马可福音 16 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

马可福音 16:1-20

耶稣复活

1过了安息日,抹大拉玛丽亚雅各的母亲玛丽亚撒罗米买了香料,要去抹耶稣的遗体。 2周日清早,太阳刚刚升起,她们就去坟墓那里。 3途中她们彼此议论说:“谁能替我们滚开墓口那块大石头呢?” 4她们抬头一看,那块大石头已经滚到一旁。 5她们进了坟墓,看见一位身穿洁白长袍的青年坐在右边,吓了一跳。 6那青年对她们说:“不要害怕,你们要找那位被钉十字架的拿撒勒人耶稣吗?祂已经复活了,不在这里。你们看!这是安放祂的地方。 7你们快回去,告诉祂的门徒,特别是彼得,‘祂先你们一步去了加利利,你们将在那里见到祂,正如祂以前所说的一样。’”

8她们从坟墓出来,跑走了,战战兢兢,疑惑不已,什么也没有告诉他人,因为她们很害怕。

耶稣显现

9耶稣在周日清晨复活后,首先向抹大拉玛丽亚显现,耶稣曾在她身上赶出七个鬼。 10玛丽亚赶到门徒那里,看见他们仍然在哭泣哀悼, 11就告诉他们耶稣已经复活了,还向她显现过,但他们不相信。

12此后,有两个门徒在去乡下的路上,看到耶稣以另一种形象向他们显现。 13他们回去告诉其他的门徒,但门徒还是不相信。

最后的使命

14后来,当十一位门徒在一起吃饭的时候,耶稣向他们显现,责备他们又不信又固执,因为他们不肯相信那些人在祂复活后见过祂。 15耶稣又对他们说:“你们要到世界各地去,向全人类传扬福音。 16相信并接受洗礼的人必定得救,不肯相信的人必被定罪。 17必有神迹随着信我的人,他们能奉我的名赶鬼,说新的方言, 18又能用手拿蛇,万一喝了什么毒物,也不会受害。他们把手按在病人身上,病人就可痊愈。” 19主耶稣说完这些话,就被接回天上,坐在上帝的右边。 20门徒出去到处传扬福音,主和他们一同工作,借着神迹证实他们所传的道。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Marko 16:1-20

Kufufuka Kwa Yesu

(Mathayo 28:1-8; Luka 24:1-12; Yohana 20:1-10)

116:1 Lk 24:9; Yn 19:39-40Sabato ilipomalizika, Maria Magdalene, Maria mama yake Yakobo, na Salome walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu. 216:2 Lk 24:1; Yn 20:1Asubuhi na mapema, siku ya kwanza ya juma, mara tu baada ya kuchomoza jua, walikwenda kaburini. 316:3 Mk 15:46Njiani wakawa wanaulizana wao kwa wao, “Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe kutoka kwenye ingilio la kaburi?”

4Lakini walipotazama, wakaona lile jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana, limekwisha kuvingirishwa kutoka pale penye ingilio la kaburi. 516:5 Lk 24:3-4Walipokuwa wakiingia mle kaburini, wakamwona kijana mmoja aliyevaa joho jeupe akiwa ameketi upande wa kuume, nao wakastaajabu.

616:6 Mk 1:24Yule malaika akawaambia, “Msistaajabu. Mnamtafuta Yesu, Mnazareti, aliyesulubiwa. Amefufuka! Hayuko hapa. Tazameni mahali walipomlaza. 716:7 Yn 21:1-23; Mk 14:28Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’ ”

816:8 Mt 28:8; Lk 24:9Hivyo wakatoka, wakakimbia kutoka mle kaburini wakiwa na hofu kuu na mshangao. Nao hawakumwambia mtu yeyote neno lolote, kwa sababu waliogopa.

Yesu Anamtokea Maria Magdalene

(Mathayo 28:9-10; Yohana 20:11-18)

916:9 Mk 15:4-7Yesu alipofufuka alfajiri na mapema siku ya kwanza ya juma alimtokea kwanza Maria Magdalene, yule ambaye alikuwa amemtoa pepo wachafu saba. 1016:10 Lk 24:10; Yn 20:18Maria akaenda, naye akawaambia wale waliokuwa wamefuatana na Yesu, waliokuwa wanaomboleza na kulia. 1116:11 Mk 16:13, 14; Lk 24:11Lakini waliposikia kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria alikuwa amemwona, hawakusadiki.

Yesu Awatokea Wanafunzi Wawili

(Luka 24:13-35)

1216:12 Lk 24:13-32Baadaye Yesu akawatokea wawili miongoni mwa wanafunzi wake walipokuwa wakienda shambani akiwa katika sura nyingine. 13Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.

Yesu Awaagiza Wale Wanafunzi Kumi Na Mmoja

(Mathayo 28:16-20; Luka 24:36-49; Yohana 20:19-23; Matendo 1:6-8)

1416:14 Lk 24:36-43Baadaye Yesu akawatokea wale wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa wakila chakula. Akawakemea kwa kutoamini kwao na kwa ugumu wa mioyo yao kwa kutosadiki wale waliomwona baada yake kufufuka.

1516:15 Mt 28:18-20; Mdo 1:8Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. 1616:16 Mdo 16:31; Yn 12:48Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini yeyote asiyeamini atahukumiwa. 1716:17 Lk 10:17; 1Kor 13:1; 14:2-39Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya; 1816:18 Lk 10:19; Mdo 28:3-5; 6:6watashika nyoka kwa mikono yao; na hata wakinywa kitu chochote cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”

[Yesu Apaa Kwenda Mbinguni

(Luka 24:50-53; Matendo 1:9-11)

1916:19 Lk 24:50-51; Yn 6:6; Mdo 1:19; 1Tim 3:16; Za 110:1; Mt 26:64; Mdo 2:33; 5:31; Rum 8:34; Kol 3:1; Ebr 1:3; 12:2Baada ya Bwana Yesu kusema nao, alichukuliwa juu mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Mungu. 2016:20 Yn 4:48Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]