Начало 46 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Начало 46:1-34

Якуб со всей семьёй переселяется в Египет

1Исраил отправился в путь со всем, что у него было, пришёл в Беэр-Шеву и принёс там жертвы Богу своего отца Исхака. 2Аллах говорил с Исраилом в ночном видении и сказал:

– Якуб! Якуб!

– Вот я, – ответил Якуб.

3И сказал Аллах:

– Я Аллах, Бог твоего отца. Не бойся пойти в Египет, потому что Я произведу от тебя там великий народ. 4Я пойду в Египет вместе с тобой, и Я же приведу тебя обратно. И глаза тебе закроет рука Юсуфа.

5Якуб отправился в путь из Беэр-Шевы. Сыновья Исраила посадили отца, детей и жён в колесницы, которые фараон прислал, чтобы перевезти его. 6Они взяли с собой скот и имущество, которое нажили в Ханаане; и Якуб со всем своим потомством пришёл в Египет. 7Он взял с собой в Египет сыновей и внуков, дочерей и внучек – всё своё потомство.

Список потомков Якуба

8Вот имена сыновей Исраила, которые пришли в Египет; Якуб и его потомки:

Рувим, первенец Якуба.

9Сыновья Рувима:

Ханох, Фаллу, Хецрон и Харми.

10Сыновья Шимона:

Иемуил, Иамин, Охад, Иахин, Цохар и Шаул, сын хананеянки.

11Сыновья Леви:

Гершон, Кааф и Мерари.

12Сыновья Иуды:

Ир, Онан, Шела, Фарец и Зерах (но Ир и Онан умерли в Ханаане).

Сыновьями Фареца были Хецрон и Хамул.

13Сыновья Иссахара:

Тола, Пуа, Иашув46:13 Букв.: «Иов»; в Книге Пророков, 1 Лет. 7:1 он назван Иашувом. и Шимрон.

14Сыновья Завулона:

Серед, Елон и Иахлеил.

15Это сыновья Лии, которых она родила Якубу в Паддан-Араме; она родила и дочь Дину; всего их было тридцать три человека.

16Сыновья Гада:

Цефон, Хагги, Шуни, Эцбон, Ери, Ароди и Арели.

17Сыновья Ашира:

Имна, Ишва, Ишви и Брия. Их сестра Серах. Сыновья Брии: Хевер и Малкиил.

18Это дети, рождённые Якубу Зелфой, которую Лаван дал в служанки своей дочери Лии; всего шестнадцать человек.

19Сыновья жены Якуба Рахили:

Юсуф и Вениамин. 20В Египте Асенефа, дочь Потифера, жреца города Она, родила Юсуфу Манассу и Ефраима.

21Сыновья Вениамина:

Бела, Бехер, Ашбел, Гера, Нааман, Ехи, Рош, Муппим, Хуппим и Ард.

22Это сыновья Рахили, которых она родила Якубу; всего четырнадцать человек.

23Сын Дана:

Хушим.

24Сыновья Неффалима:

Иахцеил, Гуни, Иецер и Шиллем.

25Это сыновья, рождённые Якубу Билхой, которую Лаван дал в служанки своей дочери Рахиле; всего семь человек.

26Всех, кто пришёл в Египет с Якубом, – его прямых потомков, не считая жён его сыновей, – было шестьдесят шесть человек. 27Сыновей Юсуфа, которые были рождены ему в Египте, было двое. Всего членов семьи Якуба, пришедших в Египет, было семьдесят человек.

Встреча Якуба с Юсуфом

28Якуб послал перед собой к Юсуфу Иуду, чтобы узнать путь в Гошен. И они прибыли туда. 29Юсуф запряг колесницу и поехал в Гошен, чтобы встретить своего отца Исраила. Он предстал перед отцом, обнял его и долго плакал.

30Исраил сказал Юсуфу:

– Теперь я могу и умереть, потому что увидел своими глазами, что ты жив.

31Юсуф сказал своим братьям и домашним отца:

– Я пойду к фараону и скажу ему: «Мои братья и дом моего отца, которые жили в земле Ханаана, пришли ко мне. 32Эти люди – пастухи; они разводят скот и привели с собой свои стада и принесли всё своё имущество». 33Когда фараон вызовет вас и спросит: «Чем вы занимаетесь?» – 34вы должны ответить: «Рабы твои с отрочества своего и доныне разводят скот, как делали и наши отцы». Тогда вам будет позволено поселиться в земле Гошен, потому что египтянам отвратительны пастухи.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 46:1-34

Yakobo Aenda Misri

1Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.

246:2 Mwa 15:1Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!”

Akajibu, “Mimi hapa.”

346:3 Mwa 12:2; 28:13Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa. 446:4 Mwa 5:16Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”

546:5 Mwa 45:19Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha. 646:6 Kum 26:5; Mdo 7:15Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri. 7Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.

8Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri:

Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.

9Wana wa Reubeni ni:

Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

1046:10 Kut 6:15Wana wa Simeoni ni:

Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

11Wana wa Lawi ni:

Gershoni, Kohathi na Merari.

1246:12 1Nya 2:5; Mt 1:3Wana wa Yuda ni:

Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani).

Wana wa Peresi ni:

Hesroni na Hamuli.

13Wana wa Isakari ni:

Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

1446:14 Mwa 30:20Wana wa Zabuloni ni:

Seredi, Eloni na Yaleeli.

1546:15 Mwa 30:21Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.

1646:16 Hes 26:15Wana wa Gadi ni:

Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

1746:17 Mwa 30:13Wana wa Asheri ni:

Imna, Ishva, Ishvi na Beria.

Dada yao alikuwa Sera.

Wana wa Beria ni:

Heberi na Malkieli.

18Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

19Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:

Yosefu na Benyamini. 2046:20 Mwa 41:51Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni,46:20 Yaani Heliopoli (Mji wa Jua). alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.

2146:21 1Nya 7:6-12Wana wa Benyamini ni:

Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

22Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.

23Mwana wa Dani ni:

Hushimu.

2446:24 Mwa 30:8Wana wa Naftali ni:

Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.

2546:25 Mwa 30:8Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

2646:26 Kut 1:5; Kum 10:22Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita. 2746:27 Mdo 7:14Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.

2846:28 Mwa 45:10Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni, 2946:29 Mwa 29:11gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.

3046:30 Mwa 44:28Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”

3146:31 Mwa 45:10Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu. 3246:32 Mwa 42:20Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’ 3346:33 Mwa 47:3Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’ 3446:34 Mwa 43:32Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”