提多書 2 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

提多書 2:1-15

教導純正的教義

1你的教導要符合純正的教義。 2勸年長的男子要節制、莊重、自律,有全備的信心、愛心和耐心。 3勸年長的婦女要過敬虔的生活,不說長道短,不做酒的奴隸,要以身作則。 4這樣,她們就能教導年輕的婦女愛丈夫、愛兒女、 5自制、貞潔,持家、和善、順服丈夫,免得上帝的道被人毀謗。

6勸勉年輕的男子要自制。 7你自己要在各樣的善行上作眾人的榜樣,在教導上要誠懇、認真、 8言語純全、無可指責,讓那些反對的人無話可說、自覺羞愧。

9勸勉作奴僕的要凡事順服主人,讓主人滿意,不頂撞主人, 10不偷拿主人的東西,為人要忠信可靠,好凡事尊崇我們救主上帝的教導。

11因為上帝拯救世人的恩典已經顯明了, 12這恩典教導我們除掉不敬虔的心和世俗的私慾,在今世過自律、公義、敬畏上帝的生活, 13懷著美好的盼望等候耶穌基督——我們偉大的上帝和救主的榮耀顯現。 14主耶穌為我們犧牲自己,要救贖我們脫離一切罪惡,並潔淨我們,使我們作祂的子民,成為熱心行善的人。

15你要講明這些事,運用各樣權柄勸勉人、責備人,別讓人輕看你。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Tito 2:1-15

Fundisha Mafundisho Manyofu

12:1 1Tim 1:10; 6:3; 2Tim 1:13Inakupasa kufundisha itikadi sahihi. 22:2 Tit 1:13; 1Tim 5:1; 3:2; Tit 2:5, 6, 12; 1:8, 13Wafundishe wazee kuwa na kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu katika imani, upendo na saburi.

32:3 1Tim 3:8; 3:11Vivyo hivyo, wafundishe wanawake wazee kuwa na mwenendo wa utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema, 42:4 1Tim 5:2, 14ili waweze kuwafundisha wanawake vijana kuwa na kiasi, wawapende waume zao na kuwapenda watoto wao, 52:5 Efe 5:22; 1Tim 6:1wawe waaminifu, watakatifu, wakitunza vyema nyumba zao, wema, watiifu kwa waume zao, ili mtu yeyote asije akalikufuru neno la Mungu.

62:6 1Tim 5:1Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi. 72:7 1Tim 4:12; Tit 2:14Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uonyeshe uadilifu, utaratibu, 82:8 1Pet 2:12; 1Tim 6:3; Neh 5:9; 1Tim 5:14; 2The 3:14na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema juu yetu.

92:9 Efe 6:5; Kol 3:22; 1Tim 6:12; 1Pet 2:18; Efe 5:24Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao, 102:10 Mt 5:16; Flp 2:15; Tit 1:3; Lk 1:47wala wasiwaibie, bali waonyeshe kuwa wanaweza kuaminika kabisa, ili kwa kila namna wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi wetu yawe ya kuvutia.

112:11 1Tim 2:4; Rum 3:24; 2Tim 1:10Kwa maana neema ya Mungu ambayo inawaokoa wanadamu wote imefunuliwa. 122:12 Tit 3:3; 2Tim 3:12Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, 132:13 2Pet 1:1; 1Kor 1:7; 1Tim 6:14; Flp 3:20huku tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu, aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo. 142:14 Za 85:4; Mit 16:7Ndiye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe kutoka uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali yake Mwenyewe, yaani, wale walio na juhudi katika kutenda mema.

15Basi wewe fundisha mambo haya. Onya na kukaripia kwa mamlaka yote. Mtu yeyote asikudharau.