Исход 36 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Исход 36:1-38

1Пусть Бецалил, Ахолиав и все искусные мастера, которых Вечный наделил мастерством и умением, чтобы они знали, как исполнить всю работу по сооружению святилища, сделают всё в точности, как повелел Вечный.

2Мусо призвал Бецалила, Ахолиава и всех искусных мастеров, которым Вечный дал способность, всех, кого побуждало сердце, прийти и работать. 3Они получили от Мусо все приношения, которые исроильтяне собрали, чтобы построить святилище. А народ продолжал приносить пожертвования каждое утро. 4Тогда искусные ремесленники, которые трудились для святилища, оставили свою работу 5и сказали Мусо:

– Народ приносит больше, чем нужно для работы, которую повелел сделать Вечный.

6Мусо приказал, и по всему лагерю объявили: «Пусть ни мужчина, ни женщина не делают больше приношений для святилища». Так их удержали от приношений, 7потому что уже было принесено больше, чем нужно, чтобы исполнить всю работу.

Священный шатёр

(Исх. 26:1-37)

8Искусные мастера, которые строили священный шатёр, сделали его из десяти покрывал кручёного льна и голубой, пурпурной и алой пряжи с искусно вышитыми на них херувимами. 9Все покрывала были одинаковыми: по двенадцать с половиной метров длиной и одному метру восемьдесят сантиметров36:9 Букв.: «двадцать восемь… четыре локтя». шириной. 10Они36:10 Букв.: «Он»; также в ст. 11-38. сшили друг с другом пять из них и сделали то же самое с пятью остальными, 11а также сшили петли из голубой ткани по краю последнего покрывала каждого ряда. 12Ещё они сделали пятьдесят петель на первом покрывале первого ряда и пятьдесят парных им петель на последнем покрывале второго ряда; 13пятьдесят золотых крючков и сцепили ими оба ряда покрывал, чтобы священный шатёр стал одним целым.

14Они сделали для покрова над священным шатром одиннадцать покрывал из козьей шерсти. 15Все одиннадцать покрывал были одинаковыми: по тринадцать с половиной метров в длину и одному метру восемьдесят сантиметров36:15 Букв.: «тридцать… четыре локтя». в ширину. 16После сшили пять покрывал в один ряд и шесть – в другой. 17Они сделали по пятьдесят петель по краю последних покрывал в обоих рядах 18и пятьдесят бронзовых крючков, чтобы соединить покров в одно целое. 19Для священного шатра было сделано покрытие из бараньих кож, покрашенных красным цветом, и кож дюгоней.

20Они сделали для священного шатра прямые брусья из акации. 21Каждый брус был четыре с половиной метра длиной и семьдесят сантиметров36:21 Букв.: «десять… полтора локтя». шириной, 22с двумя выступами, параллельными друг другу. Такими они сделали все брусья священного шатра. 23Для южной стороны священного шатра было сделано двадцать брусьев 24и сорок серебряных оснований под них – по два основания на каждый брус, по одному под выступ. 25И для другой стороны, северной стороны священного шатра, они сделали двадцать брусьев 26и сорок серебряных оснований – по два под каждый брус. 27Для дальнего, западного конца священного шатра сделали шесть брусьев 28и два бруса для его углов. 29Эти угловые брусья были соединены внизу и скреплены вверху одним кольцом; так было сделано с обоими угловыми брусьями. 30Такими были восемь брусьев и шестнадцать серебряных оснований – по два под каждый брус.

31Ещё они сделали перекладины из акации: пять для брусьев на одной стороне священного шатра, 32пять для брусьев на другой стороне и пять для брусьев в дальнем, западном конце священного шатра. 33Они положили центральную перекладину так, что она тянулась из конца в конец шатра посередине брусьев, 34позолотили брусья и сделали золотые кольца, чтобы держать перекладины. Они позолотили и перекладины.

35Ремесленники сделали завесу из голубой, пурпурной и алой пряжи и кручёного льна с искусно вышитыми на ней херувимами. 36Из акации сделали для неё четыре столба и позолотили их. Затем они сделали для них золотые крюки и отлили четыре серебряных основания. 37Для входа в шатёр сделали завесу из голубой, пурпурной и алой пряжи и кручёного льна, украшенную шитьём, 38и сделали пять столбов с крюками. Они позолотили верхушки и соединения столбов и сделали для них пять бронзовых оснований.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 36:1-38

136:1 Kut 28:3; 25:8; Ay 32:8; Isa 28:26; Mit 2:6; Kut 25:8; Law 4:6; 19:30; Hes 18:5; 30:8; 1Fal 6:16; Za 96:6; 134:2; Isa 63:18; Eze 5:11; Dan 8:13, 14; Ebr 9:1, 2Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu Bwana aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile Bwana alivyoagiza.”

236:2 Kut 31:2, 6; 25:2; 35:2, 26; 1Nya 29:5Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi. 336:3 Kut 35:29Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi. 4Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao, 536:5 2Nya 24:14; 31:10; 2Kor 8:2-3wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo Bwana ameagiza ifanyike.”

6Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, 736:7 1Fal 7:47kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

Maskani Ya Mungu

(Kutoka 26:1-37)

836:8 Kut 26:1; Ay 32:8; Mit 10:8; 15:14; 21:1; Mwa 3:24; 1Fal 6:23; 2Nya 3:10; Eze 1:5-28; 10:1Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo. 9Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,36:9 Dhiraa 28 ni sawa na mita 12.6. na upana wa dhiraa nne36:9 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. 10Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano. 11Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho. 1236:12 Kut 26:5Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana. 13Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.

1436:14 Kut 26:7Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani. 15Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,36:15 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. na upana wa dhiraa nne. 16Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine. 17Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine. 18Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 1936:19 Kut 26:14Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.36:19 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili.

2036:20 Kut 26:15; 25:5, 10; Hes 25:1; Kum 10:3; Yos 2:1Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 21Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi,36:21 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. na upana wa dhiraa moja na nusu,36:21 Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5. 22zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii. 23Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani, 24na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi. 25Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini 26na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 27Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani, 28na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali. 2936:29 Kut 26:24; Za 133:1; Mdo 2:46; 1Kor 1:10Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana. 30Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

3136:31 Kut 26:26Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani, 32matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani. 33Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine. 34Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.

3536:35 Kut 39:38; Mt 27:51; Lk 23:45; Ebr 9:5; 6:19; 10:20Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia. 36Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha. 3736:37 Kut 27:16; Law 16:2Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. 3836:38 1Fal 7:16; 2Nya 4:12; Yer 52:22Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.