撒母耳记下 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

撒母耳记下 4:1-12

伊施波设被杀

1扫罗的儿子伊施波设听到押尼珥死在希伯仑,吓得手脚发软,整个以色列都震惊不已。 2那时,扫罗的儿子有两个带兵的将领,一个叫巴拿,一个叫利甲,他们是来自比录便雅悯临门的儿子。 3原来的比录人逃到基他音,寄居在那里,直到今日。

4扫罗的儿子约拿单有个儿子叫米非波设,双腿是瘸的。扫罗约拿单耶斯列阵亡的时候,他才五岁。乳娘抱着他仓皇逃命,不慎把他掉在地上,摔成了瘸子。

5一天,伊施波设正在午睡,临门的两个儿子利甲巴拿来到他家。 6-7他们装作是来取麦子,进入伊施波设的寝室,趁他正躺在床上熟睡,用刀刺透他的肚子杀了他,割下他的首级,拿着连夜穿过亚拉巴逃跑了。 8他们把伊施波设的首级带到希伯仑献给大卫王,说:“这便是扫罗的儿子伊施波设的首级。扫罗是你的仇敌,曾试图杀害你,今天耶和华为我主我王惩罚了扫罗和他的子孙。” 9大卫比录临门的儿子利甲及其兄弟巴拿说:“我凭救我脱离一切危难的永活的耶和华起誓, 10洗革拉曾有人向我报信说扫罗死了,他以为是来报喜讯,我抓住他,把他杀了。那就是我给他的报酬。 11更何况你们这些恶徒在这个无辜人的家里把他杀死在床上,我怎能不向你们讨这血债,把你们从世上除掉?” 12于是,大卫命令部下杀了他们,斩断他们的手脚,把尸体挂在希伯仑的池旁。他们把伊施波设的头颅葬在希伯仑押尼珥的坟墓里。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 4:1-12

Ish-Boshethi Auawa

14:1 2Sam 3:27; Ezr 4:4Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu. 24:2 Yos 9:17; 18:25Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini, 34:3 Neh 11:33kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

44:4 1Sam 18:1; 31:9; Law 21:18; 2Sam 9:8-12; 16:1-4; 19:24; 21:7-8; 1Nya 8:34; 9:40(Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)

54:5 2Sam 2:8; Rut 2:7Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana. 64:6 2Sam 2:23; Amu 5:25; Za 147:14Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.

74:7 Kum 3:17; 1Sam 17:54; 31:9; Mt 14:11Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba. 84:8 2Sam 20:21; 2Fal 10:7; 1Sam 24:4; 25:29; Hes 31:3; 1Sam 23:15Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo Bwana amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”

94:9 Mwa 48:16; 1Fal 1:29; Za 31:7; 103:4; 106:10Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote, 104:10 2Sam 1:2-16yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake! 114:11 Mwa 4:10; 9:5; Za 9:12; 72:14Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”

124:12 2Sam 1:15; 3:32Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.