Левит 12 – CARS & NEN

Священное Писание

Левит 12:1-8

Очищение после родов

1Вечный сказал Мусе:

2– Скажи исраильтянам: «Женщина, которая забеременела и родила сына, будет нечиста семь дней, как во время месячных. 3На восьмой день мальчику должно быть сделано обрезание. 4Затем женщина должна ждать тридцать три дня, чтобы очиститься от кровотечения после родов. Пусть она не прикасается к священным предметам и не ходит в святилище, пока не пройдут дни очищения. 5Если она родит дочь, то будет нечиста две недели, как во время месячных. Затем она должна ждать шестьдесят шесть дней, чтобы очиститься от кровотечения.

6Когда дни очищения за сына или дочь пройдут, пусть она принесёт священнослужителю к входу в шатёр встречи годовалого ягнёнка для всесожжения и молодого голубя или горлицу в жертву за грех. 7Он принесёт их в жертву Вечному, чтобы очистить её, и она очистится от кровотечения после родов.

Таковы правила для женщины, родившей мальчика или девочку. 8Если ей не по средствам принести ягнёнка, то пусть принесёт двух горлиц или двух молодых голубей: одного – для всесожжения, а другого – для жертвы за грех. Священнослужитель очистит её, и она станет чиста».

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 12:1-8

Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto

1Bwana akamwambia Mose, 212:2 Law 15:19; 18:19; Isa 64:6; Eze 18:6; 22:10; 36:17“Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi. 312:3 Kut 22:30; Mwa 17:10-12; Lk 1:59; 2:21; 2:2; Yn 7:22-23Mvulana atatahiriwa siku ya nane. 4Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia. 5Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.

612:6 Lk 2:22; Kut 29:38; Law 5:7; 23:12; Hes 6:12-14; 7:15; Ufu 5:6-8; 7:14“ ‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 712:7 Ebr 9:9-28; 10:1-12Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake.

“ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike. 812:8 Mwa 15:9; Law 4:26; 14:22; 5:7; Lk 2:22-24; Law 4:26; 2Kor 8:9Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ”