1智慧的女子建立家園,
愚昧的女子親手拆毀。
2行為正直的人敬畏耶和華,
行事邪僻的人輕視耶和華。
3愚人的狂言招來鞭打,
智者的唇舌保護自己。
4沒有耕牛槽頭淨,
五穀豐登需壯牛。
5忠實的證人不會撒謊,
虛假的證人謊話連篇。
6嘲諷者徒然尋智慧,
明哲人輕易得知識。
7你要遠離愚昧人,
他口中毫無知識。
8明哲憑智慧辨道,
愚人被愚昧欺騙。
9愚妄人戲看罪惡,
正直人彼此恩待。
10心頭的愁苦,唯有自己明白;
心中的喜樂,外人無法分享。
11惡人的房屋必遭毀滅,
正直人的帳篷必興盛。
12有的路看似正確,
最終卻通向死亡。
13歡笑難消內心的痛苦,
歡樂過後,悲傷猶在。
14背棄正道,自食惡果;
善人行善,必得善報。
15愚昧人什麼都信,
明哲人步步謹慎。
16智者小心謹慎,遠離惡事;
愚人驕傲自負,行事魯莽。
17急躁易怒的人做事愚昧,
陰險奸詐之人遭人痛恨。
18愚昧人得愚昧作產業,
明哲人得知識為冠冕。
19壞人俯伏在善人面前,
惡人俯伏在義人門口。
20窮人遭鄰舍厭,
富人朋友眾多。
21藐視鄰舍是罪過,
憐憫窮人蒙福樂。
22圖謀惡事的步入歧途,
行善的受愛戴和擁護。
23殷勤工作,帶來益處;
滿嘴空談,導致貧窮。
24智者以財富為冠冕,
愚人以愚昧為裝飾。
25誠實的證人挽救性命,
口吐謊言者欺騙他人。
26敬畏耶和華的信心堅定,
他的子孫也有庇護所。
27敬畏耶和華是生命的泉源,
可以使人避開死亡的陷阱。
28人民眾多,是君王的榮耀;
沒有臣民,君主必然敗亡。
29不輕易發怒者深明事理,
魯莽急躁的人顯出愚昧。
30心平氣和,滋潤生命;
妒火中燒,啃蝕骨頭。
31欺壓窮人等於侮辱造物主,
憐憫貧弱就是尊敬造物主。
32惡人因惡行而滅亡,
義人到死仍有倚靠。
33智慧存在哲士心裡,
愚人心中充滿無知。
34公義能叫邦國興盛,
罪惡是人民的恥辱。
35明智的臣子蒙王喜悅,
可恥的僕人惹王發怒。
114:1 Rut 3:11; Mit 24:3Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,
bali mpumbavu huibomoa nyumba yake
kwa mikono yake mwenyewe.
214:2 Ay 12:4Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha Bwana,
bali yeye ambaye njia zake zimepotoka humdharau Mungu.
314:3 Mit 12:6; 10:13Mazungumzo ya mpumbavu huleta fimbo mgongoni mwake,
bali mwenye hekima hulindwa na maneno ya midomo yake.
414:4 Za 12:2; Mit 12:17Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu,
bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.
514:5 Kut 20:16; Za 12:2; Mit 6:19Shahidi mwaminifu hadanganyi,
bali shahidi wa uongo humimina uongo.
614:6 Mit 9:9; 17:24Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati,
bali maarifa huja kwa urahisi kwa anayepambanua.
7Kaa mbali na mtu mpumbavu,
kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.
814:8 Lk 12:20; 1Kor 3:19; Mit 15:28; 21:29Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake,
bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.
914:9 Mit 1:22; 10:23Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi,
bali wema hupatikana miongoni mwa wanyofu.
10Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe,
wala hakuna yeyote awezaye kushiriki furaha yake.
1114:11 Za 72:7; Ay 8:15; Mit 3:33Nyumba ya mwovu itaangamizwa,
bali hema la mnyofu litastawi.
1214:12 Rum 6:21; Mit 12:15; 16:25Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,
bali mwisho wake huelekeza mautini.
1314:13 Mhu 2:2; 7:3-6Hata katika kicheko moyo waweza kuuma,
nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.
1414:14 2Nya 15:7; Mit 12:14Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa ajili ya njia zao,
naye mtu mwema atapewa thawabu kwa ajili ya njia yake.
1514:15 Mit 14:8Mtu mjinga huamini kila kitu,
bali mwenye busara hufikiria hatua zake.
1614:16 Kut 20:20; Mit 22:3Mtu mwenye hekima humcha Bwana na kuepuka mabaya,
bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe.
1714:17 Mit 28:25; 29:22Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu,
naye mtu wa hila huchukiwa.
18Mjinga hurithi upumbavu,
bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji.
1914:19 Mit 11:29Watu wabaya watasujudu mbele ya watu wema,
nao waovu kwenye malango ya wenye haki.
2014:20 Mit 19:4, 7Maskini huepukwa hata na majirani zao,
bali matajiri wana marafiki wengi.
2114:21 Mit 11:12; 19:17; Za 41:1Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi,
bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.
2214:22 Mit 4:16-17Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?
Bali wale wanaopanga kilicho chema
hupata upendo na uaminifu.
23Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida,
bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.
2414:24 Mit 14:8Utajiri wa wenye hekima ni taji yao,
bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.
2514:25 Mit 12:17Shahidi wa kweli huokoa maisha,
bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.
2614:26 Mit 19:23; Isa 33:6Yeye amchaye Bwana ana ngome salama,
na kwa watoto wake itakuwa kimbilio.
2714:27 Za 18:5; Mit 13:14Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,
ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.
2814:28 2Sam 19:7Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,
bali pasipo watu mkuu huangamia.
2914:29 Mhu 7:8-9; Mit 15:18; Yak 1:19Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi,
bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.
3014:30 Ay 5:2; Mdo 7:9; Mit 12:4Moyo wenye amani huupa mwili uzima,
bali wivu huozesha mifupa.
3114:31 Ay 31:15-16; Mit 17:5Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao,
bali yeyote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.
3214:32 Za 34:21; Mit 6:15; Ay 13:15; 2Tim 4:18Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu,
bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.
3314:33 Mit 2:6-10Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu
bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.
3414:34 Mit 11:11Haki huinua taifa,
bali dhambi ni aibu kwa watu wote.
3514:35 Es 8:2; Mt 25:14-30Mfalme hupendezwa na mtumishi mwenye hekima,
bali ghadhabu yake humwangukia
mtumishi mwenye kuaibisha.