约翰一书 2 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约翰一书 2:1-29

1我的孩子们,我写这些话给你们是为了叫你们不要犯罪。如果有人犯了罪,在父那里我们有一位护慰者,就是那位义者——耶稣基督。 2祂为我们的罪作了赎罪祭,不只是为我们的罪,也是为全人类的罪。

3我们若遵行上帝的命令,就知道自己认识祂。 4若有人说“我认识祂”,却不遵行祂的命令,这人是说谎的,他心中没有真理。 5遵行主话语的人是真正全心爱上帝的人,我们借此知道自己是在主里面。 6所以,自称住在主里面的,就该在生活中效法基督。

新命令

7亲爱的弟兄姊妹,我写给你们的并不是一条新命令,而是你们起初接受的旧命令,这旧命令就是你们已经听过的真道。 8然而,我写给你们的也是新命令,在基督和你们身上都显明是真实的,因为黑暗渐渐过去,真光已经照耀出来。

9若有人说自己在光明中,却恨他的弟兄姊妹,他就仍然活在黑暗里。 10爱弟兄姊妹的人活在光明中,没有什么可以绊倒他2:10 没有什么可以绊倒他”或译“他也不会绊倒别人”。11恨弟兄姊妹的人活在黑暗中,走在黑暗中,不知何去何从,因为黑暗弄瞎了他的眼睛。

12孩子们,我写信给你们,因为靠着祂的名,你们的罪已经得到赦免。 13父老们,我写信给你们,因为你们认识了从太初就存在的那位。年轻人,我写信给你们,因为你们已经战胜了那恶者。

14孩子们,我曾写信给你们,因为你们认识了父。父老们,我曾写信给你们,因为你们认识了从太初就存在的那位。年轻人,我曾写信给你们,因为你们刚强,上帝的道常存在你们心里,并且你们战胜了那恶者。

15不要爱世界和世上的事,因为人若爱世界,就不会再有爱父的心了。 16凡属世界的,如肉体的私欲、眼目的私欲和今生的骄傲都不是从父那里来的,而是从世界来的。 17这世界和其中一切的私欲都要过去,但遵守上帝旨意的人永远长存。

防备敌基督者

18孩子们,现在是末世了。你们从前听说敌基督者要来,其实现在许多敌基督者已经出现了,由此可知,现在是末世了。 19这些人是从我们中间出去的,但他们不属于我们。他们如果属于我们,就会留在我们当中了。他们的离去表明他们都不属于我们。

20你们从那位圣者领受了圣灵2:20 圣灵”希腊文指“膏抹”。,所以你们明白真理。 21我写信给你们不是因为你们不明白真理,而是因为你们明白真理,并且知道真理里面绝对没有谎言。 22谁是说谎的呢?不就是那否认耶稣是基督的吗?那不承认父和子的就是敌基督者。 23凡否认子的,也否认了父;凡承认子的,也承认了父。

24你们务要把起初所听见的教导谨记在心,这样,你们必住在子和父里面。 25主应许给我们的是永生。 26以上的话是针对那些引诱你们离开正道的人写的。

顺从圣灵

27你们既然从主领受了圣灵,圣灵又住在你们心中,就不需要其他人来教导你们,因为圣灵必会在一切事上指引你们。圣灵的教导是真实的,没有虚假,你们要按圣灵的教导住在主里面。 28孩子们,你们要住在主里面。这样,当主显现的时候,就是祂再来的时候,我们便能坦然无惧,不会在祂面前羞愧。 29既然你们知道主是公义的,也该知道所有按公义行事的人都是上帝的儿女。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Yohana 2:1-29

Kristo Mwombezi Wetu

12:1 1The 2:11; Ebr 7:25; 1Tim 2:5Watoto wangu wapendwa, nawaandikia haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu yeyote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba: ndiye Yesu Kristo, Mwenye Haki. 22:2 1Yn 4:10; Rum 3:25; Mt 1:21; Yn 3:17Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote.

32:3 Yn 14:15; 1Yn 2:5; 3:24; 4:13; 5:2; 2:4Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake. 42:4 1Yn 1:6, 8; 2:3; Tit 1:16; 1Yn 3:6; 4:7, 8Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli. 52:5 Yn 14:15, 21, 23; 1Yn 4:12Lakini mtu yeyote anayelitii neno lake, upendo wa Mungu umekamilika ndani yake kweli kweli. Katika hili twajua kuwa tumo ndani yake. 62:6 Mt 11:29; 2Pet 2:21Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Yesu alivyoenenda.

Amri Mpya

72:7 1Kor 10:14; 1Yn 2:24; 3:11, 23; 4:2Wapendwa, siwaandikii ninyi amri mpya bali ile ya zamani, ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo. Amri hii ya zamani ni lile neno mlilosikia. 82:8 Yn 13:34; Ebr 10:25; Yn 1:9; Efe 5:8; 1The 5:5Lakini nawaandikia amri mpya, yaani, lile neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa sababu giza linapita na ile nuru ya kweli tayari inangʼaa.

92:9 1Yn 2:11; Law 19:17; 1Yn 3:10; 4:20, 21; 1:5Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani. 102:10 1Yn 3:14; 2:11; Za 119:165; Rum 14:13, 15; Yn 11:9Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza. 112:11 Yn 11:9; 11:10; 12:35; 1Yn 1:6; Yn 12:35Lakini yeyote amchukiaye ndugu yake, yuko gizani na anaenenda gizani, wala hajui anakokwenda, kwa sababu giza limempofusha macho.

122:12 1Yn 2:9; 3:23Nawaandikia ninyi, watoto wadogo,

kwa sababu dhambi zenu

zimesamehewa kwa ajili ya Jina lake.

132:13 Mt 5:37; Yn 1:1; 16:33; 1Yn 2:14; 2:13Nawaandikia ninyi, akina baba,

kwa sababu mmemjua

yeye aliye tangu mwanzo.

Nawaandikia ninyi vijana

kwa sababu mmemshinda yule mwovu.

Nawaandikia ninyi watoto wadogo,

kwa sababu mmemjua Baba.

142:14 Efe 6:10; Yn 5:38; 1Yn 1:10Nawaandikia ninyi akina baba,

kwa sababu mmemjua

yeye aliye tangu mwanzo.

Nawaandikia ninyi vijana,

kwa sababu mna nguvu,

na neno la Mungu linakaa ndani yenu,

nanyi mmemshinda yule mwovu.

Msiupende Ulimwengu

152:15 Rum 12:2; Yak 4:4Msiupende ulimwengu wala mambo yaliyo ulimwenguni. Kama mtu yeyote akiupenda ulimwengu, upendo wa Baba haumo ndani yake. 162:16 Efe 2:8; Mit 27:20Kwa maana kila kitu kilichomo ulimwenguni, yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba bali hutokana na ulimwengu. 172:17 Ebr 12:27; Mt 12:50; 1Kor 7:31; Yak 1:10; 4:14; 1Pet 1:24Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele.

Onyo Dhidi Ya Wapinga Kristo

182:18 1Yn 4:1; 2Yn 7Watoto wadogo, huu ni wakati wa mwisho! Kama mlivyosikia kwamba mpinga Kristo anakuja, hivyo basi wapinga Kristo wengi wamekwisha kuja. Kutokana na hili twajua kwamba huu ni wakati wa mwisho. 192:19 Mk 1:24; Yer 31:34Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu hasa. Kwa maana kama wangelikuwa wa kwetu, wangelikaa pamoja nasi, lakini kutoka kwao kulionyesha kwamba hakuna hata mmoja wao aliyekuwa wa kwetu.

202:20 1Yn 2:27; 2Kor 1:21; Mk 1:24; Yer 31:34; Mt 13:11; Yn 14:26Lakini ninyi mmetiwa mafuta na yeye Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli. 212:21 2Pet 1:12; Yud 5Siwaandikii kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo utokao katika kweli. 222:22 1Yn 4:13; 2Yn 7Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, yaani, yeye humkana Baba na Mwana. 232:23 Yn 14:7; 2Yn 9Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.

242:24 2Yn 9Hakikisheni kwamba lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu. Kama lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana na ndani ya Baba. 252:25 Mt 25:46; Yn 17:3; 1Yn 1:2; 5:11Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele.

262:26 1Yn 3:7; 2Yn 7Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha. 272:27 1Yn 2:20; Yer 31:33, 34; Ebr 8:10, 11; Yn 14:26; 16:13Nanyi, upako mlioupata kutoka kwake unakaa ndani yenu, wala ninyi hamna haja ya mtu yeyote kuwafundisha. Lakini kama vile upako wake unavyowafundisha kuhusu mambo yote nayo ni kweli wala si uongo, basi kama ulivyowafundisha kaeni ndani yake.

Watoto Wa Mungu

282:28 Kol 3:4; 1Yn 3:2; Efe 3:12; 1The 2:19Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake.

292:29 1Yn 3:7; Mdo 22:14; Yn 1:13Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.