Забур 57 – CARS & NEN

Священное Писание

Забур 57:1-12

Песнь 57

1Дирижёру хора. На мотив «Не погуби». Мольба Давуда.

2Правдивы ли речи ваши, правители?

Справедливо ли судите людей?

3Нет, неправду вы замышляете,

обдумываете, какое зло сотворить на земле.

4От утробы матери нечестивые – среди отступников;

с рождения сбились с пути и обманывают.

5Яд их подобен яду змеиному,

яду глухой кобры, что уши свои затыкает

6и не слышит голоса заклинателя,

как бы тот ни был искусен.

7Всевышний, раздроби зубы у них во рту;

вырви, Вечный, клыки у львов!

8Да исчезнут, как высохшая вода;

пусть будут как надломленные стрелы в натянутом луке,

9как улитка, что растает, слизью изойдя,

как мертворождённый, что не увидит света.

10Прежде чем ваши котлы согреет горящий тёрн –

зелен он или сух, – нечестивые будут погублены.

11Праведники возрадуются, когда увидят возмездие,

когда омоют стопы в крови нечестивых.

12И будут тогда говорить:

«Поистине, праведным есть награда;

поистине, есть Бог, судящий на земле!»

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 57:1-11

Zaburi 57

Kuomba Msaada

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.

157:1 Isa 26:20Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.

Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia

mpaka maafa yapite.

257:2 Za 138:8Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.

357:3 Za 18:9, 16; 69:14; 142:5, 7; 56:1; 25:10; 40:11; 115:1Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;

Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.

457:4 Za 35:17; 55:21; 64:3; Mit 30:14Niko katikati ya simba,

nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:

watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,

ambao ndimi zao ni panga kali.

557:5 Za 108:5Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

utukufu wako na uenee duniani kote.

657:6 Es 6:13; Za 31:4; 9:15; 140:5; 7:15; 38:6; 10:9; 145:14; Mit 28:10; Mhu 10:8Waliitegea miguu yangu nyavu,

nikainamishwa chini na dhiki.

Wamechimba shimo katika njia yangu,

lakini wametumbukia humo wao wenyewe.

757:7 Za 112:7; 108:1Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

857:8 Za 33:2; 149:3; 150:3; Amu 5:12Amka, nafsi yangu!

Amka, kinubi na zeze!

Nitayaamsha mapambazuko.

9Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

1057:10 Za 36:5; 108:4Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

uaminifu wako unazifikia anga.

1157:11 Za 8:1; 149:3; 150:3; Amu 5:12Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

utukufu wako na uwe duniani pote.