詩篇 103 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 103:1-22

第 103 篇

上帝的慈愛

大衛的詩。

1我的心啊,要稱頌耶和華,

我要全心全意地稱頌祂的聖名。

2我的心啊,要稱頌耶和華,

不要忘記祂的一切恩惠。

3祂赦免我一切的罪惡,

醫治我一切的疾病。

4祂救贖我的生命脫離死亡,

以慈愛和憐憫環繞我。

5祂以美物滿足我的願望,

使我如鷹一般恢復青春。

6耶和華為一切受欺壓的人伸張正義,主持公道。

7祂讓摩西明白自己的旨意,

以色列人彰顯自己的作為。

8耶和華有憐憫和恩典,

不輕易發怒,充滿慈愛。

9祂不永久責備人,

也不永遠懷怒。

10祂沒有按我們的過犯對待我們,

也沒有照我們的罪惡懲罰我們。

11因為天離地有多高,

祂對敬畏祂之人的愛也多大!

12東離西有多遠,

祂叫我們的過犯離我們也多遠!

13耶和華憐愛敬畏祂的人,

如同慈父憐愛自己的兒女。

14因為祂知道我們的本源,

顧念我們不過是塵土。

15世人的年日如同草芥,

如野地茂盛的花,

16一經風吹,便無影無蹤,

永遠消逝。

17耶和華永永遠遠愛敬畏祂的人,

以公義待他們的子子孫孫,

18就是那些守祂的約、

一心遵行祂命令的人。

19耶和華在天上設立了寶座,

祂的王權無所不及。

20聽從耶和華的命令、遵行祂吩咐的大能天使啊,

你們要稱頌祂!

21事奉耶和華、遵從祂旨意的天軍啊,

你們要稱頌祂!

22耶和華所造的萬物啊,

要在祂掌管的各處稱頌祂。

我的心啊,要稱頌耶和華!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 103:1-22

Zaburi 103

Upendo Wa Mungu

Zaburi ya Daudi.

1103:1 Za 28:6; 104:1; 30:4Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

Vyote vilivyomo ndani yangu

vilihimidi jina lake takatifu.

2103:2 Za 106:1; 117:1; Kum 6:12; Za 77:11Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,

wala usisahau wema wake wote,

3103:3 Kut 34:7; 15:26; Kol 3:13; 1Pet 2:24; 1Yn 1:9akusamehe dhambi zako zote,

akuponya magonjwa yako yote,

4103:4 Za 34:22; 56:13; 8:5; 23:6; Isa 43:1aukomboa uhai wako na kaburi,

akuvika taji ya upendo na huruma,

5103:5 Ay 33:25; Za 90:14; 104:28; 119:25, 93; 2Kor 4:16; Kut 19:4atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,

ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.

6103:6 Za 9:8; 74:21; 65:5; Isa 9:7; Lk 4:10Bwana hutenda haki,

naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.

7103:7 Za 99:7; 147:19; 106:22; Kut 33:13Alijulisha Mose njia zake,

na wana wa Israeli matendo yake.

8103:8 Kut 22:27; 34:6; Za 86:15; Mik 7:18-19; Yak 5:11; Kum 5:10; Hes 14:18Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;

si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.

9103:9 Yer 3:5, 12; Mik 7:18; Isa 57:16; Za 30:5; 79:5Yeye hatalaumu siku zote,

wala haweki hasira yake milele,

10103:10 Ezr 9:13; Rum 6:23yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu

wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.

11103:11 Efe 3:18; Za 13:5; 57:10; 100:5; 106:45; 117:2; Mao 3:22; 2Nya 6:31Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,

ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;

12103:12 2Sam 12:13; Rum 4:7; Efe 1:7; 2:5; Isa 43:25kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,

ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.

13103:13 Mal 3:17; Kum 8:5; 1Yn 3:1; Isa 63:15, 16Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,

ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;

14103:14 Za 119:73; 139:13-15; 146:4; Isa 29:16; Mwa 2:7kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,

anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.

15103:15 Za 37:2; 90:5; 102:11; Yak 1:10; Isa 40:6; Ay 14:2Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,

anachanua kama ua la shambani;

16103:16 Isa 40:7; Hag 1:9; Ay 7:8upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,

mahali pake hapalikumbuki tena.

17103:17 Mwa 48:11; Ezr 9:12; Kut 20:6Lakini kutoka milele hata milele

upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao,

nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:

18103:18 Yn 14:15; Kum 7:9; 28:9; Za 119:52; Hes 15:40; Za 47:8; 80:1; 113:5; 22:28; 66:7; Dan 4:17kwa wale walishikao agano lake

na kukumbuka kuyatii mausia yake.

19Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,

ufalme wake unatawala juu ya vyote.

20103:20 Neh 9:6; Lk 2:13; Ebr 1:14; Za 29:1; 28:6; 107:25; 135:7; 148:8; Mt 6:10Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,

ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,

ninyi mnaotii neno lake.

21103:21 1Fal 22:19; Neh 7:73; Dan 7:9; Mwa 32:2Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,

ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.

22103:22 Za 104:1; 67:3; 19:1; 145:10; 150:1, 6Mhimidini Bwana, kazi zake zote

kila mahali katika milki yake.

Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.