提摩太後書 2 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

提摩太後書 2:1-26

基督的精兵

1我兒啊!你要靠著基督耶穌的恩典剛強起來。 2以前你在許多見證人面前聽過我的教導,你要把這些教導傳給忠信可靠、能夠教導他人的人。

3你要作基督耶穌的精兵與我同受苦難。 4當兵的若讓其他事務纏身,就不能取悅徵召他的上司。 5同樣,參加比賽的人若不遵守比賽規則,就不可能得獎。 6辛勞的農夫理當先享受收成。 7你要思想我說的話,因為主必賜你悟性明白各樣的事。

8你要切記我所傳的福音:耶穌基督是大衛的後裔,祂從死裡復活了。 9我為這福音受苦,甚至像犯人一樣被囚禁,但上帝的道是囚禁不住的。 10我為了上帝所揀選的人忍受一切痛苦,使他們可以獲得在基督耶穌裡的救恩和永遠的榮耀。 11有真實可信的話說:

「我們若與基督同死,

就必與祂同活。

12我們若忍耐到底,

就必與祂一同作王。

我們若不承認祂,

祂也必不承認我們。

13我們縱然會失信,

祂仍然信實可靠,

因為祂不能違背自己。」

做無愧的工人

14你要提醒眾人這些事,在主面前囑咐他們:不要為言詞爭辯,因為那對聽見的人有害無益。 15你應當竭力在上帝面前做經得起考驗、問心無愧的工人,正確地闡釋真理之道。 16要遠避一切世俗的空談,因為好空談的人只會越來越不敬虔。 17他們講的話像毒瘡,只會越爛越大,許米乃腓理徒就是例子。 18他們離經背道,說復活的事已成過去,動搖了許多人的信心。 19然而,上帝所立的堅實根基永不動搖,這根基上刻著:「主認識誰是屬於祂的人」,「凡自稱是屬於主的人都要離棄罪惡。」

20大戶人家不但有金器銀器,也有木器瓦器,這些器皿的用途有貴賤之分。 21人若潔身自愛,遠離卑賤的事,就必成為聖潔無瑕的貴重器皿,可以被主用來成就各樣的善事。

22你要逃避年輕人的邪情私慾,要跟那些以清潔的心求告主的人一同追求公義、信心、仁愛、和平。 23不要參與愚昧無知的辯論,因為這些事只會引起紛爭。 24上帝的奴僕不可與人爭執,總要溫和待人,善於教導,心存忍耐。 25要溫柔地規勸那些反對我們的人,也許上帝會賜給他們悔改的心,使他們明白真理, 26讓他們這些被魔鬼擄去、受其擺佈的人能夠醒悟過來,脫離魔鬼的網羅。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Timotheo 2:1-26

Askari Mwema Wa Kristo Yesu

12:1 Efe 6:10; 1Tim 1:2; 2Tim 1:18Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo ndani ya Kristo Yesu. 2Nayo mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu watakaoweza kuwafundisha watu wengine vilevile. 3Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu. 4Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari. 52:5 1Kor 9:25; 2Tim 4:8; 1Kor 9:10Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano. 6Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno. 7Fikiri sana kuhusu haya nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo hayo yote.

82:8 Mdo 2:24; Rum 2:16Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii ndiyo Injili yangu, 92:9 Mdo 9:16; 2Tim 1:12ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi. 102:10 Kol 1:24; 2Kor 4:17Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele.

112:11 Rum 6:2-11; 1Tim 1:15; 2Kor 4:10Hili ni neno la kuaminiwa:

Kwa maana kama tumekufa pamoja naye,

tutaishi pia pamoja naye.

122:12 Rum 8:17; 1Pet 4:13; Mt 10:33Kama tukistahimili,

pia tutatawala pamoja naye.

Kama tukimkana yeye,

naye atatukana sisi.

132:13 Hes 23:19; 1Kor 1:9Kama tusipoamini,

yeye hudumu kuwa mwaminifu,

kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.

Mfanyakazi Aliyekubaliwa Na Mungu

142:14 1Tim 5:21; 6:13; 2Tim 4:1; 1Tim 1:4; 6:4; Tit 3:9, 11Endelea kuwakumbusha mambo haya ukiwaonya mbele za Bwana waache kushindana kwa maneno ambayo hayana faida yoyote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia. 152:15 Kol 1:5; Yak 1:18Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa umekubaliwa naye, mtendakazi asiye na sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi neno la kweli. 162:16 Tit 3:9; 1Tim 4:7; 6:20Jiepushe na maneno mabaya, yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima kwa Mungu. 172:17 1Tim 1:20Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto 182:18 1Tim 6:21; 1Kor 15:12ambao wameiacha kweli, wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha kuwako, nao huharibu imani ya baadhi ya watu. 192:19 Isa 28:16; Hes 16:5Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana, na auache uovu.”

202:20 1Tim 3:15; Rum 9:21Katika nyumba kubwa si kwamba kuna vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo vya miti na vya udongo; vingine kwa matumizi maalum, na vingine kwa matumizi ya kawaida. 212:21 2Kor 9:8Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye nyumba, kimeandaliwa tayari kwa kila kazi njema.

222:22 1Tim 6:11; 5:14Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi. 232:23 1Tim 1:4; 4:7; 6:4; 2Tim 2:16; Tit 3:9; 2Tim 2:14Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi. 242:24 1Tim 3:2-9; Tit 3:2; 1:9Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu. 252:25 1Tim 2:4; Gal 6:1; 1Tim 6:11; 1Pet 3:12; Mdo 8:22; 1Tim 2:4Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli, 262:26 1Tim 3:7ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.