Езекиил 5 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Езекиил 5:1-17

1Теперь, смертный, возьми острый меч и обрей им, как бритвой цирюльника, себе голову и бороду. Возьми весы и раздели волосы на части. 2Когда дни твоей осады закончатся, сожги треть волос посреди нарисованного города. Другую треть возьми и изруби вокруг города мечом. Оставшуюся треть развей по ветру, и Я обнажу Свой меч и буду преследовать их. 3Но несколько волосков возьми и завяжи в край одежды. 4А из них возьми ещё, брось в огонь и дай сгореть. Огонь полыхнёт оттуда на весь народ Исраила.

5Так говорит Владыка Вечный:

– Это Иерусалим; Я поставил его посреди народов, и вокруг него – страны. 6Но он восстал против Моих законов и установлений, сделавшись нечестивее народов и стран, которые вокруг него; он отверг Мои законы и не соблюдал Моих установлений.

7Поэтому так говорит Владыка Вечный:

– Вы были непокорнее народов, которые вокруг вас, не соблюдали Моих установлений и не исполняли Моих законов, и даже не поступали5:7 Или: «даже поступали». по обычаям народов, которые вокруг вас.

8Поэтому так говорит Владыка Вечный:

– Смотри, Я Сам стал твоим противником; Я исполню над тобой приговор на глазах у народов. 9Из-за твоих омерзительных идолов Я сделаю с тобой то, чего не делал прежде и не сделаю впредь. 10За это ваши отцы будут есть своих детей, а дети будут есть своих отцов. Я исполню над тобой приговор и развею уцелевших по всем ветрам.

11Верно, как и то, что Я живу, – возвещает Владыка Вечный, – за то, что ты осквернил Моё святилище своими гнусными истуканами и омерзительными обычаями, Я сражу тебя: не взгляну на тебя с жалостью и не пощажу. 12Треть твоего народа умрёт от мора или погибнет от голода; треть падёт от меча за твоими стенами; а треть Я развею по ветру, обнажу Свой меч и буду преследовать их.

13Тогда Мой гнев угаснет, ярость против них уляжется, и Я буду удовлетворён. Когда Я изолью на них ярость, они узнают, что это Я, Вечный, говорил, объятый ревностью.

14Я сделаю тебя пустырём и позорищем у народов, которые вокруг тебя, в глазах всех, кто будет проходить мимо. 15Ты станешь позорищем и насмешкой, уроком и ужасом для всех народов, которые вокруг тебя, когда Я исполню над тобой приговор в гневе и в ярости, в неистовых казнях. Я, Вечный, сказал это. 16Я буду пускать в тебя злые стрелы голода, чтобы погубить тебя. Я усилю у тебя голод и уничтожу запасы пищи. 17Я нашлю на тебя голод и диких зверей, и они лишат тебя детей. Мор и кровопролитие пройдут по тебе, и Я наведу на тебя меч. Я, Вечный, сказал это.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 5:1-17

Upanga Dhidi Ya Yerusalemu

15:1 Law 21:5; Isa 7:20; Eze 44:20; Hes 6:5; 2Sam 10:14“Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo. 25:2 Law 26:33; Yer 39:1-2; Zek 13:8; Yer 21:10; Eze 15:7; Yer 13:24; 9:16Wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji. Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa. 35:3 Yer 40:6; 39:10; 2Fal 25:12; Za 74:11Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako. 45:4 Eze 10:7; 15:7Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.

55:5 Kum 4:6; Mao 1:1; Eze 16:14“Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Huu ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote. 65:6 Neh 9:17; Zek 7:11; Rum 1:25; Eze 16:16; 2Fal 17:15; Yer 11:10Lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka. Umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu.

75:7 2Fal 21:9; 2Nya 33:9; Yer 2:10-11“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka.

85:8 Yer 21:5; Zek 14:2; Yer 24:9; Eze 11:9; 15:7“Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa. 95:9 Dan 9:12; Amo 3:2; Mt 24:21Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena. 105:10 Law 26:29; Mao 2:20; Yer 13:14; Zek 2:6; Za 44:11; Eze 12:14Kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia. 115:11 Eze 7:20; 8:6; 2Nya 36:14; Eze 11:18-21; Yer 16:18; Ay 27:22; Hes 14:21; Law 15:2; 15:31; Mao 2:17Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu. 125:12 Ufu 6:8; Za 107:39; Eze 12:14; Zek 13:8; Eze 6:11-12; Yer 21:9; 13:24Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa.

135:13 2Nya 12:7; Ay 20:23; Isa 1:24; Mao 4:11; Eze 21:17; 24:13; Hos 10:10“Ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi Bwana nimenena katika wivu wangu.

145:14 Mik 3:12; Isa 64:11; Neh 2:17; Za 74:3-10; Eze 22:4; Dan 9:16“Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka, machoni pa watu wote wapitao karibu nawe. 155:15 Kum 28:20; 1Fal 9:7; Yer 23:40; Eze 25:17; Mao 2:15; Isa 43:28; Yer 22:8-9Utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali. Mimi Bwana nimesema. 165:16 Law 26:26; Kum 32:24; Eze 14:21Nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako. 175:17 Eze 38:23; Law 26:25; Eze 28:22Nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga juu yenu. Mimi Bwana nimenena haya.”