

Mateso

(Mathayo 24:3-14; Marko 13:3-13)

7Wakamuuliza, “Mwalimu, mambo haya yatatukia lini? Ni dalili gani itaonyesha kwamba yanakaribia kutendeka?”

821:8 Lk 17:23Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate. 921:9 Dan 2:28Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”

1021:10 2Nya 15:6; Isa 19:2Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine. 1121:11 Isa 29:6; Yoe 2:30Kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, na njaa kali, na magonjwa ya kuambukiza katika sehemu mbalimbali. Pia kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.

1221:12 Lk 12:11; Mk 13:9; Ufu 2:10; Mdo 1:3; 5:18; 12:4; 16:24; 25:23; 1Pet 2:13“Lakini kabla yote hayajatokea, watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia mikononi mwa wakuu wa masinagogi na kuwafunga magerezani. Nanyi mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu. 1321:13 Flp 1:12Hii itawapa nafasi ya kushuhudia. 1421:14 Lk 12:11-12Lakini kusudieni mioyoni mwenu msisumbuke awali kuhusu mtakalosema mbele ya mashtaka. 1521:15 Mdo 6:10Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga. 1621:16 Lk 12:52-53Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, na baadhi yenu watawaua. 1721:17 Yn 15:21Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu. 1821:18 Mt 10:30Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia. 1921:19 Mt 10:22Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.

Kuharibiwa Kwa Yerusalemu Kwatabiriwa

(Mathayo 24:15-21; Marko 13:14-19)

2021:20 Lk 19:43“Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi fahamuni kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia. 2121:21 Lk 17:31Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo, nao wale walioko mashambani wasiingie mjini. 2221:22 Dan 9:24-27; Hos 9:7; Mk 1:22Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa adhabu ili kutimiza yote yaliyoandikwa. 2321:23 Mt 24:19Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo! Kutakuwa na dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa watu. 2421:24 Dan 8:13; Ufu 11:2Wataanguka kwa makali ya upanga, na wengine watachukuliwa kuwa mateka katika mataifa yote. Nao mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa Mataifa hadi muda wa hao watu wa Mataifa utimie.

Kuja Kwa Mwana Wa Adamu

(Mathayo 24:29-35; Marko 13:24-31)

2521:25 2Pet 3:10-12“Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na misukosuko ya bahari. 2621:26 Mt 24:29Watu watazimia roho kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za angani zitatikisika. 2721:27 Mt 8:20; Ufu 1:7Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu. 2821:28 Lk 18:7Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”

2921:29 Mt 24:32; Mk 12:28Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini na miti mingine yote. 30Inapochipua majani, ninyi wenyewe mnaweza kuona na kutambua wenyewe ya kuwa wakati wa kiangazi umekaribia. 3121:31 Mt 3:2Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.

3221:32 Lk 11:50; 11:25“Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia. 3321:33 Mt 5:18Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”

Siku Ya Mwisho Itakuja Ghafula

3421:34 Mk 4:19; Lk 12:40-46; 1The 5:2-7“Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego unasavyo. 3521:35 1The 5:2; 2Pet 3:10; Ufu 3:3; 16:15Kwa maana kama vile mtego unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote. 3621:36 Mt 26:41Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”

3721:37 Mt 26:55; 21:1Kila siku Yesu alikuwa akifundisha Hekaluni, na jioni ilipofika, alikwenda zake kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku kucha. 3821:38 Yn 8:2Nao watu wote walikuja asubuhi na mapema Hekaluni ili kumsikiliza.