哥林多後書 13 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

哥林多後書 13:1-14

最後的警告

1這是我第三次要去你們那裡。聖經上說:「任何控告必須有兩三個證人作證才能成立。」 2我第二次去探望你們的時候已經警告過了,如今我雖然不在你們那裡,但仍要再次警告那些犯罪的人以及其餘的人:我再來的時候,必不寬容。 3既然你們要我證明是基督藉著我說話,那麼你們當知道,基督處理你們這類的事絕不軟弱,祂在你們當中充滿力量。 4不錯,祂的軟弱之軀曾被釘在十字架上,但如今祂靠上帝的大能活著。我們也跟祂一樣軟弱,但為了你們,我們要靠上帝的大能和祂一同活著。

5你們要自我省察,看看自己是否真正信主,也要察驗自己。除非你們經不起察驗,否則,你們應該知道耶穌基督住在你們裡面。 6我希望你們會知道,我們是經得起考驗的。 7我們祈求上帝使你們一件惡事都不做,不是為了要顯明我們經得起考驗,而是要你們行事端正,就算我們經不起考驗也無妨。 8因為我們不能抵擋真理,只能擁護真理。 9只要你們剛強,我們就是軟弱也歡喜。我們為你們祈禱,盼望你們做純全的人。 10我寫這封信是預先警告你們,免得我到你們當中的時候,必須運用基督給我的權柄嚴厲地對待你們。基督賜給我這權柄是為了造就人,不是毀壞人。

勸勉與祝福

11最後,弟兄姊妹,我還有幾句話要說:你們要喜樂,追求完善,接受勸勉,同心合意,和睦共處。這樣,仁愛和平的上帝必常與你們同在。

12你們要以聖潔的吻彼此問候。 13全體聖徒都問候你們。

14願主耶穌基督的恩典、上帝的慈愛、聖靈的感動,常與你們眾人同在!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 13:1-14

Maonyo Ya Mwisho

113:1 2Kor 12:14; Kum 19:15; Mt 18:16Hii ndiyo mara ya tatu mimi kuja kwenu. “Shtaka lolote lazima lithibitishwe na mashahidi wawili au watatu.” 213:2 2Kor 1:23; 12:21Nimekwisha kuwaonya nilipokuwa pamoja nanyi mara ya pili. Sasa narudia wakati sipo, kwamba nikija tena sitawahurumia wale waliokuwa wametenda dhambi hapo awali na wengine wote, 313:3 Mt 10:20; 1Kor 5:4kwa kuwa mnadai uthibitisho kwamba Kristo anazungumza kwa kunitumia mimi. Yeye si dhaifu katika kushughulika nanyi, bali ana nguvu kati yenu. 413:4 1Kor 1:25; 1Pet 3:18; Rum 1:4; 6:4; 1Kor 6:14Kwa kuwa alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Vivyo hivyo, sisi tu dhaifu kupitia kwake, lakini katika kuwashughulikia ninyi tutaishi pamoja naye kwa nguvu za Mungu.

513:5 1Kor 11:28; Yn 6:6; Rum 8:10Jichunguzeni wenyewe mwone kama mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je, hamtambui ya kuwa Yesu Kristo yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa kufikia kipimo hicho! 6Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa. 713:7 2Kor 6:9Lakini tunamwomba Mungu msije mkatenda kosa lolote, si ili sisi tuonekane kuwa tumeshinda hilo jaribio, bali ili ninyi mtende lililo haki, hata kama tutaonekana kuwa tumeshindwa. 813:8 1Kor 13:6Kwa maana hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, bali kuithibitisha kweli tu. 913:9 1Kor 2:3; 2Kor 4:12; Efe 4:13Tunafurahi wakati wowote sisi tunapokuwa dhaifu, lakini ninyi mkawa na nguvu. Nayo maombi yetu ni kwamba mpate kuwa wakamilifu. 1013:10 2Kor 1:23; 10:8Hii ndiyo sababu nawaandikia mambo haya wakati sipo, ili nikija nisiwe mkali katika kutumia mamlaka yangu, mamlaka Bwana aliyonipa ya kuwajenga ninyi wala si ya kuwabomoa.

Salamu Za Mwisho

1113:11 1The 4:1; 2The 3:1; Mk 9:50; 1Yn 4:16; Rum 15:33; Efe 6:23Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Kuweni wakamilifu, mkafarijike, kuweni wa nia moja, kaeni kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.

1213:12 Rum 16:16; 1Kor 16:20; 1The 5:26Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu. 1313:13 Flp 4:22Watakatifu wote wanawasalimu.

1413:14 Rum 16:20; 2Kor 8:9; Rum 5:5; Yud 21; Flp 2:1Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote. Amen.