约伯记 16 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

约伯记 16:1-22

约伯的回答

1约伯回答说:

2“这些话,我听过很多,

你们安慰人,反让人愁烦。

3你们的空谈无休无止吗?

是什么惹你们说个不停?

4倘若你我易地而处,

我也能说你们那样的话,

滔滔不绝地攻击你们,

向你们摇头。

5我会对你们讲鼓励的话,

用劝慰之言减轻你们的痛苦。

6“我若申辩,痛苦不减;

我若缄默,痛苦犹在。

7上帝啊,你使我精疲力竭,

家破人亡,

8你榨干了我,

使我骨瘦如柴,

这成了我的罪证。

9上帝在愤怒中撕裂我,迫害我,

向我咬牙切齿;

仇敌恶狠狠地盯着我。

10他们嘲笑我,

轻蔑地掴我的脸,

联合起来攻击我。

11上帝把我交给罪人,

把我扔到恶人手中。

12我本来平顺,祂击垮了我,

祂抓住我的颈项将我摔碎,

把我当祂的箭靶。

13祂的弓箭手四面围住我,

祂毫不留情地刺透我的肾脏,

使我肝胆涂地。

14祂一次次地击伤我,

像勇士一样扑向我。

15我缝制麻衣,披在身上,

把我的荣耀埋在尘土中。

16我哭得脸颊红肿,

眼皮发黑。

17但我未行残暴之事,

我的祷告纯真。

18“大地啊!不要掩盖我的血,

不要拦阻我的呼求。

19此时,我的见证人在天上,

我的辩护者在高天上。

20我的朋友讥笑我,

我在上帝面前流泪。

21但愿人与上帝之间有仲裁者,

如同人与人之间。

22因为我的年日不多,

我快要踏上不归路。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 16:1-22

Hotuba Ya Tano Ya Ayubu

Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake Ya Kutokuwa Na Hatia

1Kisha Ayubu akajibu:

216:2 Ay 6:15; 13:4; Za 69:20“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,

nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!

316:3 Ay 6:26; 11:2; 18:2Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?

Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?

416:4 Mt 27:29; Yer 18:16; Mao 2:15Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,

kama mngekuwa katika hali yangu;

ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu,

na kuwatikisia ninyi kichwa changu.

516:5 Ay 29:25; Mwa 37:35Lakini kinywa changu kingewatia moyo;

faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.

616:6 Ay 6:3; 7:21“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;

nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.

716:7 Amu 8:5; Ay 7:3; 1:19Ee Mungu, hakika umenichakaza;

umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.

816:8 Mao 5:17; Ay 10:17; 17:7; 19:20; Za 22:17; 88:9; 6:7Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;

nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.

916:9 Ay 12:14; 13:24; Mao 2:16; Mdo 7:54; Hos 6:1; Ay 30:21; 9:5; 18:4; 19:11Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,

na kunisagia meno yake;

adui yangu hunikazia macho yake makali.

1016:10 Za 22:13; Mao 3:30; Mdo 7:57; 23:2; Za 27:3; Mik 5:1Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;

hunipiga shavuni mwangu kwa dharau,

na kuungana pamoja dhidi yangu.

1116:11 Ay 9:24Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,

na kunitupa katika makucha ya waovu.

1216:12 Ay 9:17; 6:4; Mao 3:12Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;

amenikamata shingo na kuniponda.

Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;

1316:13 Mit 7:23; Mao 3:13wapiga upinde wake wananizunguka.

Bila huruma, huchoma figo zangu,

na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.

1416:14 Ay 9:17; 10:3; Yoe 2:7Huniponda tena na tena;

hunishambulia kama shujaa wa vita.

1516:15 Mwa 37:34; Ay 2:8“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu

nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.

1616:16 Ay 16:20; 2:7; 17:7; 30:17, 30; Isa 52:14; Za 6:6Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,

macho yangu yamepigwa na giza kuu.

1716:17 Yer 18:11; Yon 3:8Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,

na maombi yangu ni safi.

1816:18 Mwa 4:10; Ay 27:9; Isa 26:21; Za 66:18-19; Ebr 11:4“Ee nchi, usiifunike damu yangu,

nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.

1916:19 Mwa 31:50; Rum 1:9; 1The 2:5; Ay 22:12; 19:27; Za 113:5; Isa 33:5Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;

wakili wangu yuko juu.

2016:20 Mao 2:19; Rum 8:34; Yn 15:15; Ay 16:16Mwombezi wangu ni rafiki yangu

macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;

2116:21 1Fal 8:45; Za 140:12kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu

kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.

2216:22 Ay 10:21; Mhu 12:5“Ni miaka michache tu itapita

kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.