Судьи 13 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Судьи 13:1-25

Рождение Самсона

1Исраильтяне вновь стали делать зло в глазах Вечного, и Вечный отдал их в руки филистимлян на сорок лет.

2У одного человека из Цоры по имени Маноах из рода данитян жена была бесплодна и не имела детей. 3Ангел Вечного явился ей и сказал:

– Ты бесплодна и не имеешь детей, но забеременеешь и родишь сына. 4Итак, смотри, не пей ни вина, ни другого алкогольного напитка и не ешь ничего ритуально нечистого, 5потому что ты забеременеешь и родишь сына. Его головы не коснётся бритва, потому что мальчик с самого рождения будет посвящён Аллаху как назорей13:5 Назорей – это слово означает «отделённый», «посвящённый». Об обете назорейства см. Чис. 6:1-21.. Именно он начнёт спасать Исраил от рук филистимлян.

6Женщина пошла к своему мужу и сказала ему:

– Ко мне приходил человек Аллаха. Он был похож на Ангела Аллаха, Его вид внушал благоговейный ужас. Я не спросила Его, откуда Он, а Он не сказал мне Своего имени. 7Но Он сказал мне: «Ты забеременеешь и родишь сына. Поэтому не пей ни вина, ни другого алкогольного напитка и не ешь ничего ритуально нечистого, потому что мальчик будет назореем Аллаха с рождения до самой смерти».

8И Маноах молился Вечному:

– Владыка, прошу Тебя, пусть человек Аллаха, Которого Ты посылал к нам, придёт опять и научит нас, что нам делать с мальчиком, который должен родиться.

9Аллах услышал Маноаха, и Ангел Аллаха вновь пришёл к той женщине, когда она была в поле, но её мужа Маноаха с ней не было. 10Женщина тут же побежала и сказала своему мужу:

– Он здесь! Тот человек, Который приходил ко мне тогда!

11Маноах встал и пошёл за своей женой. Он пришёл к тому человеку и спросил:

– Это Ты говорил с моей женой?

– Я, – ответил Тот.

12И Маноах спросил Его:

– Когда Твои слова исполнятся, как жить мальчику и что ему делать?

13Ангел Вечного ответил:

– Твоя жена должна исполнять всё, что Я ей сказал. 14Она не должна есть ничего, что даёт виноградная лоза, пить вина и никакого другого алкогольного напитка, а также есть что-либо ритуально нечистое. Она должна делать всё, что Я ей велел.

15Маноах сказал Ангелу Вечного:

– Мы хотели бы, чтобы Ты остался, пока мы не приготовим для Тебя козлёнка.

16Ангел Вечного ответил Маноаху:

– Хоть ты удерживаешь Меня, Я не буду есть твоего угощения. Но если ты приготовишь всесожжение, принеси его Вечному.

(Маноах не знал, что это был Ангел Вечного.)

17Маноах спросил Ангела Вечного:

– Как Твоё имя, чтобы нам отблагодарить Тебя, когда Твои слова исполнятся?

18Ангел Вечного ответил:

– Зачем ты спрашиваешь Моё имя? Оно чудно.

19Тогда Маноах взял козлёнка и хлебное приношение и принёс на скале в жертву Вечному, и Он сотворил чудо перед глазами Маноаха и его жены: 20когда пламя с жертвенника поднялось к небу, Ангел Вечного вознёсся в пламени жертвенника. Увидев это, Маноах и его жена пали лицом на землю. 21Когда Ангел Вечного стал невидим Маноаху и его жене, Маноах понял, что это был Ангел Вечного.

22– Теперь мы наверняка умрём! – сказал Маноах своей жене. – Ведь мы видели Аллаха!13:22 См. Исх. 33:20.

23Но его жена ответила:

– Если бы Вечный хотел нам смерти, Он не принял бы из наших рук всесожжения и хлебного приношения и не показал и не возвестил бы нам сейчас всего этого.

24Женщина родила сына и назвала его Самсон. Мальчик рос, и Вечный благословлял его, 25и Дух Вечного начал действовать в нём, когда он был в Махане-Дане, между Цорой и Эштаолом.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 13:1-25

Kuzaliwa Kwa Samsoni

113:1 Amu 3:4, 31; 14:4; 1Sam 12:9Waisraeli wakafanya maovu tena mbele za Bwana. Hivyo Bwana akawatia mikononi mwa Wafilisti kwa muda wa miaka arobaini.

213:2 Yos 15:33; Amu 16:31; Mwa 30:6; 11:30Basi palikuwa na mtu mmoja wa Sora, aliyeitwa Manoa, wa kabila la Wadani, naye alikuwa na mke ambaye alikuwa tasa na hakuwa na mtoto. 313:3 Mwa 16:7; Isa 7:14; Lk 1:13; Amu 6:12Malaika wa Bwana akamtokea huyo mwanamke na kumwambia, “Wewe ni tasa na huna mtoto, lakini utachukua mimba na utamzaa mtoto mwanaume. 413:4 Law 10:9; Hes 6:2-4; Lk 1:15Lakini ujihadhari sana usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote, wala usile kitu chochote kilicho najisi, 513:5 Mwa 3:15; 1Sam 1:11; 7:13; Hes 6:2, 13; Amo 2:11-12kwa kuwa utachukua mimba na utamzaa mtoto mwanaume. Wembe usipite kichwani pake, kwa kuwa huyo mwana atakuwa Mnadhiri wa Mungu, aliyewekwa wakfu kwa ajili ya Mungu tangu tumboni mwa mama yake, naye ataanza kuwaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wafilisti.”

613:6 1Sam 2:27; 9:6; 1Fal 13:1; 17:18; Hes 22:22; Za 66:5; Mt 28:3Ndipo huyo mwanamke akamwendea mumewe na kumweleza kuwa, “Mtu wa Mungu alinijia. Kule kuonekana kwake kulikuwa kama kwa malaika wa Mungu, wa kutisha sana. Sikumuuliza alikotoka wala hakuniambia jina lake. 713:7 Yer 35:6; Law 10:6; 1Sam 1:11, 28Lakini aliniambia, ‘Utachukua mimba na utazaa mtoto mwanaume. Basi sasa, usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote wala usile kitu kilicho najisi, kwa kuwa huyo mtoto atakuwa Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yake mpaka kufa kwake.’ ”

8Ndipo Manoa akamwomba Bwana, akasema: “Ee Bwana, nakusihi, huyo mtu wa Mungu uliyemtuma kwetu aje tena ili atufundishe jinsi ya kumlea huyo mwana atakayezaliwa.”

9Mungu akamsikia Manoa, naye malaika wa Mungu akamjia tena huyo mwanamke alipokuwa shambani, lakini mumewe Manoa hakuwepo. 10Basi yule mwanamke akaenda haraka na kumwambia mumewe, “Tazama mtu yule aliyenitokea siku ile yupo hapa!”

11Manoa akainuka akaandamana na mkewe. Alipomfikia yule mtu akamuuliza, “Je, wewe ndiye yule uliyesema na mke wangu?”

Akasema, “Mimi ndiye.”

12Basi Manoa akamuuliza, “Wakati maneno yako yatakapotimia, masharti ya maisha ya mtoto huyu yatakuwa nini na kazi yake itakuwa ni nini?”

13Malaika wa Bwana akamjibu, “Mke wako hana budi kufanya yale yote niliyomwambia. 1413:14 Law 10:9; Hes 6:4Kamwe asile kitu chochote kitakachotoka katika mzabibu, wala asinywe mvinyo wa aina yoyote wala kileo chochote wala asile kitu chochote kilicho najisi. Hana budi kufanya kila kitu nilichomwagiza.”

1513:15 Amu 9:16Manoa akamjibu yule malaika wa Bwana, “Twakuomba usubiri kwanza ili tuweze kuandaa mwana-mbuzi kwa ajili yako.”

1613:16 Amu 11:31; 6:22Malaika wa Bwana akamjibu, “Hata kama utanizuia, sitakula chochote kwako. Lakini ukitaka kuandaa sadaka ya kuteketezwa, mtolee Bwana hiyo sadaka.” (Kwa kuwa Manoa hakujua kuwa alikuwa malaika wa Bwana.)

1713:17 Mwa 32:29; Isa 9:6Ndipo Manoa akamuuliza yule malaika wa Bwana, “Jina lako ni nani, ili kwamba tuweze kukupa heshima hapo hayo uliyonena yatakapotimia?”

18Akamjibu, “Kwa nini unauliza Jina langu? Ni Jina la ajabu.” 1913:19 Amu 6:20Ndipo Manoa akamchukua mwana-mbuzi, pamoja na sadaka ya unga, naye akamtolea Bwana dhabihu hapo juu ya mwamba. Naye yule malaika wa Bwana akafanya jambo la ajabu wakati Manoa na mkewe wakiwa wanaangalia: 2013:20 Law 9:24; Mwa 17:4; Eze 1:28; Mt 17:6Mwali wa moto kutoka hapo madhabahuni ulipowaka kuelekea mbinguni, malaika wa Bwana akapaa ndani ya huo mwali. Manoa na mkewe, kwa kuona jambo hili, wakaanguka chini kifudifudi. 2113:21 Amu 6:22Malaika wa Bwana hakumtokea tena Manoa na mkewe. Ndipo Manoa akatambua kuwa huyo alikuwa malaika wa Bwana.

2213:22 Hes 17:12; Kum 5:26; Mwa 16:13; Kut 3:6; 24:10; Amu 6:22Manoa akamwambia mkewe, “Hakika tutakufa, kwa kuwa tumemwona Mungu.”

2313:23 Za 25:14Lakini mkewe akamwambia, “Ikiwa Bwana alikuwa amekusudia kutuua, asingelipokea sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya unga kutoka mikononi mwetu, wala asingelituonyesha mambo haya yote wala kututangazia mambo kama haya wakati huu.”

2413:24 Amu 14:1; 15:1; 16:1; Ebr 11:32; 1Sam 2:21-26; 3:19; Lk 1:80Yule mwanamke akazaa mtoto wa kiume akamwita jina lake Samsoni. Kijana akakua, naye Bwana akambariki. 2513:25 Amu 3:10; 18:12Roho wa Bwana akaanza kumsukuma wakati alipokuwa huko Mahane-Dani, kati ya Sora na Eshtaoli.