箴言 24 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

箴言 24:1-34

1不要羡慕惡人,

不要嚮往與他們為友;

2因為他們心裡圖謀暴行,

口中談論惡事。

3家靠智慧而建立,

靠悟性而穩固,

4藉知識而充滿各種珍寶。

5智者充滿能力,

哲士力上加力。

6出征打仗,要憑智謀;

謀士眾多,勝券在握。

7智慧對愚人高不可及,

他在城門口沉默不語。

8圖謀作惡的必被稱為陰謀家。

9愚人的計謀是罪惡,

人人都厭惡嘲諷者。

10逆境中喪膽的是弱者。

11被拉去屠殺的,你要搶救;

踉蹌受死的,你要攔阻。

12不要推說自己毫不知情,

鑒察人心的主洞悉一切,

保守你生命的上帝知情,

祂必按你的行為報應你。

13孩子啊,你要吃美好的蜂蜜,

蜂房滴下的蜜甘甜可口。

14智慧同樣使你的心靈甘甜;

你若找到智慧,前途必光明,

盼望也不會幻滅。

15不要像惡人一樣暗算義人,

破壞他的家。

16因為義人跌倒七次也必起來,

惡人卻被災禍擊垮。

17仇敵跌倒,不要幸災樂禍;

仇敵敗落,不要心裡歡喜。

18否則,耶和華看見會不悅,

不再向仇敵發烈怒。

19不要因惡人而憤憤不平,

也不要羡慕歹徒;

20因為惡人毫無前途,

惡人的燈終必熄滅。

21孩子啊,要敬畏耶和華和君王,

不要跟反復無常之徒為伍。

22因為災禍必驟然臨到他們,

誰知道耶和華和君王如何毀滅他們?

其他智言

23以下也是智者的箴言:

判案時偏袒實為不善。

24判惡人無罪的,

必遭萬人咒詛,

為列國痛恨。

25責備惡人的必有歡樂,

美好的福氣必臨到他。

26誠實的回答如同友好的親吻。

27要安排好外面的事,

把田間的工作準備妥當,

然後建造房屋。

28別無故作證害鄰舍,

也不可撒謊欺騙人。

29不可說:「別人怎樣待我,

我就怎樣待他;

我要照他所做的報復他。」

30我走過懶惰人的田地和無知者的葡萄園,

31那裡荊棘遍地,

刺草叢生,

石牆倒塌。

32我仔細思想所見之事,

領悟到一個教訓:

33再睡一會兒,

打個盹兒,

抱著手躺一會兒,

34貧窮必像強盜一樣臨到你,

缺乏必像武士一樣撲向你。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 24:1-34

124:1 Mit 3:31-32; 23:17-18Usiwaonee wivu watu waovu,

usitamani ushirika nao;

224:2 Za 2:1; 10:7; Isa 32:6; 55:7-8; 59:7; 65:2; Hos 4:1kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri,

nayo midomo yao husema juu ya kuleta madhara.

324:3 Mit 14:1Kwa hekima nyumba hujengwa,

nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa

424:4 Mit 8:21kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa

vitu vya thamani na vya kupendeza.

524:5 Mit 21:22Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa,

naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

624:6 Mit 11:14; Lk 14:31kwa kufanya vita unahitaji uongozi

na kwa ushindi washauri wengi.

724:7 Za 10:5; Mit 14:6Hekima i juu mno kwa mpumbavu,

katika kusanyiko langoni

hana lolote la kusema.

824:8 Rum 1:30Yeye apangaye mabaya

atajulikana kama mtu wa hila.

924:9 Mwa 6:5; Za 119:113; Mt 9:4; Mdo 8:22; 2Kor 10:524:9 Mwa 6:5; Mdo 8:22; 2Kor 10:5Mipango ya upumbavu ni dhambi,

watu huchukizwa na mwenye dhihaka.

1024:10 Yer 51:46; Ebr 12:3Ukikata tamaa wakati wa taabu,

jinsi gani nguvu zako ni kidogo!

1124:11 Isa 58:6-7; 1Yn 3:16; Za 82:4Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo;

wazuie wote wanaojikokota

kuelekea machinjoni.

1224:12 Za 139:2; Mit 16:24; 21:2; Yer 32:19; Mt 16:24Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,”

je, yule apimaye mioyo halitambui hili?

Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili?

Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?

1324:13 Wim 5:1Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;

asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.

1424:14 Za 119:103; Mit 16:24; 23:18Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako,

kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,

nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.

1524:15 Za 10:9, 10Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia

makao ya mwenye haki,

wala usiyavamie makazi yake,

1624:16 Ay 5:19; Mik 7:8; Za 34:19Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena,

lakini waovu huangushwa chini na maafa.

1724:17 Oba 1:12; Ay 31:29Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo;

wakati ajikwaapo,

usiruhusu moyo wako ushangilie.

1824:18 Ay 31:29Bwana asije akaona na kuchukia

akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.

1924:19 Za 37:1Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya

wala usiwaonee wivu waovu,

2024:20 Ay 18:5; Mit 13:9; Isa 3:11kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo,

nayo taa ya waovu itazimwa.

2124:21 Rum 13:1-7; 1Pet 2:17Mwanangu, mche Bwana na mfalme,

wala usijiunge na waasi,

2224:22 Za 73:19kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao,

naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

Misemo Zaidi Ya Wenye Hekima

2324:23 Kut 18:16; Law 19:15; 2Nya 19:7; Za 72:2; Yer 22:16; Yn 7:24Hii pia ni misemo ya wenye hekima:

Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:

2424:24 Isa 5:23; Mit 17:15Yeyote amwambiaye mwenye hatia,

“Wewe huna hatia,”

Kabila zitamlaani

na mataifa yatamkana.

25Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia,

nazo baraka tele zitawajilia juu yao.

26Jawabu la uaminifu

ni kama busu la midomoni.

2724:27 1Fal 5:17, 18; Lk 14:28Maliza kazi zako za nje,

nawe uweke mashamba yako tayari,

baada ya hayo, jenga nyumba yako.

2824:28 Za 7:4; Efe 4:25Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu,

au kutumia midomo yako kudanganya.

2924:29 Mit 20:22; Rum 12:17; Mt 5:39Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi;

nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

3024:30 Mit 6:6-11; 26:13-16Nilipita karibu na shamba la mvivu,

karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,

3124:31 Yer 4:3; Ebr 6:8miiba ilikuwa imeota kila mahali,

ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na

ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.

32Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona,

nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:

3324:33 Mit 6:10Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

3424:34 Mit 10:4; Mhu 10:18hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,

na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.