啟示錄 22 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

啟示錄 22:1-21

1天使讓我看城內街道當中一道流淌著生命水的河,清澈如水晶,從上帝和羔羊的寶座那裡流出。 2河兩岸有結十二種果子的生命樹,每個月都結果子,葉子能醫治萬民。 3再也沒有咒詛,因為城裡有上帝和羔羊的寶座,祂的奴僕都要事奉祂。 4他們必見上帝的面,上帝的名字必印在他們的額上。 5再沒有黑夜,也不需要燈光和陽光,因為主上帝必作他們的光。他們要執掌王權直到永永遠遠。

基督的再來

6天使對我說:「這些話真實可靠。賜聖靈感動眾先知的主上帝已差遣祂的天使,將那些快要發生的事指示給祂的奴僕們。」

7「看啊,我快要來了。遵行這書中預言的人有福了!」

8以上都是我約翰親眼看見、親耳聽見的事。當我聽見、看見這些事後,就俯伏敬拜將這一切指示給我的天使。 9天使對我說:「千萬不可!我與你、你的眾先知弟兄和那些遵行這書上話語的人同是上帝的奴僕,你要敬拜上帝。」

10他又對我說:「不可封住這卷書上的預言,因為時候快到了。 11不義的,讓他繼續不義;污穢的,讓他繼續污穢;公義的,讓他保持公義;聖潔的,讓他保持聖潔。」

12「看啊,我快要來了,到時候我要按各人的行為施行賞罰。 13我是阿拉法,我是俄梅加;我是首先的,我是末後的;我是開始,我是終結。 14那些洗淨自己衣裳的人有福了!他們有權吃生命樹的果子,也可以從城門進入城中。 15那些如同惡犬的敗類、行邪術的、淫亂的、殺人的、拜偶像的和一切喜歡弄虛作假的,都要被拒之城外。 16我耶穌差遣我的天使到眾教會,向你們證明這些事。我是大衛的根,也是大衛的後裔,又是明亮的晨星。」

17聖靈和新娘都說:「來吧!」聽見的也要說:「來吧!」口渴的,讓他來吧!願意的,讓他白白享用生命水吧!

警告

18我鄭重警告所有聽見這書上預言的人:如果誰在這書上增添什麼,上帝必將這書上所記載的災禍加在他身上; 19如果有人從這預言書上刪減什麼,上帝必使他無份於這書上所記載的生命樹和聖城。

20那位證明這些事的說:「是的,我快要來了。」阿們!主耶穌啊,我願你來!

21願主耶穌的恩典與眾聖徒同在。阿們!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 22:1-21

Mto Wa Maji Ya Uzima

122:1 Ufu 4:6; Eze 47:1; Zek 14:8Kisha yule malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka kutoka kwenye kile kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo, 222:2 Ufu 2:7; Eze 47:12kupitia katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa. 322:3 Zek 14:11; Ufu 7:15Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia, 422:4 Mt 5:8; Ufu 14:1nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao. 522:5 Ufu 21:23, 25; 20:4; Dan 7:27Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele.

622:6 Ufu 1:1; 19:9; 21:5; Ebr 12:9Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”

Bwana Yesu Anakuja

722:7 Ufu 3:11; 1:3; Mt 16:27; Ufu 22:10, 18, 19“Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”

822:8 Ufu 1:1; 19:10Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo hayo. 922:9 Ufu 19:10; 22:10, 18, 19Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako manabii na wote wanaoyashika maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu!”

1022:10 Dan 8:26; Ufu 10:4; 1:3Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia. 1122:11 Eze 3:27; Dan 12:10Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”

1222:12 Isa 14:10; Mt 16:27; Isa 62:11“Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda. 1322:13 Ufu 1:8, 17; 21:6Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.

1422:14 Ufu 2:7; 21:12, 27“Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, ili wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na kuuingia huo mji kupitia kwenye malango yake. 1522:15 Kum 23:18; Kol 3:5, 6; Flp 3:2Huko nje wako mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuufanya.

1622:16 Ufu 1:1, 4; 5:5; 2Pet 1:19; Ufu 2:28“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndimi Shina na Mzao wa Daudi, ile Nyota ya Asubuhi ingʼaayo.”

1722:17 Ufu 14:13Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!” Naye asikiaye na aseme, “Njoo!” Yeyote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na anywe maji ya uzima bure.

1822:18 Kum 12:32; Mit 30:6; Ufu 5:6; 16:21Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. 1922:19 Kum 4:2Kama mtu yeyote akipunguza humo chochote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.

2022:20 Ufu 1:2; 1Kor 16:22Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, “Hakika, naja upesi!”

Amen. Njoo, Bwana Yesu.

2122:21 Rum 16:20Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.