詩篇 85 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 85:1-13

第 85 篇

為國家求福

可拉後裔的詩,交給樂長。

1耶和華啊,你賜福了你的土地,

使雅各的子孫重返家園。

2你赦免了你子民的罪過,

遮蓋了他們所有的過犯。(細拉)

3你收回自己的怒氣,

不發烈怒。

4拯救我們的上帝啊,

求你復興我們,

止息你對我們的怒氣。

5你要向我們永遠發怒嗎?

你的怒氣要延續到萬代嗎?

6你不再復興我們,

使你的子民靠你歡喜嗎?

7耶和華啊,求你向我們施慈愛,拯救我們。

8我要聽耶和華上帝所說的話,

因為祂應許賜平安給祂忠心的子民。

但我們不可再犯罪。

9祂拯救敬畏祂的人,

好讓祂的榮耀常駐在我們的地上。

10慈愛和忠信同行,

公義與平安相親。

11忠信從地而生,

公義從天而現。

12耶和華賜下祝福,

我們的土地就出產豐富。

13公義要行在祂面前,為祂開路。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 85:1-13

Zaburi 85

Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

185:1 Kum 30:3; Za 14:7; Yer 30:18; Eze 39:25Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako.

Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.85:1 Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.

285:2 Hes 14:19; Kut 32:30; Za 78:38Ulisamehe uovu wa watu wako,

na kufunika dhambi zao zote.

385:3 Za 78:38; 106:23; Dan 9:16; Kut 32:12; Yn 3:9; Kum 13:17Uliweka kando ghadhabu yako yote

na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.

485:4 Za 71:20; 65:5Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena,

nawe uiondoe chuki yako juu yetu.

585:5 Za 50:21Je, utatukasirikia milele?

Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?

685:6 Za 80:18; Flp 3:1; Hab 3:2Je, hutatuhuisha tena,

ili watu wako wakufurahie?

785:7 Za 6:4; 27:1Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee Bwana,

utupe wokovu wako.

885:8 Law 26:6; Isa 60:17; Yn 14:27; 2The 3:16; Mit 26:11; 27:22; Hab 2:1; Zek 9:10; 2Pet 2:20Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana;

anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:

lakini nao wasirudie upumbavu.

985:9 Za 27:1; Kut 29:43; Isa 43:3; 45:8; 46:13; 62:11; 51:5; 56:1; 60:19; Hag 2:9; Zek 2:5Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,

ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.

1085:10 Isa 32:17; Mit 3:3; Lk 2:14; Yn 1:17; 14:27; Za 89:14; 115:1; 72:2, 3; Mik 7:20Upendo na uaminifu hukutana pamoja,

haki na amani hubusiana.

1185:11 Isa 45:8Uaminifu huchipua kutoka nchi,

haki hutazama chini kutoka mbinguni.

1285:12 Za 67:6; 84:11; Yak 1:17; Law 26:4; Zek 8:12Naam, hakika Bwana atatoa kilicho chema,

nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.

13Haki itatangulia mbele yake

na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.