第 34 篇
上帝的美善
大衛在亞比米勒面前裝瘋,被趕出去後,作了此詩。
1我要常常稱頌耶和華,
時刻讚美祂。
2我要誇耀祂的作為,
困苦人聽見必歡欣。
3讓我們一同頌讚祂的偉大,
尊崇祂的名!
4我向祂禱告,祂便應允我,
救我脫離一切恐懼。
5凡仰望祂的必有榮光,
不致蒙羞。
6我這可憐的人向祂呼求,
祂就垂聽,
救我脫離一切困境。
7祂的天使必四面保護敬畏祂的人,拯救他們。
8你們要親身體驗,
就知道耶和華的美善;
投靠祂的人有福了!
9耶和華的聖民啊,
你們要敬畏祂,
因為敬畏祂的人一無所缺。
10壯獅也會忍饑挨餓,
但尋求耶和華的人什麼福分都不缺。
11孩子們啊,聽我說,
我要教導你們敬畏耶和華。
12若有人熱愛生命,
渴望長壽和幸福,
13就要舌頭不出惡言,
嘴唇不說詭詐的話。
14要棄惡行善,
竭力追求和睦。
15耶和華的眼睛看顧義人,
祂的耳朵垂聽他們的呼求。
16耶和華嚴懲作惡之人,
從世上剷除他們。
17義人向耶和華呼救,祂就垂聽,
拯救他們脫離一切患難。
18祂安慰悲痛欲絕的人,
拯救心靈破碎的人。
19義人也會遭遇許多患難,
但耶和華必拯救他,
20保全他一身的骨頭,
連一根也不折斷。
21惡人必遭惡報,
與義人為敵的必被定罪。
22耶和華必救贖祂的僕人,
投靠祂的人必不被定罪。
Zaburi 3434 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
Sifa Na Wema Wa Mungu
Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.
134:1 Za 71:6; Efe 5:20; 1The 5:18Nitamtukuza Bwana nyakati zote,
sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
234:2 Za 44:8; 69:32; 107:42; 119:74; Yer 9:24; 1Kor 1:31Nafsi yangu itajisifu katika Bwana,
walioonewa watasikia na wafurahi.
334:3 Za 63:3; 86:12; Dan 4:37; Kut 15:2; Yn 17:1; Rum 15:6Mtukuzeni Bwana pamoja nami,
naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
434:4 Za 18:6; 77:2; 18:43; 22:4; 56:13; 86:13; Kut 32:11; Yon 2:2; Mt 7:7; Lk 11:9Nilimtafuta Bwana naye akanijibu,
akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
534:5 Kut 34:29; Za 25:3; 44:15; 69:7; 83:16Wale wamtazamao hutiwa nuru,
nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
634:6 Za 25:17; 2Sam 22:1Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia,
akamwokoa katika taabu zake zote.
734:7 Mwa 32:1; Ebr 1:14; Dan 3:28; 6:22; Mt 18:10; Isa 31:5; Za 22:4; 37:40; 41:1; 97:10; Mdo 12:11; 2Fal 16:17Malaika wa Bwana hufanya kituo
akiwazunguka wale wamchao,
naye huwaokoa.
834:8 Ebr 6:5; 1Pet 2:3; Za 2:12Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,
heri mtu yule anayemkimbilia.
934:9 Flp 4:19; Za 23:1; Kum 6:13; Ufu 14:7Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,
kwa maana wale wamchao
hawapungukiwi na chochote.
1034:10 Za 23:1Wana simba wenye nguvu
hutindikiwa na kuona njaa,
bali wale wamtafutao Bwana
hawatakosa kitu chochote kilicho chema.
1134:11 Za 66:16; 32:8; 19:9Njooni, watoto wangu, mnisikilize,
nitawafundisha kumcha Bwana.
1234:12 Mhu 3:13; 1Pet 3:10Yeyote kati yenu anayependa uzima
na kutamani kuziona siku nyingi njema,
1334:13 1Pet 2:22; Za 39:1; 141:3; Mit 13:3; 21:23; Yak 1:26; Za 12:2basi auzuie ulimi wake na mabaya,
na midomo yake kutokana na kusema uongo.
1434:14 Za 37:27; Isa 1:17; 3Yn 11; Rum 14:19Aache uovu, atende mema,
aitafute amani na kuifuatilia.
1534:15 Ay 36:7; 23:10; Mal 3:16; Yn 9:31; Za 33:18Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki,
na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.
1634:16 Law 17:10; Za 9:6; Yer 23:30; 44:11; Mit 10:7; Kut 17:14; 1Pet 3:10-12Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu,
ili kufuta kumbukumbu lao duniani.
1734:17 Za 145:19Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia,
huwaokoa katika taabu zao zote.
1834:18 Kum 4:7; Za 51:17; 119:151; 145:18; 109:16; 147:3; Isa 50:8; 61:1Bwana yu karibu na waliovunjika moyo,
na huwaokoa waliopondeka roho.
1934:19 Za 34:17; 25:17; Ay 5:19; 2Tim 3:11Mwenye haki ana mateso mengi,
lakini Bwana humwokoa nayo yote,
2034:20 Yn 19:34huhifadhi mifupa yake yote,
hata mmoja hautavunjika.
2134:21 Za 7:9; 9:16; 37:20; 73:27; 94:23; 106:43; 112:10; 140:11; Mit 14:32; 24:16Ubaya utamuua mtu mwovu,
nao adui za mwenye haki watahukumiwa.
2234:22 Kut 6:6; 15:13; Lk 1:68; Ufu 14:3; Za 2:12; 103:4; 2Sam 4:9Bwana huwakomboa watumishi wake,
yeyote anayemkimbilia yeye
hatahukumiwa kamwe.