何西阿书 10 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

何西阿书 10:1-15

1以色列是茂盛的葡萄树,硕果累累。

可是,他结果越多,

建造的祭坛就越多;

土地出产越丰富,

他就把神柱装饰得越美丽。

2他们心怀诡诈,必受惩罚。

耶和华要拆毁他们的祭坛,

打碎他们的神柱。

3那时他们会说:

“我们没有君王,

因为我们不敬畏耶和华。

君王能为我们做什么呢?”

4他们说虚话,起假誓,立空盟,

因此不法之事滋长,

犹如田间犁沟中蔓延的毒草。

5撒玛利亚的居民要因伯·亚文的牛犊偶像而恐惧颤抖;

祭拜它的人要哀伤,

供奉它的祭司要痛哭,

因为它的荣耀将离开他们。

6它要被带到亚述去,

作为贡物献给强大的亚述王。

以法莲因此而受人嘲笑,

以色列因自己的偶像而蒙羞。

7撒玛利亚和它的君王要被毁灭,

像漂浮在水面上的枯枝一样消逝。

8亚文10:8 亚文”指伯·亚文,伯·亚文的意思见本卷书4:15节脚注。的丘坛——以色列犯罪之地要被拆毁。

他们的祭坛上要长满荆棘和蒺藜。

他们要向高山说:“遮盖我们吧!”

对小丘说:“倒在我们身上吧!”

9耶和华说:

以色列人啊,从基比亚的日子以来,

你们一直不断地犯罪,从未改变。

难道战祸没有临到基比亚的邪恶之辈吗?

10我要按自己的心意惩罚你们。

列国要联合攻击你们,

惩罚你们的重重罪恶。

11以法莲本是驯服的母牛犊,喜欢打谷,

现在我要把轭套在它肥美的颈项上。

我要使犹大耕田,使雅各10:11 雅各”在旧约中常与“以色列”互换使用,有时指以色列人的先祖雅各,有时指以色列民族。本节的以法莲和雅各都代指北国以色列。耙地。”

12你们要为自己种植公义,

就能收获慈爱。

现在是寻求耶和华的时候,

你们要犁开刚硬的心田,

等祂来使公义如雨浇灌你们。

13可是,你们种的是邪恶,

收的是不义,

吃的是谎言的果实。

因为你们倚靠自己的力量,

仰仗众多的勇士。

14因此,战争的喧嚣将从你们中间传出,

你们的一切堡垒将被摧毁,

恰如沙勒幔摧毁伯·亚比勒

将城中的母子一同摔死。

15伯特利10:15 伯特利”此处代指以色列人。啊,你罪大恶极,

必将遭遇同样的下场。

那日来临时,以色列的王将被彻底消灭。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 10:1-15

110:1 Eze 15:2; 1Fal 14:23; Hos 4:7; 8:11; 12:11; 13:15Israeli alikuwa mzabibu uliostawi sana,

alijizalia matunda mwenyewe.

Kadiri matunda yake yalivyoongezeka,

alijenga madhabahu zaidi;

kadiri nchi yake ilivyostawi,

alipamba mawe yake ya ibada.

210:2 1Fal 18:21; Hos 13:16; Mik 5:13Moyo wao ni mdanganyifu,

nao sasa lazima wachukue hatia yao.

Bwana atabomoa madhabahu zao

na kuharibu mawe yao ya ibada.

310:3 Mik 4:9Kisha watasema, “Hatuna mfalme

kwa sababu hatukumheshimu Bwana.

Lakini hata kama tungelikuwa na mfalme,

angeweza kutufanyia nini?”

410:4 Hos 4:2; Eze 17:19; Amo 5:7; 6:12; Hos 4:2; Eze 17:19; Amo 5:7; 6:12Wanaweka ahadi nyingi,

huapa viapo vya uongo

wanapofanya mapatano;

kwa hiyo mashtaka huchipuka

kama magugu ya sumu

katika shamba lililolimwa.

510:5 Hos 5:8; 8:5-6; 2Fal 23:5; Sef 1:4; Amu 18:17-18; 1Fal 12:28; Kut 32:4; Isa 44:17-20Watu wanaoishi Samaria huogopa

kwa ajili ya sanamu ya ndama ya Beth-Aveni.10:5 Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.

Watu wake wataiombolezea,

vivyo hivyo kuhani wake wa kuabudu sanamu,

wale waliokuwa wamefurahia fahari yake,

kwa sababu itaondolewa kutoka kwao

kwenda uhamishoni.

610:6 2Fal 16:7; Hos 4:7; 5:13; 11:5; Isa 30:3; Amu 3:15; Yer 48:13Itachukuliwa kwenda Ashuru

kama ushuru kwa mfalme mkuu.

Efraimu atafedheheshwa;

Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu zake za mti.

710:7 Hos 13:11; 10:15Samaria na mfalme wake wataelea

kama kijiti juu ya uso wa maji.

810:8 1Fal 12:28-30; Hos 9:6; Kum 9:21; Ufu 6:16; Isa 32:13; Amo 3:14-15; 7:9; Ay 30:6; Eze 6:6; Lk 23:30Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu10:8 Yaani Aveni kwa Kiebrania, kumaanisha Beth-Aveni, jina lingine la Betheli kwa dhihaka. pataharibiwa:

ndiyo dhambi ya Israeli.

Miiba na mibaruti itaota

na kufunika madhabahu zao.

Kisha wataiambia milima, “Tufunikeni!”

na vilima, “Tuangukieni!”

910:9 Hos 5:8; Ay 7:11“Tangu siku za Gibea, mmetenda dhambi, ee Israeli,

huko ndiko mlikobaki.

Je, vita havikuwapata

watenda mabaya huko Gibea?

1010:10 Eze 5:13; Hos 4:9; Amo 8:14Wakati nitakapopenda, nitawaadhibu;

mataifa yatakusanywa dhidi yao

ili kuwaweka katika vifungo

kwa ajili ya dhambi zao mbili.

1110:11 Yer 15:12; 31:18Efraimu ni mtamba wa ngʼombe aliyefundishwa

ambaye hupenda kupura,

hivyo nitamfunga nira

juu ya shingo yake nzuri.

Nitamwendesha Efraimu,

Yuda lazima alime,

naye Yakobo lazima avunjavunje

mabonge ya udongo.

1210:12 Mit 11:18; Yak 3:18; Hos 12:6; Isa 19:22; 45:8; Mhu 11:1; Yer 4:3Jipandieni wenyewe haki,

vuneni matunda ya upendo usio na kikomo,

vunjeni ardhi yenu isiyolimwa;

kwa kuwa ni wakati wa kumtafuta Bwana,

mpaka atakapokuja

na kuwanyeshea juu yenu haki.

1310:13 Ay 4:8; Gal 6:7-8; Za 33:16; Mit 22:8; Hos 7:3; 8:7; 11:12Lakini mmepanda uovu,

mkavuna ubaya,

mmekula tunda la udanganyifu.

Kwa sababu mmetegemea nguvu zenu wenyewe

na wingi wa mashujaa wenu,

1410:14 Isa 13:16; 17:3; Mik 5:11; Hos 13:16; 2Fal 17:3mngurumo wa vita utainuka dhidi ya watu wako,

ili kwamba ngome zako zote zitaharibiwa:

kama Shalmani alivyoharibu Beth-Arbeli katika siku ile ya vita,

wakati mama pamoja na watoto wao

walipotupwa kwa nguvu ardhini.

1510:15 Hos 10:7Ndivyo itakavyotokea kwako, ee Betheli,

kwa sababu uovu wako ni mkuu.

Siku ile itakapopambazuka,

mfalme wa Israeli ataharibiwa kabisa.