终止杂婚
1以斯拉祷告、认罪、哭泣、俯伏在上帝的殿前时,一大群以色列人,包括男女和孩子,都聚集到他那里,与他一起痛哭。 2以拦宗族耶歇的儿子示迦尼对以斯拉说:“我们对我们的上帝不忠,娶这地方的外族女子为妻,但以色列还有希望。 3现在,我们来与我们的上帝立约,听从你和那些敬畏我们上帝诫命之人的指示,遵照律法而行,送走这些妻子和她们的儿女。 4起来吧!这事由你处理,我们支持你,放胆去做吧!”
5于是,以斯拉起来,要祭司长、利未人和所有以色列人起誓照这话去做,他们就都起了誓。 6以斯拉从上帝的殿前起来,进了以利亚实的儿子约哈难的房间。他在那里不吃不喝,为流亡归来者的不忠而忧伤。
7他们在犹大和耶路撒冷发出通告,要求所有流亡归来的人在耶路撒冷集合。 8按照众首领和长老的决定,三天之内未到者,其财产会被没收,他本人也要被逐出流亡归来者的会。
9三天内,所有的犹大人和便雅悯人都聚集在耶路撒冷。九月二十日,大家都坐在上帝的殿前面的广场上。因为这事,加上当时下大雨,众人都战战兢兢。
10以斯拉祭司站起来对他们说:“你们对上帝不忠,娶外族的女子为妻,加重了以色列的罪恶。 11现在,你们要向你们祖先的上帝耶和华认罪,遵行祂的旨意,与这地方的人和你们的外族妻子断绝关系。”
12会众都高声回答说:“你说的对,我们必照你的话做。 13可是,人这么多,又逢大雨季节,我们不能总站在外面,并且这事一两天也解决不了,因为我们在这事上犯了大罪。 14不如让我们的首领为全体会众处理这事,让那些娶了外族女子为妻的人在指定的时间与本城的长老和审判官一起来找首领解决,直到我们的上帝因这事而发的烈怒离开我们。”
15只有撒黑的儿子约拿单和特瓦的儿子雅哈谢反对这事,支持他们的还有米书兰和利未人沙比太。
16流亡归来的人都遵照建议而行。以斯拉祭司按家族选出各族长,都是点名指定的。他们从十月一日开始着手查办这事, 17到次年一月一日才查清娶外族女子为妻的人。
18祭司中娶外族女子为妻的有耶书亚的子孙约萨达的儿子及其弟兄玛西雅、以利以谢、雅立和基大利。 19他们答应休掉自己的妻子,并从羊群中献上一只公绵羊为自己赎罪。 20音麦的子孙中有哈拿尼和西巴第雅。 21哈琳的子孙中有玛西雅、以利雅、示玛雅、耶歇和乌西雅。 22巴施户珥的子孙中有以利约乃、玛西雅、以实玛利、拿坦业、约撒拔和以利亚撒。
23利未人中有约撒拔、示每、基拉雅——又名基利他、毗他希雅、犹大和以利以谢。 24歌乐手中有以利亚实。殿门守卫中有沙龙、提联、乌利。
25其他以色列人中有巴录的子孙拉米、耶西雅、玛基雅、米雅民、以利亚撒、玛基雅和比拿雅。 26以拦的子孙中有玛他尼、撒迦利亚、耶歇、押底、耶利末和以利雅。 27萨土的子孙中有以利约乃、以利亚实、玛他尼、耶利末、撒拔和亚西撒。 28比拜的子孙中有约哈难、哈拿尼雅、萨拜和亚勒。 29巴尼的子孙中有米书兰、玛鹿、亚大雅、雅述、示押和耶利末。 30巴哈·摩押的子孙中有阿底拿、基拉、比拿雅、玛西雅、玛他尼、比撒列、宾内和玛拿西。 31哈琳的子孙中有以利以谢、伊示雅、玛基雅、示玛雅、西缅、 32便雅悯、玛鹿、示玛利雅。 33哈顺的子孙中有玛特乃、玛达他、撒拔、以利法列、耶利买、玛拿西和示每。 34巴尼的子孙中有玛玳、暗兰、乌益、 35比拿雅、比底雅、基禄、 36瓦尼雅、米利末、以利亚实、 37玛他尼、玛特乃和雅扫。 38宾内的子孙中有示每、 39示利米雅、拿单、亚大雅、 40玛拿底拜、沙赛、沙赖、 41亚萨利、示利米雅、示玛利雅、 42沙龙、亚玛利雅和约瑟。 43尼波的子孙中有耶利、玛他提雅、撒拔、西比拿、雅玳、约珥和比拿雅。
44以上这些人都娶了外族女子为妻,其中有些还生了子女。
Toba Ya Watu
110:1 2Nya 20:9; Dan 9:20Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana. 210:2 Ezr 9:2; Kut 34:13; Neh 13:27; Kum 30:8-10Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli. 310:3 2Fal 11:17; 2Nya 34:31; Kut 34:16; Kum 7:2-3; Ezr 9:4; Za 119:53, 120; Isa 66:2Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria. 410:4 1Nya 28:10; Isa 35:3-4Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
510:5 Neh 5:12; 13:25Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa. 610:6 Kum 9:18; Yn 3:7; Za 102:4Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
7Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu. 810:8 Law 27:28; Yos 6:19Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
910:9 1Sam 12:18; Ezr 1:5Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa. 10Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli. 1110:11 Kum 24:1; Mit 28:13; Mal 2:10-16; Yer 3:13; Isa 1:16-17; Rum 12:2Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
1210:12 Yos 6:5Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema. 13Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili. 1410:14 Kum 16:18; Hes 25:4; 2Nya 30:8; 2Fal 23:26; 2Nya 28:11-13; 29:10; 30:8; Za 78:38; Isa 12:1Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.” 1510:15 Neh 11:16Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
16Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo. 17Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
Wenye Hatia Ya Kuoa Wake Wa Kigeni
1810:18 Ezr 5:2; Amu 3:6; Zek 6:1Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni:
Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia. 1910:19 2Fal 10:15; Law 5:15; 6:4-6; 1Nya 29:24; 2Nya 30:8; Gal 2:9; Mit 22:26(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
2010:20 1Nya 24:14Kutoka wazao wa Imeri:
Hanani na Zebadia.
2110:21 1Nya 24:8Kutoka wazao wa Harimu:
Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
2210:22 1Nya 9:12Kutoka wazao wa Pashuri:
Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
2310:23 Neh 8:7; 9:4Miongoni mwa Walawi:
Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
2410:24 Neh 3:1; 12:10Kutoka waimbaji:
Eliashibu.
Kutoka mabawabu:
Shalumu, Telemu na Uri.
2510:25 Ezr 3:2; 8:3; Neh 7:13Miongoni mwa Waisraeli wengine:
Kutoka wazao wa Paroshi:
Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
26Kutoka wazao wa Elamu:
Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
27Kutoka wazao wa Zatu:
Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
28Kutoka uzao wa Bebai:
Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
29Kutoka wazao wa Bani:
Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
30Kutoka wazao wa Pahath-Moabu:
Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
31Kutoka wazao wa Harimu:
Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni, 32Benyamini, Maluki, na Shemaria.
33Kutoka wazao wa Hashumu:
Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
34Kutoka wazao wa Bani:
Maadai, Amramu, Ueli, 35Benaya, Bedeya, Keluhi, 36Vania, Meremothi, Eliashibu, 37Matania, Matenai na Yaasu.
38Kutoka wazao wa Binui:
Shimei, 39Shelemia, Nathani, Adaya, 40Maknadebai, Shashai, Sharai, 41Azareli, Shelemia, Shemaria, 42Shalumu, Amaria na Yosefu.
4310:43 Ezr 2:29; Hes 32:38Kutoka wazao wa Nebo:
Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
4410:44 Mwa 6:2-5; Kut 23:2; Kum 7:3Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.