約書亞記 13 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

約書亞記 13:1-33

尚未攻取之地

1約書亞年事已高,耶和華對他說:「你年紀大了,但還有許多地方有待征服, 2就是非利士人和基述人的全境, 3即從埃及東面的西曷河直到北面以革倫的邊境,這一帶都算是迦南,是統治迦薩人、亞實突人、亞實基倫人、迦特人、以革倫人的五個非利士王的地方;南方亞衛人的地方; 4整個迦南人的地方,從西頓人的米亞拉直到亞摩利人邊境的亞弗5迦巴勒人的地方;以及東從黑門山山麓的巴力·迦得直到哈馬口的整個黎巴嫩6我必為以色列人趕走從黎巴嫩米斯利弗·瑪音一帶山區的西頓人。你只管照我的吩咐,把這些土地分給以色列人作產業, 7分給其他九個支派和瑪拿西半個支派作產業。」

約旦河東土地的分配

8瑪拿西半個支派和呂便迦得兩支派已經得到耶和華的僕人摩西約旦河東分給他們的產業: 9亞嫩谷旁的亞羅珥起,包括谷中的城,直到底本的整個米底巴平原, 10以及希實本亞摩利西宏統治的各城,直到亞捫的邊境。 11此外,還包括基列基述人和瑪迦人的疆域、整個黑門山和直到撒迦的整個巴珊地, 12以及巴珊的國土。曾經在亞斯她錄以得來做王,是僅存的利乏音人。摩西打敗了這些人,趕走了他們。 13以色列人卻沒有趕走基述人和瑪迦人,他們到今天還住在以色列人當中。

14摩西並沒有把土地分給利未支派作產業,因為獻給以色列的上帝耶和華的火祭就是他們的產業,正如耶和華對他們的應許。

15以下是摩西按宗族分給呂便支派的產業: 16亞嫩谷的城、谷旁的亞羅珥米底巴附近的整個平原, 17希實本城和希實本平原的所有城邑,即底本巴末·巴力伯·巴力·勉18雅雜基底莫米法押19基列亭西比瑪、谷中山丘上的細列哈·沙轄20伯毗珥毗斯迦山坡和伯·耶西末21平原的各城邑和亞摩利西宏的國土。西宏曾在希實本做王,摩西打敗了他和他的米甸首領以未利金蘇珥戶珥利巴22以色列人所殺的人中有比珥的兒子術士巴蘭23呂便支派的土地以約旦河為界。以上是呂便支派按宗族分到的城邑和村莊。

24以下是摩西按宗族分給迦得支派的土地: 25雅謝基列境內所有的城邑;亞捫人的一半領土,直到拉巴附近的亞羅珥26希實本直到拉抹·米斯巴比多寧,從瑪哈念底璧的邊境; 27還有谷中的伯亞蘭伯·寧拉疏割撒分,就是希實本西宏國中其餘的土地,以約旦河為界,沿東岸直到加利利海的頂端。 28以上這些城邑、村莊便是迦得支派按宗族所分到的產業。

29以下是摩西按宗族分給瑪拿西半個支派的土地: 30瑪哈念開始,包括整個巴珊,就是巴珊的國土及其境內雅珥的六十座城邑, 31還有基列的一半和巴珊的兩座城——亞斯她錄以得來瑪拿西的兒子瑪吉的一半子孫按宗族分到這些土地。

32以上是摩西耶利哥對面約旦河東的摩押平原分給以色列人的產業。 33摩西並沒有分給利未支派任何產業,因為以色列的上帝耶和華就是他們的產業,正如耶和華對他們的應許。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yoshua 13:1-33

Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa

113:1 Mwa 24:1; Yos 14:10; 23:1-3; 1Fal 1:1Yoshua alipokuwa mzee na umri wake ukiwa umesogea sana, Bwana akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo ni za kutwaliwa.

213:2 Mwa 10:14; Amu 3:31; Yos 12:5“Nchi iliyosalia ni hii: maeneo yote ya Wafilisti na Wageshuri: 313:3 1Nya 13:5; Isa 23:3; Yer 2:18; Yos 15:11; 19:43; Amu 1:18; 1Sam 5:10; 7:14; Amu 3:3; 16:5, 18; 1Sam 6:4, 17; Isa 14:29; Eze 25:15; Yos 11:22; Amo 3:9; Amu 14:19; 2Sam 1:20; Kum 2:23; 13:4; Yos 12:18; Mwa 14:7; 15:16kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi); 4kuanzia kusini, nchi yote ya Wakanaani, kuanzia Ara ambayo ni ya Wasidoni, ikienea hadi Afeki, na eneo la Waamori, 513:5 1Fal 5:18; Za 83:7; Eze 27:9; Yos 11:17; Kum 3:8; Hes 13:21; 34:8; Amu 3:3eneo la Wagebali;13:5 Yaani eneo la Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). Lebanoni yote kuelekea mashariki, kuanzia Baal-Gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-Hamathi.

613:6 Yos 11:8; Za 80:8; Hes 33:54; 34:13; Amu 2:12; Yos 14:1, 2“Na kuhusu wakaaji wote katika maeneo ya milima, kuanzia Lebanoni hadi Misrefoth-Maimu, pamoja na eneo lote la Wasidoni, mimi mwenyewe nitawafukuza watoke mbele ya Waisraeli. Hakikisha umegawa nchi hii kwa Israeli kuwa urithi, kama nilivyokuagiza, 713:7 Yos 11:23; Za 78:55sasa basi, ligawanye eneo hili kwa yale makabila tisa na ile nusu ya kabila la Manase kuwa urithi.”

Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Mwa Yordani

813:8 Yos 12:6; 18:7; Hes 32:33; Kum 3:12; Yos 12:6; 18:7Ile nusu nyingine ya Manase, Wareubeni na Wagadi, walishapokea urithi Mose aliokuwa amewapa mashariki mwa Yordani, sawasawa na mtumishi wa Bwana alivyowagawia.

913:9 Hes 32:34; Kum 2:36; Amu 11:26; 2Sam 24:5; Yer 48:8, 21; Hes 21:30; 32:3; Isa 15:2Eneo lao lilienea toka Aroeri, iliyoko ukingoni mwa Bonde la Arnoni kuanzia mji ulio katikati ya bonde, likijumlisha nchi ya uwanda wa juu wote wa Medeba mpaka Diboni, 1013:10 Yos 12:2; Hes 21:24nayo miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, hadi mpakani mwa Waamoni. 1113:11 Yos 12:2-5Vilevile ilijumlisha Gileadi, eneo la Wageshuri na Wamaaka, mlima wote wa Hermoni na Bashani yote ikienea hadi Saleka: 1213:12 Kum 1:4; Yos 12:4; Mwa 14:5; Kum 3:5, 11; Hes 21:24yaani ufalme wote wa Ogu katika Bashani, aliyekuwa ametawala katika Ashtarothi na Edrei, na ndiye pekee alisalia kwa Warefai. Mose alikuwa amewashinda na kuteka nchi yao. 1313:13 Yos 12:5; Kum 3:12-15Lakini Waisraeli hawakuwafukuza watu wa Geshuri na wa Maaka, kwa hiyo wanaendelea kuishi miongoni mwa Waisraeli mpaka leo hii.

1413:14 Kum 18:1-2; Yos 14:2; Hes 18:20; Kum 10:9Lakini kwa kabila la Lawi, Mose hakupeana urithi, kwa kuwa sadaka za kuteketezwa kwa moto zilizotolewa kwa Bwana, Mungu wa Israeli, ndizo zilizokuwa urithi wao, kama alivyowaahidi.

15Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Reubeni ukoo kwa ukoo:

1613:16 Yos 12:2; 1Sam 30:28; Hes 21:30; Isa 15:2; Kum 3:12Eneo la Aroeri lililo ukingoni mwa Bonde la Arnoni, na kuanzia mji ulio katikati ya bonde, pia uwanda wote wa juu kupita Medeba 1713:17 Hes 32:3; 22:41; 1Nya 5:8; Yer 48:23; Eze 25:9hadi Heshboni na miji yake yote kwenye uwanda wa juu, ikijumlishwa miji ya Diboni, Bamoth-Baali, Beth-Baal-Meoni, 1813:18 Hes 21:23; Kum 2:26; Yos 21:37; Yer 48:21Yahasa, Kedemothi, Mefaathi, 1913:19 Hes 32:37; 32:3Kiriathaimu, Sibma, Sereth-Shahari juu ya kilima kilicho katika bonde, 2013:20 Kum 3:29Beth-Peori, materemko ya Pisga na Beth-Yeshimothi: 2113:21 Mwa 25:2; Hes 25:15; 31:8; Kum 3:10; Hes 21:24; 31:8miji yote ya uwanda wa juu na eneo lote la utawala wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni. Mose alikuwa amemshinda Sihoni, pia watawala wakuu wa Wamidiani, ambao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba, waliokuwa wameungana na Sihoni, ambao waliishi katika nchi ile. 2213:22 Hes 22:5; Mwa 30:27; Hes 23:23; 2Pet 2:15; Ufu 2:14Pamoja na wale waliouawa katika vita, Waisraeli walikuwa wamemuua kwa upanga Balaamu mwana wa Beori aliyekuwa mchawi. 2313:23 1Nya 5:7Mpaka wa Wareubeni ulikuwa ni ukingo wa Mto Yordani. Miji hii na vijiji vyake ndiyo iliyokuwa urithi wa Wareubeni ukoo kwa ukoo.

24Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:

2513:25 Hes 21:32; Yos 21:39; 12:2; Kum 3:11; Amu 11:13; 2Sam 11:1; 12:26Nchi ya Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Amoni iliyoenea hadi Aroeri, karibu na Raba; 2613:26 Hes 21:25; Yer 49:3; Mwa 32:2; Yos 10:3na kuanzia Heshboni mpaka Ramath-Mispa na Betonimu, na kutoka Mahanaimu hadi eneo la Debiri; 2713:27 Hes 32:3; Mwa 33:17; Amu 12:1; Za 48:2; Hes 34:11; 1Fal 7:46; Kum 3:17; Yos 11:2; Mt 14:34; Lk 5:1na katika bonde, Beth-Haramu, Beth-Nimra, Sukothi na Safoni na sehemu iliyobaki ya eneo la utawala wa Sihoni mfalme wa Heshboni (upande wa mashariki mwa Mto Yordani, eneo inayoishia kwenye Bahari ya Kinerethi13:27 Yaani Bahari ya Galilaya.). 2813:28 Mwa 46:16; Hes 32:3; Eze 48:27Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.

29Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo kwa ukoo:

3013:30 Mwa 32:2; Hes 21:33; Yos 12:4; Hes 32:41Eneo lililoenea kuanzia Mahanaimu, na kujumlisha Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, makazi yote ya Yairi huko Bashani, miji sitini, 3113:31 Hes 21:33; Mwa 50:23; Yos 17:5nusu ya Gileadi, na Ashtarothi na Edrei (miji ya kifalme ya Ogu katika Bashani). Hii ilikuwa kwa ajili ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, kwa ajili ya nusu ya wana wa Makiri, ukoo kwa ukoo.

3213:32 Hes 26:3; 22:1Huu ndio urithi alioupeana Mose wakati alipokuwa katika tambarare za Moabu, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko. 3313:33 Hes 26:62; 18:20; Yos 18; 7; Eze 44:28Lakini kwa kabila la Walawi, Mose hakuwapa urithi; Bwana Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.