Езекиил 8 – CARS & NEN

Священное Писание

Езекиил 8:1-18

Идолопоклонство в храме

1В шестом году, в пятый день шестого месяца (17 сентября 592 г. до н. э.), когда я сидел у себя дома и старейшины Иудеи сидели передо мной, рука Владыки Вечного снизошла на меня там. 2Я посмотрел и увидел Кого-то, похожего на человека, Который был как бы из огня. Ниже пояса Он был похож на огонь, а выше пояса Он сверкал, как сияющий металл. 3Он простёр подобие руки и взял меня за волосы. Дух поднял меня между землёй и небом и в видениях Всевышнего принёс меня в Иерусалим, к входу в северные ворота внутреннего двора, где находился идол, вызывающий ревность Всевышнего. 4И вот там предо мной явилась слава Бога Исраила, как в том видении, которое я видел на равнине. 5И Всевышний сказал мне:

– Смертный, посмотри на север.

Я посмотрел – и с северной стороны у ворот жертвенника увидел идола, вызывающего ревность Всевышнего.

6Всевышний сказал мне:

– Смертный, ты видишь, что они делают, – эти страшные мерзости, которые народ Исраила творит здесь, чтобы удалить Меня из Моего святилища? Но ты увидишь ещё большие мерзости.

7Он привёл меня к входу во двор. Я посмотрел и увидел отверстие в стене.

8Он сказал мне:

– Смертный, прокопай стену.

Я прокопал и увидел какую-то дверь.

9Он сказал мне:

– Войди и посмотри на гнусные мерзости, которые они здесь творят.

10Я вошёл, посмотрел и увидел нарисованные на стенах кругом изображения всяких ползучих тварей, мерзких животных и всех идолов исраильтян. 11Перед ними стояли семьдесят старейшин народа Исраила, и Иазания, сын Шафана, стоял среди них. Каждый держал в руке сосуд для возжигания благовоний, откуда поднималось ароматное облако дыма.

12Всевышний сказал мне:

– Смертный, ты видел, что старейшины народа Исраила творят во мраке, каждый в капище своего лжебога? Они говорят: «Вечный не видит нас; Вечный бросил страну».

13И опять Он сказал мне:

– Ты увидишь ещё большие мерзости, которые они делают.

14Он привёл меня к входу в северные ворота дома Вечного, и я увидел сидящих там женщин, которые оплакивали Таммуза8:14 Вавилонский бог плодородия и дождя, который по повериям умирал в начале засухи и воскресал в начале сезона дождей..

15Он сказал мне:

– Видишь это, смертный? Ты увидишь ещё большие мерзости.

16Он ввёл меня во внутренний двор дома Вечного; там, у входа в храм, между притвором и жертвенником, находилось около двадцати пяти мужчин. Обратившись спиной к храму Вечного, а лицами на восток, они поклонялись солнцу на востоке.

17Он сказал мне:

– Видел это, смертный? Разве не достаточно скверно для народа Иудеи совершать те мерзости, которые они здесь творят? Зачем они наполняют страну насилием и возбуждают Мой гнев ещё сильнее? Гляди, как они подносят ветви к своим носам!8:17 Это был какой-то языческий ритуал. 18За это Я изолью на них Свой гнев; Я не взгляну на них с жалостью и не пощажу. Пусть кричат Мне в самые уши, Я не стану их слушать.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 8:1-18

Ibada Ya Sanamu Hekaluni

18:1 2Fal 6:32; Eze 14:1; 33:31; 40:1; 24:1Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa Bwana Mwenyezi ulikuja juu yangu. 28:2 Eze 1:4, 26-27; Dan 7:9Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto. 38:3 Eze 3:12; 11:1; Kut 20:5; Kum 32:16; Yer 7:30; Kut 24:10; Eze 2:9Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu. 48:4 Kut 24:16; Eze 1:28; 3:22Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.

58:5 Za 78:58-60; Yer 4:1; 32:34Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.

68:6 Eze 5:11; Kum 31:16; Hos 5:6Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”

7Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani. 8Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.

9Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.” 108:10 Kum 4:15-18; Yer 16:18; Amu 17:4-5; Eze 23:14; Yer 44:4; Kut 20:4Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli. 118:11 Hes 16:17; Yer 26:24; Law 10:1; Hes 16:17-35; Kut 3:16; Eze 11:1-2Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.

128:12 2Fal 21:16; Za 10:11; Ay 22:13; Isa 29:15; Eze 9:9Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘Bwana hatuoni, Bwana ameiacha nchi.’ ” 13Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”

148:14 Eze 11:12Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya Bwana, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi. 15Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”

168:16 Yoe 2:17; Kum 4:19; Ay 31:28; Mwa 1:16; Yer 2:27; Eze 40:6; 9:6Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya Bwana, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la Bwana na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.

178:17 Mwa 6:11; Ezr 9:6; Hes 11:33; 1Fal 14:9; Eze 16:2; 16:26Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka! 188:18 Yer 13:14; 44:6; Eze 24:14; Isa 1:15; Mik 3:4; Mit 1:28; 1Sam 8:18; Isa 58:4; Eze 9:10Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”