Исход 26 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Исход 26:1-37

Священный шатёр

(Исх. 36:8-38)

1– Сделай священный шатёр из десяти покрывал кручёного льна и голубой, пурпурной и алой пряжи с искусно вышитыми на них херувимами. 2Все покрывала пусть будут одинаковыми: по двенадцать с половиной метров длиной и одному метру восемьдесят сантиметров26:2 Букв.: «двадцать восемь… четыре локтя». шириной. 3Сшей друг с другом пять из них и сделай то же самое с пятью остальными. 4Сделай петли из голубой ткани по краю последнего покрывала каждого ряда. 5Сделай пятьдесят петель на первом покрывале первого ряда и пятьдесят парных им петель на последнем покрывале второго ряда. 6Сделай пятьдесят золотых крючков и сцепи ими оба ряда покрывал, чтобы священный шатёр стал одним целым.

7Сделай для покрова над священным шатром одиннадцать покрывал из козьей шерсти. 8Пусть все одиннадцать покрывал будут одинаковыми: по тринадцать с половиной метров в длину и один метр восемьдесят сантиметров26:8 Букв.: «тридцать… четыре локтя». в ширину. 9Сшей пять из этих покрывал в один ряд, а шесть – в другой. Сложи шестое покрывало вдвое перед входом в шатёр. 10Сделай по пятьдесят петель по краю последних покрывал в обоих рядах. 11Сделай пятьдесят бронзовых крючков и вложите их в петли, чтобы соединить покров в одно целое. 12Лишнюю часть шатровых покрывал – оставшуюся половину покрывала – нужно свесить позади священного шатра. 13Полметра26:13 Букв.: «один локоть». лишней длины шатровых покрывал с обеих сторон нужно свесить по обе стороны священного шатра так, чтобы он был покрыт. 14Сделай для священного шатра покрытие из бараньих кож, покрашенных красным цветом, и кож дюгоней.

15Сделай для священного шатра прямые брусья из акации. 16Каждый брус должен быть четыре с половиной метра высотой и семьдесят сантиметров26:16 Букв.: «десять… полтора локтя». шириной, 17с двумя выступами, параллельными друг другу. Сделайте такими все брусья священного шатра. 18Сделай двадцать брусьев для южной стороны священного шатра 19и сорок серебряных оснований под них – по два основания на каждый брус, по одному под выступ. 20Для другой стороны, северной стороны священного шатра, сделай двадцать брусьев 21и сорок серебряных оснований – по два под каждый брус. 22Сделай шесть брусьев для дальнего, западного конца священного шатра 23и два бруса для его углов. 24Пусть эти угловые брусья будут соединены внизу и скреплены вверху одним кольцом; пусть так будет сделано с обоими угловыми брусьями. 25Такими будут восемь брусьев и шестнадцать серебряных оснований – по два под каждый брус.

26Ещё сделай перекладины из акации: пять для брусьев на одной стороне священного шатра, 27пять для брусьев на другой стороне и пять для брусьев в дальнем, западном конце священного шатра. 28Пусть центральная перекладина тянется из конца в конец шатра посередине брусьев. 29Позолоти брусья и сделай золотые кольца, чтобы держать перекладины. Позолоти и перекладины.

30Поставь священный шатёр по образцу, данному тебе на горе.

31Сделай завесу из голубой, пурпурной и алой пряжи и кручёного льна с искусно вышитыми на ней херувимами. 32Повесь её на золотых крюках четырёх позолоченных столбов из акации, которые стоят на серебряных основаниях. 33Повесь завесу на крючках и внеси туда за завесу сундук соглашения. Завеса будет отделять Святое от Святая Святых. 34Положи крышку на сундук соглашения в Святая Святых. 35Поставь стол вне завесы на северной стороне священного шатра. Поставь светильник напротив него, на южной стороне.

36Для входа в шатёр сделай завесу из голубой, пурпурной и алой пряжи и кручёного льна, украшенную шитьём. 37Сделай для этой завесы пять позолоченных столбов из акации с золотыми крюками. Сделай для них пять бронзовых оснований.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 26:1-37

Maskani Ya Mungu

(Kutoka 36:8-38)

126:1 Kut 29:42; 40:2; Law 8:10; Hes 1:50; Yos 22:19-20; 2Sam 7:2; 1Fal 1:30; Mdo 7:44; Ebr 8:2-5; 13:10; Ufu 21:3; Kut 25:18“Tengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi atatarizi makerubi kwenye mapazia hayo. 2Mapazia yote yatatoshana kwa ukubwa: kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,26:2 Dhiraa 28 ni sawa na mita 13. na upana wa dhiraa nne26:2 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. 326:3 1Kor 12:4-12Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano. 426:4 Efe 4:13; Kol 2:2, 19Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, na ufanye vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho. 5Fanya vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vielekeane. 6Kisha tengeneza vifungo hamsini vya dhahabu ili vitumike kufunga na kuunganisha mapazia pamoja kufanya Hema liwe kitu kimoja.

726:7 Kut 36:14“Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani. 8Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,26:8 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. na upana wa dhiraa nne. 9Unganisha hayo mapazia matano yawe fungu moja, na hayo mengine sita yawe fungu lingine. Kunja hilo pazia la sita mara mbili mbele ya maskani. 10Tengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine. 11Kisha tengeneza vifungo hamsini vya shaba, uviingize katika vile vitanzi ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 12Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaningʼinizwa upande wa nyuma wa Hema. 13Mapazia ya hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja zaidi pande zote, sehemu itakayobaki itaningʼinia pande zote za Hema ili kuifunika. 1426:14 Kut 36:19; Hes 3:25; 4:25Tengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.26:14 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili.

15“Tengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 16Kila mhimili uwe na urefu wa dhiraa kumi26:16 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. na upana wa dhiraa moja na nusu, 17zikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba kila mmoja na mwingine. Tengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii. 18Tengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani, 1926:19 Kut 38:27kisha tengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi. 20Kuhusu upande wa kaskazini wa maskani, tengeneza mihimili ishirini 21na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 22Kisha tengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani, 23na pia utengeneze mihimili miwili ya pembe za upande ulio mbali. 24Katika pembe hizi mbili ni lazima mihimili yake iwe miwili kuanzia chini mpaka juu, na iingizwe kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili itafanana. 25Kwa hiyo itakuwepo mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

2626:26 Kut 36:31; Rum 15:1; Gal 6:2“Pia tengeneza mataruma ya mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani, 27matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili ya mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani. 28Taruma la katikati litapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine. 29Funika hiyo mihimili kwa dhahabu, kisha tengeneza pete za dhahabu ambazo zitashikilia hayo mataruma. Pia funika hayo mataruma kwa dhahabu.

3026:30 Kut 40:2; 25:9; Hes 9:15; Ebr 8:5; Mdo 7:44; Ebr 8:5“Simamisha Hema sawasawa na mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

3126:31 Hes 4:5; 2Nya 3:14; Mt 27:51; Lk 23:45; Ebr 9:3; Kut 25:18; 36:35; Law 16:2; Kut 25:18; 36:35“Tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi atirizi makerubi kwenye hilo pazia. 32Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha. 3326:33 Kut 27:21; 35:12; 40:2-3, 21; Law 16:2; Hes 3:31; 4:5; 2Nya 3:14; Law 16:2, 16; 1Fal 6:16; 7:50; 8:6; 2Nya 3:8; 5:7; Eze 41:5; Ebr 9:2-3Ningʼiniza pazia hilo kwenye vifungo, kisha weka Sanduku la Ushuhuda nyuma ya pazia. Pazia litatenganisha Mahali Patakatifu kutoka Patakatifu pa Patakatifu. 3426:34 Kut 25:21; 30:6; 37:6; Law 16:2; Ebr 9:5Weka kifuniko cha kiti cha rehema juu ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya Patakatifu pa Patakatifu. 3526:35 Kut 25:23; Ebr 9:2; Kut 25:31Weka meza nje ya pazia upande wa kaskazini wa Hema, kisha weka kinara cha taa upande wa kusini wa Hema.

3626:36 Kut 35:15; 40:5; 28; Za 45:14; Eze 16:10; 26:16; 27:7“Kwa ajili ya ingilio la hema, tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. 3726:37 Kut 38:1Tengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia, na nguzo tano za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.