哥林多前书 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

哥林多前书 4:1-21

基督的使徒

1因此,人应该把我们当作是基督的仆人,是上帝奥秘之事的管家。 2对管家的要求是忠心。 3我对你们或别人给我的评价毫不介意,我也不评价我自己。 4就算我今日问心无愧,也不能自以为义,因为评价我的是主。 5所以,时候未到,不可妄下断语。到主耶稣再来的时候,祂会揭开暗中的隐情,使人心里的动机显露。到时候上帝会给各人应得的称赞。

6弟兄姊妹,为了你们的益处,我以亚波罗和自己作例子,好让你们效法我们不越过圣经的准则,免得有人自高自大、厚此薄彼。 7谁使你与众不同呢?你有哪一样不是领受的呢?既然一切都是领受的,你为什么还自夸,好像不是领受的? 8你们已经饱足了,富有了,不需要我们,自己已经做王了。我倒希望你们真的能做王,好让我们也和你们一同做王。 9我想,上帝把我们使徒排在队伍的末尾,好像被判了死罪的囚犯,让我们成了一台戏,给全宇宙看,就是给世人和天使观看。

10我们为了基督的缘故被人看为愚昧,你们在基督里倒成了聪明人;我们软弱,你们倒强壮;你们受人尊敬,我们倒被人藐视。 11我们至今还是又饥又渴,衣不蔽体,遭受毒打,居无定所, 12还要亲手劳作。我们被人咒骂,就为对方祝福;受人迫害,就逆来顺受; 13被人毁谤,就好言相劝。人们至今仍将我们看作世上的废物,万物中的渣滓。

14我之所以写这些事,并非是叫你们羞愧,而是像劝诫我亲爱的儿女一样劝诫你们。 15虽然有千万老师将基督的事教导你们,但父亲并不多,因为我借着福音在基督耶稣里成为你们的父亲。 16所以,我劝你们效法我。 17正因如此,我派了提摩太去你们那里。他在主里忠心耿耿,是我所爱的孩子。他会提醒你们我在基督里如何行事为人,在各地、各教会如何教导人。

18你们当中有些人以为我不会再去你们那里,就傲慢自大起来。 19但主若许可,我会很快去你们那里。那时我要看看这些骄傲的人究竟是只会空谈,还是真有上帝的权能。 20因为上帝的国不在于空谈,而在于权能。 21到底你们要什么呢?要我带着刑杖去呢?还是要我带着温柔慈爱的心去呢?

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wakorintho 4:1-21

Mawakili Wa Siri Za Mungu

14:1 1Kor 3:5; 9:17; Tit 1:7; Rum 16:25Basi, watu na watuhesabu sisi kuwa tu watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za Mungu. 24:2 Lk 12:42Tena, litakiwalo ni mawakili waonekane kuwa waaminifu. 3Lakini kwangu mimi ni jambo dogo sana kwamba nihukumiwe na ninyi au na mahakama yoyote ya kibinadamu. Naam, hata mimi mwenyewe sijihukumu. 44:4 Mdo 23:1; Rum 2:13; 2Kor 10:18Dhamiri yangu ni safi, lakini hilo halinihesabii kuwa asiye na hatia. Bwana ndiye anihukumuye. 54:5 Mt 7:12; 1The 2:19; Ay 12:22; Za 90:8; 1Kor 3:13; Rum 2:29Kwa hiyo msihukumu jambo lolote kabla ya wakati wake. Ngojeni mpaka Bwana atakapokuja. Yeye atayaleta nuruni mambo yale yaliyofichwa gizani, na kuweka wazi nia za mioyo ya wanadamu. Wakati huo kila mmoja atapokea sifa anayostahili kutoka kwa Mungu.

64:6 1Kor 1:19-31; 3:19-20; 1:21Basi ndugu zangu, mambo haya nimeyafanya kwangu binafsi na Apolo kwa faida yenu, ili mweze kujifunza kutoka kwetu maana ya ule usemi usemao, “Msivuke zaidi ya yale yaliyoandikwa.” Hivyo hamtajivunia mtu fulani na kumdharau mwingine. 74:7 Yn 3:27; Rum 12:3-6Kwa maana ni nani aliyewafanya kuwa tofauti na wengine? Ni nini mlicho nacho ambacho hamkupokea? Nanyi kama mlipokea, kwa nini mnajivuna kama vile hamkupokea?

84:8 Ufu 3:17-18Sasa tayari mnayo yale yote mnayohitaji! Tayari mmekwisha kuwa matajiri! Mmekuwa wafalme, tena bila sisi! Laiti mngekuwa wafalme kweli ili na sisi tupate kuwa wafalme pamoja nanyi! 94:9 Rum 8:36; Za 71:7; Ebr 10:33Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume katika nafasi ya mwisho kabisa, kama watu waliohukumiwa kufa kwenye uwanja wa tamasha, kwa sababu tumefanywa kuwa maonyesho kwa ulimwengu wote, kwa malaika na kwa wanadamu pia. 104:10 1Kor 1:18; Mdo 17:18; 26:24; 1Kor 3:18; 2Kor 11:19; 1Kor 2:3Kwa ajili ya Kristo sisi ni wajinga, lakini ninyi mna hekima sana ndani ya Kristo. Sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu. Tunadharauliwa, lakini ninyi mnaheshimiwa. 114:11 Rum 8:35; 2Kor 11:23-27Mpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao. 124:12 Mdo 18:3; Rum 12:14; 1Pet 3:4; Mt 5:44Tunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili, 134:13 Yer 20:18; Mao 3:45; Kum 17:7; 22:24tunaposingiziwa, tunajibu kwa upole. Mpaka sasa tumekuwa kama takataka ya dunia na uchafu wa ulimwengu.

144:14 1Kor 6:5; 15:34; 2The 3:14; 1The 2:11Siwaandikii mambo haya ili kuwaaibisha, bali ili kuwaonya, kama wanangu wapendwa. 154:15 1Kor 9:12-23; 15:1Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili. 164:16 1Kor 11:1; Flp 3:17; 4:9; 1The 1:6; 2The 3:7-9Basi nawasihi igeni mfano wangu. 174:17 1Kor 16:10; Mdo 16:1; 1Tim 1:2Kwa sababu hii ninamtuma Timotheo, mwanangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Yeye atawakumbusha kuhusu njia za maisha yangu katika Kristo Yesu, ambayo yanakubaliana na mafundisho yangu ninayofundisha katika kila kanisa.

184:18 Yer 43:2Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu. 194:19 1Kor 16:5-6; 2Kor 1:15; Mdo 18:21Lakini kama Bwana akipenda, nitafika kwenu mapema, nami nitapenda kujua, si tu kile wanachosema hawa watu jeuri, bali pia kujua nguvu yao. 204:20 Rum 14:17; 15:13Kwa kuwa Ufalme wa Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu. 214:21 2Kor 1:23; 2:1; 13:2-10Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?