彼得前書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

彼得前書 3:1-22

夫妻之道

1-2照樣,作妻子的要順服丈夫。這樣,即使丈夫不信從真道,也會因為看見妻子貞潔和敬虔的品行而被無聲地感化。 3你們不要注重外表的妝飾,像編頭髮、戴金飾或穿華麗的衣服, 4要以溫柔、嫺靜這些永不褪色的內在美為妝飾,這是上帝所看重的。 5從前那些仰賴上帝的聖潔婦女,都是以這些來妝飾自己,並順服自己的丈夫, 6正如撒拉順服亞伯拉罕,稱他為主人。所以,如果你們做對的事,不怕恐嚇,就是撒拉的女兒。

7你們作丈夫的也一樣,要按情理3·7 按情理」希臘文是「按知識」。與妻子共同生活,因為她們比你們軟弱。要敬重她們,因為她們和你們一同承受上帝施恩賜下的生命。這樣,你們的禱告就可以暢通無阻了。

要為義受苦

8總而言之,你們要同心合意,互相關懷,彼此相愛,仁慈謙虛。 9不要以惡報惡,以辱駡還辱駡,反要祝福對方,這是你們蒙召的目的,好叫你們得到祝福。 10因為聖經上說:

「若有人熱愛生命,

渴望幸福,

就要舌頭不出惡言,

嘴唇不說詭詐的話。

11要棄惡行善,竭力追求和睦。

12因為主的眼睛看顧義人,

祂的耳朵垂聽他們的祈求。

但主必嚴懲作惡之人。」

13如果你們熱心行善,有誰會害你們呢? 14就算你們為義受苦,也是有福的。不要害怕別人的恐嚇3·14 不要害怕別人的恐嚇」或譯「不要怕別人所怕的」。,也不要驚慌, 15要心裡尊基督為主。如果有人問起你們心中的盼望,你們要隨時準備答覆, 16但態度要溫和恭敬,存無愧的良心。這樣,那些對你們因信基督而有的好品行妄加誣衊的人會自覺羞愧。 17如果上帝的旨意是要你們因行善而受苦,這也總比你們因作惡而受苦強。

18因為基督也曾一次為罪受苦,以無罪之身代替不義之人,為要領你們到上帝面前。祂的肉體雖被處死,但祂藉著聖靈復活了。 19祂還藉著聖靈向那些監獄中的靈魂傳道, 20他們就是從前在挪亞造方舟、上帝耐心等候人們悔改的時代中那些不肯信的人。當時進入方舟,從洪水中得救的人很少,只有八個人。 21這水代表的洗禮現在藉著耶穌基督的復活也拯救了你們。這洗禮要表明的不是除掉肉體的污穢,而是求在上帝面前有無愧的良心。 22基督已經升到天上,坐在上帝的右邊,眾天使、掌權的、有能力的都服從了祂。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Petro 3:1-22

Mafundisho Kwa Wake Na Waume

13:1 1Pet 2:18; Efe 5:22; 1Kor 7:16Kadhalika enyi wake, watiini waume zenu, ili kama kunao wasioamini lile neno, wapate kuvutwa na mwenendo wa wake zao pasipo neno, 23:2 1Pet 2:12kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu. 33:3 Isa 3:18-23; 1Tim 2:9; 1Pet 3:4; Rum 7:22; Efe 3:16Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje tu, kama vile kusuka nywele, kuvalia vitu vilivyofanyizwa kwa dhahabu na kwa mavazi. 43:4 Za 45:13; Rum 2:29; 7:22; 2Kor 4:16Badala yake, kujipamba kwenu kuwe katika utu wenu wa moyoni, yaani uzuri usioharibika wa roho ya upole na utulivu, ambayo ni ya thamani sana machoni pa Mungu. 53:5 1Tim 5:5Kwa kuwa hivi ndivyo walivyokuwa wakijipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu. Wao walikuwa ni watiifu kwa waume zao, 63:6 Mwa 18:12kama Sara alivyomtii mumewe Abrahamu, hata akamwita bwana. Ninyi ni watoto wa Sara kama mkitenda yaliyo mema, bila kuogopa jambo lolote.

73:7 Kol 3:19; 1Kor 7:3; Efe 5:25; Kol 3:10; 1Kor 12:23; 1The 4:14Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa wao ni wenzi walio dhaifu, na kama warithi pamoja nanyi wa kipawa cha neema cha uzima, ili kusiwepo na chochote cha kuzuia maombi yenu.

Kuteseka Kwa Kutenda Mema

83:8 Rum 12:10; Efe 4:2Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu. 93:9 Rum 12:17; 1The 5:15; 1Pet 2:21-23; Ebr 6:14Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka. 103:10 Za 34:12; Yak 1:26; 1Pet 2:1, 22; Ufu 14:5Kwa maana,

“Yeyote apendaye uzima

na kuona siku njema,

basi auzuie ulimi wake usinene mabaya,

na midomo yake isiseme hila.

113:11 Za 37:27; Isa 1:16, 17; 3Yn 11; Rum 12:8; 14:19Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema;

lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.

123:12 Za 34:12-16; Yn 9:31; Yak 5:16Kwa maana macho ya Bwana

huwaelekea wenye haki,

na masikio yake yako makini

kusikiliza maombi yao.

Bali uso wa Bwana uko kinyume

na watendao maovu.”

Kuvumilia Mateso

133:13 Mit 16:7; Tit 2:14Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema? 143:14 1Pet 4:15-16; Isa 8:12-14Lakini mmebarikiwa hata kama ikiwalazimu kuteseka kwa ajili ya haki. “Msiogope vitisho vyao, wala msiwe na wasiwasi.” 153:15 Kol 4:6Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana mioyoni mwenu. Siku zote mwe tayari kumjibu mtu yeyote atakayewauliza kuhusu sababu ya tumaini lililomo ndani yenu. Lakini fanyeni hivyo kwa upole na kwa heshima, 163:16 Mdo 23:1; Ebr 13:18; 1Pet 2:12-15mkizitunza dhamiri zenu ziwe safi, ili wale wasemao mabaya dhidi ya mwenendo wenu mzuri katika Kristo waaibike kwa ajili ya masingizio yao.

173:17 1Pet 4:19; 2:20; 4:15-16Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu. 183:18 1Pet 2:21; Kol 1:22; 1Pet 4:1-6Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa, lakini akafanywa hai katika Roho. 193:19 1Pet 1:12; 4:6; Isa 42:7; 49:9; 61:1Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni: 203:20 Mwa 6:3; Ebr 11:7roho hizo ambazo zamani hazikutii, wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga safina, ambamo watu wachache tu, yaani watu wanane, waliokolewa ili wasiangamie kwa gharika. 213:21 Mdo 22:16; Tit 3:5Nayo maji hayo ni kielelezo cha ubatizo ambao sasa unawaokoa ninyi pia: si kwa kuondoa uchafu kwenye mwili, bali kama ahadi ya dhamiri safi kwa Mungu, kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo. 223:22 Mk 16:19; Mt 28:18; Rum 8:38Yeye ameingia mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu; nao malaika, mamlaka na nguvu zote wametiishwa chini yake.