2 Летопись 25 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

2 Летопись 25:1-28

Амасия – царь Иудеи

(4 Цар. 14:1-6)

1Амасии было двадцать пять лет, когда он стал царём, и правил он в Иерусалиме двадцать девять лет. Его мать звали Иехоаддин, она была родом из Иерусалима. 2Он делал то, что было правильным в глазах Вечного, но не от всего сердца. 3После того как царство утвердилось в его руках, он казнил своих приближённых, которые убили его отца. 4Но их сыновей он не предал смерти, поступив как записано в Законе, в книге Мусо, где Вечный повелел: «Отцов нельзя предавать смерти за вину их детей, а детей – за вину их отцов; пусть каждый умирает за свой собственный грех»25:4 Втор. 24:16..

Война с Эдомом

(4 Цар. 14:7)

5Амасия собрал народ Иудеи и поставил их по их кланам под власть тысячников и сотников из родов Иудеи и Вениамина. Затем он пересчитал тех, кому было от двадцати лет и больше, и нашёл, что у него триста тысяч отборных воинов, годных к воинской службе и способных обращаться с копьём и щитом. 6Он нанял ещё сто тысяч храбрых воинов в Исроиле за три тонны шестьсот килограммов25:6 Букв.: «сто талантов». серебра. 7Но пророк пришёл к нему и сказал:

– Царь, эти воины из Исроила не должны ходить с тобой, потому что Вечный не с Исроилом – ни с кем из этих ефраимитов. 8Даже если ты пойдёшь и будешь храбро сражаться в бою, Всевышний повергнет тебя перед врагом, потому что у Всевышнего есть сила и помочь, и повергнуть.

9Амасия спросил пророка:

– А как же то серебро, которое я заплатил за исроильских воинов?

Пророк ответил:

– Вечный может дать тебе гораздо больше.

10Тогда Амасия распустил войско, которое пришло к нему из земель Ефраима, и отослал его домой. Они разгневались на Иудею и ушли домой, пылая гневом.

11А Амасия набрался смелости и повёл своё войско в Соляную долину, где убил десять тысяч сеирских воинов. 12Ещё десять тысяч людей народ Иудеи захватил живыми. Их отвели на вершину скалы и сбросили оттуда вниз, так что все они разбились насмерть.

13Тем временем воины, которых Амасия отослал назад, не позволив им воевать вместе с ним, разграбили иудейские города от Сомарии до Бет-Хорона. Они перебили три тысячи человек и взяли огромную добычу.

14Возвратившись после поражения эдомитян, Амасия привёз идолов, богов жителей Сеира. Он поставил их как своих богов, стал им поклоняться и приносить жертвы. 15Гнев Вечного вспыхнул на Амасию, и Он послал к нему пророка, который сказал царю:

– Зачем ты вопрошаешь богов этого народа, которые не смогли спасти свой народ от твоей руки?

16Когда он сказал это, царь ответил ему:

– Разве мы назначали тебя царским советником? Замолчи сейчас же или будешь убит!

Тогда пророк замолчал, но потом сказал:

– Я знаю, что Всевышний решил погубить тебя за то, что ты сделал это и не послушал моего совета.

Война Амасии с Исроилом

(4 Цар. 14:8-14)

17Посовещавшись со своими советниками, Амасия, царь Иудеи, послал исроильскому царю Иоашу, сыну Иоахаза, внуку Иеву, вызов:

– Выходи, встретимся лицом к лицу!

18Но Иоаш, царь Исроила, ответил Амасии, царю Иудеи:

– Ливанский чертополох как-то послал сказать ливанскому кедру: «Отдай свою дочь за моего сына». Но прошёл дикий ливанский зверь и вытоптал его. 19Ты говоришь себе, что разбил Эдом, и теперь возгордился и заносишься. Но оставайся дома! Зачем тебе искать беды, чтобы пасть и тебе, и Иудее вместе с тобой?

20Но Амасия не послушался, потому что так определил Всевышний, чтобы отдать их в руки Иоаша за то, что они искали богов Эдома. 21И Иоаш, царь Исроила, двинул на него свои войска. Он и Амасия, царь Иудеи, встретились лицом к лицу в битве под Бет-Шемешем, что в Иудее. 22Иудея была наголову разбита Исроилом, и все иудеи разбежались по своим домам. 23Иоаш, царь Исроила, взял иудейского царя Амасию, сына Иоаша, внука Охозии, в плен под Бет-Шемешем25:23 Вскоре Амасия был освобождён из исроильского плена и вновь стал править Иудеей (см. ст. 25-28).. Затем Иоаш привёл его в Иерусалим и разрушил городскую стену от ворот Ефраима до Угловых ворот – участок длиной в сто восемьдесят метров25:23 Букв.: «четыреста локтей».. 24Он забрал всё золото и серебро и все вещи, найденные в храме Всевышнего, которые находились в ведении Овид-Эдома, вместе с сокровищами царского дворца, взял также заложников и вернулся в Сомарию.

Смерть Амасии

(4 Цар. 14:17-20)

25Царь Иудеи Амасия, сын Иоаша, пережил исроильского царя Иоаша, сына Иоахаза, на пятнадцать лет. 26Прочие события царствования Амасии, от первых до последних, записаны в «Книге царей Иудеи и Исроила». 27Со времени, когда Амасия отвернулся от Вечного, против него в Иерусалиме составили заговор, и он бежал в Лахиш, но за ним послали в Лахиш и убили его там. 28Его привезли назад на конях и похоронили с его предками в Городе Довуда.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 25:1-28

Amazia Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 14:2-20)

125:1 2Fal 14:1Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu. 225:2 1Fal 8:61; Isa 29:13; 2Fal 14:4; Isa 29:13; Hos 10:2Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, lakini sio kwa moyo wake wote. 325:3 2Fal 14:5Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake. 425:4 Kum 28:61; Hes 26:11; Kum 24:16; Eze 18:20; 2Fal 14:6; Yer 31:30Hata hivyo hakuwaua watoto wao, lakini akafanya sawasawa na ilivyoandikwa katika Sheria, katika Kitabu cha Mose, ambako Bwana aliamuru: “Baba hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa kwa ajili ya baba zao. Kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”

525:5 2Sam 24:2; Kut 30:14; 1Nya 21:1Amazia akawaita watu wa Yuda pamoja, akawaweka chini ya majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia kufuatana na jamaa zao katika Yuda yote na Benyamini. Kisha akawahesabu wale wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na akakuta kwamba walikuwa wanaume 300,000 watu walio tayari kwa utumishi wa jeshi, walio na uwezo wa kutumia mkuki na ngao. 6Akawaajiri pia watu 100,000 wapiganaji kutoka Israeli kwa talanta 100 za fedha.25:6 Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.

725:7 2Nya 16:2-9; 19:1-3; Hos 4:6-19; 1Fal 12:28; Isa 28:1-3; Hos 5:6-15; 9:11-17Lakini mtu wa Mungu akamjia na kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na wewe kwa kuwa Bwana hayuko pamoja na Israeli, wala hayupo pamoja na yeyote wa watu wa Efraimu. 825:8 2Nya 14:11; 20:6; Mwa 18:14; Amu 7:7; 1Sam 14:6; 1Nya 29:11; Ay 5:18; Za 20:7; 118:6; Yer 32:17; Mt 19:26; Rum 8:31Hata kama ukienda na kupigana kwa ujasiri katika vita, Mungu atakufanya ukimbie mbele ya adui, kwa kuwa Mungu anao uwezo wa kusaidia au wa kuangusha.”

925:9 Kum 8:18; Mit 10:22; Hag 2:8; 2Nya 1:12Amazia akamuuliza yule mtu wa Mungu, “Lakini itakuwaje kwa zile talanta 100 za fedha nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?”

Yule mtu wa Mungu akajibu, “Bwana aweza kukupa zaidi sana ya hizo.”

10Hivyo Amazia akayaondoa yale majeshi yaliyokuwa yamekuja kutoka Efraimu na kuyarudisha nyumbani. Waliwakasirikia sana Yuda, nao wakarudi nyumbani wakiwa na hasira kali.

1125:11 2Fal 14:7Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambako aliua watu 10,000 wa Seiri. 1225:12 Za 141:6; Oba 1:3Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.

13Wakati huo yale majeshi Amazia aliyoyarudisha na ambayo hakuyaruhusu kushiriki katika vita, yalivamia miji ya Yuda kuanzia Samaria hata Beth-Horoni. Yakawaua watu 3,000 na kuchukua kiasi kikubwa sana cha mateka.

1425:14 Kut 20:3; Isa 36:20; 2Nya 28:23Amazia aliporudi kutoka kuwachinja Waedomu, alileta pia kutoka huko miungu ya watu wa Seiri. Akaisimamisha kama miungu yake mwenyewe, akaisujudia na kuitolea kafara za kuteketezwa. 1525:15 Yer 10:3-5; Mdo 19:26; Za 96:5; 115:3-8; Isa 46:1-2; 1Kor 8:4Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Amazia, naye akamtuma nabii kwake, ambaye alisema: “Kwa nini unauliza kwa miungu ya hawa watu, ambayo haikuweza kuwaokoa watu wake wenyewe kutoka mkononi mwako?”

1625:16 2Nya 16:10; Mit 9:7-8; 1Sam 2:25Wakati nabii alipokuwa angali anazungumza, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekuchagua kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza, ya nini uuawe?”

Hivyo nabii akanyamaza lakini akasema, “Najua kuwa Mungu ameazimia kukuangamiza kwa sababu umefanya jambo hili na hukusikiliza shauri langu.”

1725:17 2Fal 14:8-9Baada ya Amazia mfalme wa Yuda kushauriana na washauri wake akatuma ujumbe kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli kusema: “Njoo tukabiliane uso kwa uso.”

1825:18 Amu 9:8-15Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akamjibu Amazia mfalme wa Yuda, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa Lebanoni, ‘Mtoe binti yako aolewe na mwanangu.’ Kisha mnyama wa mwituni aliyekuwa Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti. 1925:19 2Nya 35:21; Mit 18:9; 12:15Wewe unasema moyoni mwako kwamba umemshinda Edomu, nawe sasa unajigamba na kujivuna. Lakini kaa nyumbani kwako! Kwa nini utafute matatizo na kujiletea anguko lako mwenyewe na la Yuda pia?”

2025:20 1Fal 12:15; 2Nya 22:7Hata hivyo, Amazia hakutaka kusikia, kwa kuwa Mungu alifanya hivyo ili awatie mikononi mwa Yehoashi, kwa sababu waliitafuta miungu ya Edomu. 21Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea kuwashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakabiliana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda. 22Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake. 2325:23 2Fal 14:13; Neh 8:16; 2Nya 26:9; Yer 31:38; 2Nya 21:17; 22:1, 6Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400.25:23 Dhiraa 400 ni sawa na mita 180. 2425:24 1Nya 26:15Akachukua dhahabu yote, fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika Hekalu la Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.

2525:25 2Fal 14:17Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli. 26Kwa habari ya matukio mengine katika utawala wa Amazia, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na wa Israeli? 2725:27 Yos 10:3Kuanzia wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha kumfuata Bwana walifanya shauri baya dhidi yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi nao wakamuulia huko. 2825:28 2Fal 14:20Akarudishwa kwa farasi na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Yuda.