哥林多後書 5 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

哥林多後書 5:1-21

天上的房屋

1我們知道,我們的身體好比是地上的帳篷,如果毀壞了,我們就從上帝那裡得到一個住處,不是人手造的,而是天上永恆的「房屋」。 2我們在這地上的「帳篷」裡歎息,渴望早日遷進那天上的「房屋」,好像更換衣服一樣。 3我們一旦穿上新衣,就不會赤身露體了。 4我們在這「帳篷」裡勞苦歎息,並非想脫去這地上的身體,而是切望能穿上那天上的新身體,讓永恆的生命吞滅必朽的身體。 5是上帝為此目的預備了我們,並賜給了我們聖靈作擔保。

6所以,我們總是坦然無懼,儘管知道住在肉身之內便無法與主在一起。 7因為我們行事為人,是憑對上帝的信心,不是憑眼見。 8是的,我們坦然無懼,甚至更樂意離開身體,回到天家與主相聚。 9因此,我們立定心志,無論是住在肉身之內還是離開肉身,都要取悅主。 10因為我們所有的人都要出現在基督的審判台前,好按照各人在肉身之時所行的善惡接受賞罰。

勸人與上帝和好

11我們知道主是當受敬畏的,所以勸人歸信祂。我們的內心如何,上帝知道,我盼望你們的良心也知道。 12我們不是稱讚自己,而是讓你們有機會以我們為榮,叫你們可以反駁那些只貪圖外表虛榮、不注重內在實質的人。 13如果我們瘋狂,那是為了上帝;如果我們清醒,那是為了你們。 14因為基督的愛激勵我們,因為我們確信:基督一人既代替所有的人死了,所有的人就都死了。 15祂為眾人死,是要叫那些活著的人不再為自己活,而是要為替他們死而復活的基督活。

16從今以後,我們不再以貌取人了,雖然我們曾這樣看待基督,現在卻不再這樣看待祂了。 17若有人在基督裡,他就是新造的人,舊事已過,看啊,一切都更新了。 18這一切都是上帝的作為,祂藉著基督使我們與祂和好,又把勸人與祂和好的職分賜給了我們。 19也就是說,上帝在基督裡使世人與自己和好,不再追究他們的過犯。祂已託付我們去傳揚這和好之道。 20所以我們現在是基督的大使,可以說上帝正藉著我們發出呼求。我們替基督懇求你們:要與上帝和好! 21上帝使無罪的基督擔當我們的罪,使我們可以藉著基督成為被上帝接納的義人。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 5:1-21

Makao Yetu Ya Mbinguni

15:1 1Kor 15:47; Isa 38:12; 1Pet 1:13-14Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. 2Katika hema hii twalia kwa uchungu, tukitamani kuvikwa makao yetu ya mbinguni, 3kwa kuwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tena kuwa uchi. 45:4 1Kor 15:33, 54; Rum 8:23; 2Kor 5:2; 1Kor 15:51Kwa kuwa tukiwa bado katika hema hii twalia kwa uchungu na kulemewa, kwa sababu hatutaki kuvuliwa bali kuvikwa makao yetu ya mbinguni ili kwamba kile kipatikanacho na mauti kimezwe na uzima. 55:5 Rum 8:23; 2Kor 1:22; Efe 1:13-14Basi Mungu ndiye alitufanya kwa ajili ya jambo lilo hilo naye ametupa Roho Mtakatifu kuwa amana, akituhakikishia ahadi ya kile kijacho.

65:6 Ebr 11:13Kwa hiyo siku zote tunalo tumaini, hata ingawa tunajua kwamba wakati tukiwa katika mwili huu, tuko mbali na Bwana, 75:7 1Kor 13:12; 2Kor 4:18kwa maana twaenenda kwa imani wala si kwa kuona. 85:8 Yn 12:26; Flp 1:23Naam, tunalo tumaini na ingekuwa bora zaidi kuuacha mwili huu na kwenda kukaa na Bwana. 95:9 Rum 14:18; Efe 5:10; Kol 1:10; 1The 4:1Kwa hiyo, kama tuko katika mwili huu au tuko mbali nao, lengo letu ni kumpendeza Bwana. 105:10 Mt 16:27; Mdo 10:42; Rum 2:16; 14:10; Efe 6:8Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate kulipwa kwa ajili ya yale ambayo yametendwa katika mwili wake, yakiwa mema au mabaya.

Huduma Ya Upatanisho

115:11 Ay 23:15; Ebr 10:31; 12:29; Yud 23; 2Kor 4:2Basi, kwa kuwa tunajua kumcha Bwana, tunajitahidi kuwavuta wengine. Lakini Mungu anatufahamu dhahiri, nami natumaini kwamba tu dhahiri katika dhamiri zenu pia. 125:12 2Kor 3:1; 1:14Sio kwamba tunajaribu kujistahilisha kwenu tena, lakini tunataka kuwapa nafasi ili mwone fahari juu yetu mweze kuwajibu hao wanaoona fahari juu ya mambo yanayoonekana badala ya mambo yaliyo moyoni. 135:13 2Kor 11:1, 16-17; 12:11Kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu; kama tuna akili timamu, ni kwa ajili yenu. 145:14 Rum 6:6-7; Gal 2:20; Kol 3:3Kwa kuwa upendo wa Kristo unatutia nguvu, kwa sababu tunasadiki kuwa mmoja alikufa kwa ajili ya wote, kwa hiyo wote walikufa. 155:15 Rum 14:7-9; 4:25Naye alikufa kwa ajili ya watu wote, ili kwamba wote wanaoishi wasiishi tena kwa ajili ya nafsi zao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa na kufufuliwa tena kwa ajili yao.

165:16 2Kor 10:4; 11:18Hivyo tangu sasa hatumwangalii mtu yeyote kwa mtazamo wa kibinadamu. Ingawa wakati fulani tulimwangalia Kristo kwa namna ya kibinadamu, hatumwangalii tena hivyo. 175:17 Rum 16:3; Yn 1:13; Rum 6:4; Gal 6:15; Isa 65:17; Ufu 21:4-5Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama, yamekuwa mapya. 185:18 Rum 11:36; 5:10Haya yote yanatokana na Mungu, ambaye ametupatanisha sisi na nafsi yake kwa njia ya Yesu Kristo na kutupata sisi huduma ya upatanisho: 19Kwamba Mungu alikuwa ndani ya Kristo akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake mwenyewe, akiwa hawahesabii watu dhambi zao. Naye ametukabidhi sisi ujumbe huu wa upatanisho. 205:20 2Kor 6:1; Efe 6:20; Isa 27:5Kwa hiyo sisi ni mabalozi wa Kristo, kana kwamba Mungu anawasihi kupitia kwa vinywa vyetu. Nasi twawaomba sana ninyi kwa niaba ya Kristo, mpatanishwe na Mungu. 215:21 Ebr 4:15; 7:26; 1Pet 2:22-24; 1Yn 3:5; Rum 1:17; 1Kor 1:30Kwa maana Mungu alimfanya yeye asiyekuwa na dhambi kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kufanywa haki ya Mungu kwake yeye.