Езекиил 43 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Езекиил 43:1-27

Слава Вечного возвращается в храм

1Затем он привёл меня к восточным воротам, 2и я увидел славу Бога Исроила, которая приближалась с востока. Его голос был подобен шуму могучих вод, и земля озарилась Его славой. 3Это видение было как то, которое я видел, когда Он приходил погубить город, и как видение у реки Кевар. Я пал лицом на землю. 4Слава Вечного вошла в храм через восточные ворота. 5Дух поднял меня и перенёс во внутренний двор, а слава Вечного наполнила храм.

6Тот человек стоял рядом со мной, и я услышал, как мне Кто-то говорит из храма:

7– Смертный, здесь Мой престол, здесь место Моим стопам. Здесь Я буду жить с исроильтянами вовеки. Народ Исроила впредь не осквернит Моего святого имени – ни они сами, ни их цари – распутством и гробницами их царей близ Моего храма. 8Поставив свой порог у Моего и свои дверные косяки рядом с Моими, когда между нами была лишь стена, они оскверняли Моё святое имя мерзкими поступками, и в гневе Я погубил их. 9Пусть теперь они избавят Меня от своего распутства и гробниц их царей, и Я буду жить с ними вовеки.

10Смертный, опиши исроильтянам храм, и пусть они измерят его. Пусть устыдятся своих грехов. 11Если они устыдятся сделанного, разъясни им план храма – его расположение, выходы и входы – весь план и все его правила и законы. Запиши это перед ними, чтобы они следовали плану и исполняли его правила.

12Вот закон о храме: вся местность вокруг на вершине горы будет великой святыней. Таков закон о храме.

Жертвенник и его освящение

13– Вот размеры для жертвенника43:13 Букв.: «жертвенника в долгих локтях (простой локоть с ладонью в каждом)».: ров вокруг него – полметра в глубину и полметра в ширину, с ободом в двадцать два сантиметра43:13 Букв.: «один… один локоть… одну пядь». по краю. Вот высота жертвенника: 14от рва на земле до нижнего выступа – один метр в высоту, а ширина этого выступа – полметра; от меньшего выступа до большего – два метра в высоту, а ширина большего выступа – полметра43:14 Букв.: «два… один… четыре… один локоть».. 15На нём располагается очаг жертвенника высотой в два метра; из него поднимаются четыре рога. 16Очаг жертвенника квадратный – шесть метров в длину и шесть метров43:15-16 Букв.: «четыре… двенадцать… двенадцать локтей». в ширину. 17Верхний выступ тоже квадратный – семь метров в длину и семь метров в ширину, с ободом в двадцать пять сантиметров. Ров вокруг жертвенника – полметра43:17 Букв.: «четырнадцать… четырнадцать… половина… один локоть». шириной. Ступени ведут к жертвеннику с восточной стороны.

18Он сказал мне:

– Смертный, так говорит Владыка Вечный: «Вот правила для приношения всесожжений и окропления кровью жертвенника, когда он будет построен: 19отдай молодого быка, приносимого в жертву за грех, священнослужителям-левитам из потомков Цадока, которые будут служить предо Мной, – возвещает Владыка Вечный. – 20Возьми его кровь и помажь ею четыре рога жертвенника, четыре угла верхнего выступа и по всему ободу, чтобы очистить и освятить жертвенник. 21Возьми быка для жертвы за грех и сожги его в установленном месте на территории храма за пределами святилища.

22На второй день принеси в жертву за грех козла без недостатков, и пусть жертвенник будет очищен, как его очищали кровью быка. 23Очистив жертвенник, приведи молодого быка и барана из отары, животных без недостатков. 24Поставь их перед Вечным, и пусть священнослужители осыплют их солью43:24 Соль символизирует нерасторжимость соглашения между Вечным и Исроилом (см. Лев. 2:13). и принесут в жертву всесожжения Вечному.

25Семь дней приноси в жертву за грех в день по козлу и по молодому быку с бараном из отары. Пусть они будут без недостатков. 26Жертвенник будут очищать и освящать семь дней; после этого им можно будет пользоваться. 27По истечении семи дней пусть священнослужители начнут приносить на жертвеннике жертвы всесожжения и примирения. Тогда Я буду к вам милостив», – возвещает Владыка Вечный.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 43:1-27

Utukufu Warudi Hekaluni

143:1 Eze 10:19; 1Nya 9:18; Eze 8:16; 42:15Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki, 243:2 Za 18:4; Ufu 1:15; 21:11; Isa 6:3nami nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukija kutoka upande wa mashariki. Sauti yake ilikuwa kama ya ngurumo ya maji yaendayo kasi, nayo nchi ikangʼaa kwa utukufu wake. 343:3 Eze 1:4; 3:21; Yer 1:10Maono niliyoyaona yalikuwa kama maono yale niliyokuwa nimeyaona wakati Mungu alipokuja kuangamiza mji na kama maono niliyokuwa nimeyaona kando ya Mto wa Kebari, nami nikaanguka kifudifudi. 443:4 Eze 1:28; 10:19; 44:2Utukufu wa Bwana ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki. 543:5 Eze 3:12; 11:24; Kut 16:7; Isa 6:4Kisha Roho akanichukua na kunileta katika ule ua wa ndani, nao utukufu wa Bwana ulilijaza Hekalu.

643:6 Eze 40:3Wakati yule mtu akiwa amesimama kando yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka ndani ya Hekalu. 743:7 Eze 20:29-39; Law 26:30; Kut 25:8; Yer 16:18; 16:18; 3:17; Eze 37:23Akasema, “Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi na mahali pa kuweka nyayo za miguu yangu. Hapa ndipo nitakapoishi miongoni mwa Waisraeli milele. Kamwe nyumba ya Israeli hawatalinajisi tena Jina langu takatifu, yaani, wao wala wafalme wao, kwa ukahaba wao na kwa sanamu zao zisizokuwa na uhai za wafalme wao katika mahali pao pa juu pa kuabudia miungu. 843:8 2Fal 16:14Walipoweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu na miimo yao ya milango karibu na miimo yangu, pakiwa na ukuta tu kati yangu na wao, walilinajisi Jina langu takatifu kwa matendo yao ya machukizo. Kwa sababu hiyo niliwaangamiza kwa hasira yangu. 943:9 Eze 37:26-28Basi sasa na waweke mbali nami ukahaba wao na sanamu za wafalme wao zisizo na uhai, nami nitakaa miongoni mwao milele.

1043:10 Eze 16:61; 40:4“Mwanadamu, elezea hilo Hekalu kwa watu wa Israeli, ili wapate kuona aibu kwa ajili ya dhambi zao. Wao na wapime hicho kielelezo. 1143:11 Eze 44:5-6; Mt 28:20Wakishaona aibu kwa ajili ya yale yote waliyotenda, wafahamishe kielelezo cha hilo Hekalu, yaani mpangilio wake, maingilio yake ya kutoka na kuingia, kielelezo chake chote, na masharti yake yote na sheria zake zote. Yaandike haya mbele yao ili wapate kuwa waaminifu kwa hicho kielelezo chake na kufuata masharti yake yote.

1243:12 Eze 40:2; 42:20; Ufu 21:27; Eze 17:22“Hii ndiyo sheria ya Hekalu: Eneo lote linalozunguka Hekalu juu ya mlima litakuwa takatifu kuliko yote. Hii ndiyo sheria ya Hekalu.

Madhabahu

1343:13 Kut 20:24; 2Nya 4:1“Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani, dhiraa moja na nyanda nne:43:13 Dhiraa 1 na nyanda 4 ni sawa na sentimita 53. Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja43:13 Shibiri 1 ni sawa na sentimita 22.5. kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu: 14Kimo cha msingi kuanzia usawa wa ardhi mpaka kwenye mfereji sehemu ya chini kimo chake ni dhiraa mbili na upana wake ni dhiraa moja na kuanzia kwenye ukingo mdogo hadi kwenye ukingo mpana kimo chake ni dhiraa nne na upana wake ni dhiraa moja. 1543:15 Kut 27:2; Isa 29:2Pale pawashwapo moto madhabahuni kimo chake kitakuwa dhiraa nne, na pembe nne zinazoelekeza juu kutoka pale pawashwapo moto. 1643:16 Ufu 21:16Pale pawashwapo moto pa madhabahu ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili43:16 Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4. na upana wa dhiraa kumi na mbili. 1743:17 Kut 20:26; Eze 45:19; Kut 27:1Pia sehemu ya juu ni mraba, urefu wake dhiraa kumi na nne na upana wa dhiraa kumi na nne, ikiwa na ukingo wa nusu dhiraa na mfereji kuizunguka madhabahu. Ngazi za kupandia madhabahuni zitaelekea upande wa mashariki.”

1843:18 Kut 40:29; Ebr 9:21-22Kisha akaniambia, “Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Haya ndiyo yatakayokuwa masharti ya kutoa dhabihu za kuteketezwa na kunyunyiza damu juu ya madhabahu itakapokuwa imejengwa. 1943:19 Law 4:3; Eze 45:18-19; 2Nya 8:17; Ezr 7:2; Hes 16:40; Eze 40:46Utatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi kwa makuhani, ambao ni Walawi, wa jamaa ya Sadoki, ndio watakaonikaribia kuhudumu mbele zangu, asema Bwana Mwenyezi. 2043:20 Law 16:19; 4:7Itakupasa kuchukua baadhi ya hiyo damu ya mnyama huyo na kuiweka juu ya hizo pembe nne za madhabahu na juu ya ncha zake nne za sehemu ya juu kuzunguka ukingo wote, ili kuitakasa madhabahu na kufanya upatanisho kwa ajili yake. 2143:21 Kut 29:14; Ebr 13:11Itakupasa kumchukua huyo fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi na kumteketeza mahali palipoagizwa katika eneo la Hekalu nje ya mahali Patakatifu.

22“Siku ya pili yake utamtoa beberu asiye na dosari kwa ajili ya sadaka ya dhambi, nayo madhabahu itatakaswa kama ilivyotakaswa kwa yule fahali. 2343:23 Kut 29:1; Law 22:20Utakapokuwa umemaliza kazi ya kuitakasa, utamtoa fahali mchanga pamoja na kondoo dume toka kwenye kundi, wote wawe hawana dosari. 2443:24 Mk 9:49-50Utawatoa mbele za Bwana, nao makuhani watanyunyizia chumvi juu yao na kuwatoa kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.

25“Kwa siku saba itakupasa kutoa beberu kila siku kwa ajili ya sadaka ya dhambi, pia itakupasa kutoa fahali mchanga na kondoo dume kutoka zizini, wote wawe hawana dosari. 26Kwa siku saba itawapasa kufanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu na kuitakasa na hivyo ndivyo watakavyoiweka wakfu. 2743:27 Kut 32:6; Law 17:5; Ay 42:8; Isa 60:7Mwishoni mwa hizi siku saba, kuanzia siku ya nane na kuendelea, itawapasa makuhani kutoa sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu. Kisha nitawakubali ninyi, asema Bwana Mwenyezi.”