2 Летопись 29 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

2 Летопись 29:1-36

Езекия – царь Иудеи

(4 Цар. 18:1-3)

1Езекии было двадцать пять лет, когда он стал царём, и правил он в Иерусалиме двадцать девять лет. Его мать звали Авия, она была дочерью Закарии. 2Он делал то, что было правильным в глазах Вечного, как и его предок Довуд.

Езекия очищает храм

3В первый месяц (ранней весной), на первом году своего правления, он открыл двери храма Вечного и починил их. 4Он привёл священнослужителей и левитов, собрал их на площади с восточной стороны 5и сказал им:

– Слушайте меня, левиты! Освятитесь сегодня сами и освятите храм Вечного, Бога ваших предков. Выбросите из святилища всякую скверну. 6Наши отцы поступали беззаконно, делая зло в глазах Вечного, нашего Бога, и оставили Его. Они отвернули свои лица от жилища Вечного и повернулись к нему спиной. 7Они заперли двери притвора и погасили светильники. Они не возжигали благовоний и не приносили всесожжений в святилище Бога Исроила. 8За это гнев Вечного обрушился на Иудею и Иерусалим. Он отдал их на позор, на опустошение и на посмеяние, как вы видите своими глазами. 9Поэтому наши отцы пали от меча, а наши сыновья, дочери и жёны в плену. 10И теперь я хочу заключить соглашение с Вечным, Богом Исроила, чтобы Его пылающий гнев на нас прекратился. 11Дети мои, не будьте же беспечными, потому что Вечный избрал вас служить Ему и возжигать благовония.

12И начали своё служение левиты:

из потомков Каафа – Махат, сын Амасая, и Иоиль, сын Азарии;

из потомков Мерари – Киш, сын Авди, и Азария, сын Иехаллелила;

из потомков Гершона – Иоах, сын Зиммы, и Еден, сын Иоаха;

13из потомков Элицафана – Шимри и Иеил;

из потомков Ософа – Закария и Маттания;

14из потомков Емана – Иехиил и Шимей;

из потомков Иедутуна – Шемая и Узиил.

15Собрав своих братьев и освятившись, они пришли очищать храм Вечного, как, следуя словам Вечного, повелел царь. 16Священнослужители прошли в святилище Вечного, чтобы очистить его. Они вынесли во двор храма Вечного всё нечистое, что нашли в храме Вечного. Левиты взяли это и отнесли в долину Кедрон. 17Приступив к освящению в первый день первого месяца, они подошли к притвору храма Вечного в восьмой день того же месяца. Ещё восемь дней они освящали сам храм и закончили на шестнадцатый день первого месяца.

18Они пришли к царю Езекии и сказали:

– Мы очистили весь храм Вечного, жертвенник для всесожжений со всей его утварью и стол, на который кладут священный хлеб, со всей его утварью. 19Всю утварь, которую во время своего правления убрал неверный царь Ахаз, мы приготовили и освятили. Она сейчас перед жертвенником Вечного.

Освящение храма

20На следующий день, ранним утром, царь Езекия собрал начальников города и отправился в храм Вечного. 21Они привели семь быков, семь баранов, семь ягнят и семь козлов, чтобы принести их в жертву за грех за царскую семью, за святилище и за всю Иудею. Царь велел священнослужителям, потомкам Хоруна, принести их в жертву на жертвеннике Вечного. 22Быков закололи, и священнослужители, взяв крови, окропили ею жертвенник. Затем закололи баранов и окропили жертвенник их кровью. Затем закололи ягнят и окропили жертвенник их кровью. 23А козлов, которые были предназначены в жертву за грех, поставили перед царём и собранием, и они возложили на них руки. 24Затем священнослужители закололи козлов и принесли их кровь на жертвеннике как жертву за грех, чтобы очистить весь Исроил, потому что царь велел совершить всесожжение и принести жертву за грех за весь Исроил.

25Езекия поставил левитов с тарелками, лирами и арфами в храме Вечного, по указанию Довуда, царского провидца Гада и пророка Нафана. Это установление было дано Вечным через Его пророков. 26Левиты стояли наготове с музыкальными инструментами Довуда, а священнослужители – с трубами.

27Езекия велел принести на жертвеннике всесожжение. Когда жертвоприношение началось, началось и пение Вечному под голос труб и музыкальных инструментов Довуда, царя Исроила. 28Всё собрание совершало поклонение, певцы пели, а трубачи трубили. Так продолжалось, пока жертвоприношение не было завершено.

29Когда жертвы были принесены, царь и все, кто был с ним, преклонили колени и поклонились. 30Царь Езекия со своими приближёнными велел левитам славить Вечного словами Довуда и провидца Ософа. И они радостно пели хвалу, кланялись и прославляли Вечного. 31Езекия сказал:

– Итак, вы посвятили себя Вечному. Приступайте, несите жертвы и благодарственные приношения в храм Вечного.

Народ принёс жертвы и благодарственные приношения, а все, кто был к этому расположен, принесли и всесожжения. 32Жертв всесожжения, которые принёс народ, было общим счётом: семьдесят быков, сто баранов и двести ягнят – всё это для всесожжения Вечному. 33Других священных жертв было: шестьсот голов крупного и три тысячи голов мелкого скота. 34Но священнослужителей было слишком мало, чтобы освежевать все туши жертв всесожжения, и пока другие священнослужители не освятились, их сородичи левиты помогали им, пока работа не была сделана, потому что левиты отнеслись к освящению добросовестнее, чем священнослужители. 35Жертв всесожжения и жира жертв примирения с жертвенными возлияниями, которыми сопровождались всесожжения, было в изобилии.

Так было восстановлено служение в храме Вечного. 36Езекия и весь народ радовались тому, что сделал для Своего народа Всевышний, ведь сделано это было так быстро.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 29:1-36

Hezekia Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 18:1-12)

129:1 1Nya 3:13; 2Nya 26:5; 2Fal 18:1Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria. 229:2 2Nya 28:1; 34:2Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana kama Daudi baba yake alivyofanya.

329:3 2Fal 18:16; 2Nya 28:24; Mit 8:17Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa utawala wa alifungua milango ya Hekalu la Bwana, na kuikarabati. 4Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na kuwakutanisha katika uwanja upande wa mashariki 529:5 Law 11:44; Neh 13:9; Efe 5:26-27; 1Nya 15:12; 2Nya 35:6; Eze 36:25; Mt 21:12-13; 1Kor 3:16-17; 2Kor 6:16na kusema: “Nisikilizeni mimi, enyi Walawi! Jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya Bwana, Mungu wa baba zenu. Ondoeni uchafu wote kutoka mahali patakatifu. 629:6 Eze 23:35; Dan 9:5-6; 1Nya 5:25; Eze 8:16; Yer 2:27Baba zetu hawakuwa waaminifu, walifanya maovu machoni pa Bwana Mungu wetu na wakamwacha yeye. Wakageuza nyuso zao mbali na Maskani ya Bwana wakamgeuzia visogo vyao. 729:7 2Fal 16:17-18; 2Nya 28:24Pia walifunga milango ya ukumbi wa Hekalu na kuzima taa zake. Hawakufukiza uvumba wala kutoa sadaka yoyote ya kuteketezwa katika mahali patakatifu kwa Mungu wa Israeli. 829:8 Kum 28:25; 2Nya 24:18; Law 26:32; Eze 8:16; Yer 18:16; 1Fal 9:8; Yer 19:8; 29:18Kwa hiyo, hasira ya Bwana ikashuka juu ya Yuda na Yerusalemu, naye akawa amewafanya kitu cha kutisha, cha kushangaza na kitu cha kufanyia mzaha kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe. 929:9 2Nya 28:5-8, 17; Law 26:17Hii ndiyo sababu baba zetu wameanguka kwa upanga na ndiyo sababu wana wetu na binti zetu, pia wake zetu wamekuwa mateka. 1029:10 2Fal 11:17; 2Nya 15:12; Neh 9:38; Ezr 10:3; 2Nya 23:16Sasa ninadhamiria moyoni mwangu kuweka Agano na Bwana, Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nasi. 1129:11 Hes 3:6; 8:6-14; 1Nya 15:2; 1Kor 6:9Wanangu, basi msipuuze jambo hili sasa, kwa kuwa Bwana amewachagua ninyi msimame mbele zake na kumtumikia, mkawe watumishi wake na mkamfukizie uvumba.”

1229:12 Hes 3:17-20; 2Nya 31:15Ndipo Walawi wafuatao wakaanza kazi:

Kutoka kwa Wakohathi,

Mahathi mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria;

kutoka kwa Wamerari,

Kishi mwana wa Abdi na Azaria mwana wa Yahaleleli;

kutoka kwa Wagershoni,

Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;

1329:13 1Nya 6:36kutoka kwa wana wa Elisafani,

Shimri na Yeieli;

kutoka kwa wana wa Asafu,

Zekaria na Matania;

14kutoka kwa wana wa Hemani,

Yehieli na Shimei;

kutoka kwa wana wa Yeduthuni,

Shemaya na Uzieli.

1529:15 1Nya 23:28; Isa 1:25; 2Nya 30:12Walipomaliza kuwakusanya ndugu zao na kujiweka wakfu, wakaingia ndani ili kutakasa Hekalu la Bwana, kama vile mfalme alivyokuwa ameagiza, kwa kufuata neno la Bwana. 1629:16 2Sam 15:23Makuhani wakaingia patakatifu pa Hekalu la Bwana ili kupatakasa. Wakatoa nje penye ua wa Hekalu la Mungu kila kitu kichafu walichokikuta kwenye Hekalu la Bwana. Walawi wakavichukua na kuvipeleka nje katika Bonde la Kidroni. 1729:17 1Fal 6:3Walianza kazi ya utakaso siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza na kufikia siku ya nane ya mwezi huo wakawa wamefikia kwenye ukumbi wa Bwana. Kwa siku zingine nane wakalitakasa Hekalu lenyewe la Bwana wakakamilisha katika siku ya kumi na sita ya mwezi huo wa kwanza.

18Kisha wakaingia ndani kwa Mfalme Hezekia kutoa habari na kusema: “Tumelitakasa Hekalu lote la Bwana, madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa pamoja na vyombo vyake vyote, meza ya kupanga mikate iliyowekwa wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote. 1929:19 2Nya 28:24Tumeviandaa na kuvitakasa vyombo vyote vile ambavyo Mfalme Ahazi, kwa kukosa uaminifu kwake, aliviondoa wakati alipokuwa mfalme. Sasa viko mbele ya madhabahu ya Bwana.”

Ibada Hekaluni Yarejeshwa

20Ndipo Mfalme Hezekia akainuka asubuhi na mapema, akakusanya pamoja maafisa wa mji wakakwea hekaluni mwa Bwana. 2129:21 Law 4:13-14Wakaleta mafahali saba, kondoo dume saba, wana-kondoo dume saba na mabeberu saba kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya ufalme, kwa ajili ya mahali patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Mfalme akawaamuru makuhani, wazao wa Aroni, kuvitoa vitu hivyo sadaka katika madhabahu ya Bwana. 2229:22 Law 4:18; Hes 18:17; Ebr 9:21; Law 8:14-24Hivyo wakachinja wale mafahali, nao makuhani wakachukua ile damu na kuinyunyiza kwenye madhabahu, halafu wakawachinja wale kondoo dume saba na kunyunyiza hiyo damu yao kwenye madhabahu, kisha wakawachinja wale wana-kondoo dume na kunyunyiza damu yao kwenye madhabahu. 2329:23 Law 4:15, 24Wale mabeberu waliokuwa kwa ajili ya sadaka ya dhambi wakaletwa mbele ya mfalme na kusanyiko nao wakaweka mikono yao juu hao mabeberu. 2429:24 Kut 29:36; Law 4:20-26; Kol 1:20Ndipo makuhani wakawachinja hao mabeberu na kuweka damu yao kwenye madhabahu kwa ajili ya sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote, kwa sababu mfalme alikuwa ameamuru hiyo sadaka ya kuteketezwa na hiyo sadaka ya dhambi kwa ajili ya Israeli yote.

2529:25 1Nya 28:19; 2Nya 8:14; 1Sam 22:5; 2Sam 24:11; 1Nya 16:4; 23:6; 25:6; 2Nya 30:12Akawaweka Walawi kwenye Hekalu la Bwana wakiwa na matoazi, vinubi na zeze kama ilivyoagizwa na Daudi na Gadi mwonaji wa mfalme pamoja na nabii Nathani kwani hili lilikuwa limeamriwa na Bwana kupitia manabii wake. 2629:26 1Nya 15:16-24; 23:5; Hes 10:10; 2Nya 12:13; Amo 6:5; 1Nya 16:6Hivyo Walawi wakasimama tayari wakiwa na ala za uimbaji za Daudi na makuhani walikuwa na tarumbeta zao.

2729:27 1Sam 16:16; 2Nya 23:18; 20:21Hezekia akatoa amri ya kutoa sadaka ya kuteketezwa madhabahuni. Walipoanza kutoa sadaka, wakaanza pia kumwimbia Bwana pamoja na tarumbeta na zile ala za uimbaji za Daudi mfalme wa Israeli. 28Kusanyiko lote wakaabudu kwa kusujudu, wakati waimbaji wakiwa wanaimba na wenye tarumbeta wakipiga tarumbeta zao. Yote haya yaliendelea mpaka walipomaliza kutoa ile dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa.

2929:29 2Nya 20:18; Rum 14:11Kutoa sadaka kulipomalizika, mfalme na kila mtu aliyekuwepo pamoja naye wakapiga magoti na kuabudu. 3029:30 Za 32:11; Flp 4:4Mfalme Hezekia na maafisa wake wakawaamuru Walawi kumsifu Bwana kwa maneno ya Daudi na ya Asafu mwonaji. Hivyo wakaimba sifa kwa furaha nao wakainamisha vichwa vyao na kuabudu.

3129:31 Ebr 13:15-16; Kut 35:22; 25:2; Law 7:12; 2Nya 13:9Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu kwa Bwana. Njooni mlete dhabihu na sadaka za shukrani Hekaluni mwa Bwana.” Hivyo kusanyiko likaleta dhabihu na sadaka za shukrani, nao wote waliokuwa na mioyo ya hiari wakaleta sadaka za kuteketezwa.

32Idadi ya sadaka za kuteketezwa zilizoletwa na kusanyiko zilikuwa mafahali sabini, kondoo dume 100 na wana-kondoo dume 200. Wote hawa walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Bwana. 33Wanyama waliowekwa wakfu kwa sadaka ya kuteketezwa walikuwa mafahali 600, pamoja na kondoo na mbuzi 3,000. 3429:34 2Nya 35:11; Hes 8:15; 2Nya 30:3; Eze 44:11; 1Nya 29:17; Za 7:10Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuweza kuchuna wale wanyama wote wa sadaka za kuteketezwa, kwa hiyo ndugu zao Walawi wakawasaidia mpaka kazi ile ikakamilika na mpaka makuhani wengine walipowekwa wakfu, kwa kuwa Walawi walikuwa makini kujiweka wakfu kuliko walivyokuwa makuhani. 3529:35 Mwa 4:4; 35:14; Hes 15:5-10; Law 3:16; 7:11-21; Kut 29:13Kulikuwa na sadaka nyingi za kuteketezwa, pamoja na mafuta ya wanyama ya sadaka za amani na sadaka za kinywaji ambazo ziliambatana na sadaka za kuteketezwa.

Kwa hiyo huduma ya Hekalu la Bwana ikarudishwa kwa upya. 3629:36 Za 118:23; Mdo 2:41Hezekia pamoja na watu wote wakafurahi kwa sababu ya lile Mungu alilolifanya kwa ajili ya watu wake, kwa kuwa lilitendeka papo hapo.