Prædikerens Bog 3 – BPH & NEN

Bibelen på hverdagsdansk

Prædikerens Bog 3:1-22

Tid til alt

1Alt i livet har sin egen tid:

2Tid til at fødes og tid til at dø,

tid til at plante og tid til at høste,

3tid til at dræbe og tid til at læge,

tid til at bryde ned og tid til at bygge op,

4tid til at græde og tid til at le,

tid til at sørge og tid til at danse,

5tid til at dænge sten på en mark3,5 Jf. 2.Kong. 3,25. og tid til at samle dem,

tid til at omfavne og tid til ikke at omfavne,

6tid til at finde og tid til at miste,

tid til at gemme og tid til at kassere,

7tid til at flænge og tid til at lappe,

tid til tavshed og tid til tale,

8tid til at elske og tid til at hade,

tid til krig og tid til fred.

Gud er suveræn

9Hvad har man så ud af alt sit slid? 10Gud har givet menneskene mange ting at beskæftige sig med. 11Alt har han skabt, så det har sin tid og tjener hans plan. Men skønt han har lagt evigheden i vores hjerter, fatter vi dog ikke hans plan og virke fra begyndelsen til enden. 12Derfor er det bedste, man kan gøre, at glæde sig og nyde livet, så længe det er muligt, 13for det at spise og drikke og finde tilfredsstillelse i sit arbejde er en Guds gave.

14Jeg ved, at hvad Gud gør, står ikke til at ændre. Man kan hverken lægge noget til eller trække noget fra. Hans hensigt er, at vi skal have ærefrygt for ham.

15Hvad der sker nu, er allerede sket før, og hvad der sker i fremtiden, er også sket før. Gud lader historien gentage sig.

16Jeg lagde også mærke til, at der var gudløshed og ondskab, hvor der burde være retfærdighed og godhed, 17og jeg sagde til mig selv: „Når tiden er inde, vil Gud dømme de gode såvel som de onde.” 18-19Gud lader verden gå sin gang for at lade os forstå, at den samme skæbne venter både mennesker og dyr: Alle indånder de den samme luft, og alle skal de dø en dag. Mennesket er i det stykke ikke bedre stillet end et dyr, for begges liv synes at være uden formål. 20Alle ender samme sted, for af jord er de kommet, og til jord skal de blive. 21Hvem ved, om menneskets ånd går opad, og dyrets ånd går nedad?

22Jeg fandt altså, at det bedste for et menneske er at glæde sig ved sit arbejde. Ingen af os kan vide, hvad der sker efter døden.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 3:1-22

Kila Jambo Lina Wakati Wake

13:1 Mhu 8:6Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo,

nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:

23:2 Mwa 47:29; Isa 28:24; 38:1wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,

wakati wa kupanda na wakati wa kungʼoa yaliyopandwa,

33:3 Kum 5:17wakati wa kuua na wakati wa kuponya,

wakati wa kubomoa,

na wakati wa kujenga,

43:4 Kut 15:20; 2Sam 6:16wakati wa kulia na wakati wa kucheka,

wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza,

5wakati wa kutawanya mawe na wakati wa kukusanya mawe,

wakati wa kukumbatia na wakati wa kutokumbatia,

6wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza,

wakati wa kuweka na wakati wa kutupa,

73:7 Amo 5:13; Es 4:14wakati wa kurarua na wakati wa kushona,

wakati wa kunyamaza na wakati wa kuzungumza,

8wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia,

wakati wa vita na wakati wa amani.

9Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake? 103:10 Mhu 1:13Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu. 113:11 Kum 32:4; Mhu 8:17; Ay 11:7; 28:23; Rum 11:33Amefanya kila kitu kiwe kizuri kwa wakati wake. Pia ameiweka hiyo milele katika mioyo ya wanadamu, wala hawawezi kutambua kwa kina yale ambayo Mungu amefanya tangu mwanzo hadi mwisho. 12Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi. 133:13 Za 34:12; Kum 12:7, 18; Mhu 2:3, 24; 5:19Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. 143:14 Ay 23:15; Yak 1:17; Mhu 5:7; 7:18; 8:12-13Ninajua kwamba kila kitu anachokifanya Mungu kitadumu milele, hakuna kinachoweza kuongezwa au kupunguzwa. Mungu hufanya hivyo ili watu wamche yeye.

153:15 Mhu 6:10; 1:9Chochote kilichopo kilishakuwepo,

na kitakachokuwepo kimekwishakuwepo kabla;

naye Mungu huyaita yale yaliyopita yarudi tena.

16Pia nikaona kitu kingine tena chini ya jua:

Mahali pa kutolea hukumu,

uovu ulikuwepo,

mahali pa kupatia haki,

uovu ulikuwepo.

173:17 Ay 34:11; 19:29; Mt 16:27; Mhu 11:9; 12:14Nikafikiri moyoni mwangu,

“Mungu atawaleta hukumuni

wote wawili wenye haki na waovu,

kwa maana kutakuwako na wakati kwa ajili ya kila jambo,

wakati kwa ajili ya kila tendo.”

183:18 Za 73:22Pia nikafikiri, “Kuhusu wanadamu, Mungu huwajaribu ili wajione kwamba wao ni kama wanyama. 193:19 Mhu 2:14; Za 49:12Hatima ya mwanadamu ni kama ile ya wanyama; wote wana mwisho unaofanana: Jinsi anavyokufa mnyama, ndivyo anavyokufa mwanadamu. Wote wana pumzi inayofanana; mwanadamu hana cha zaidi kuliko mnyama. Kila kitu ni ubatili. 203:20 Mwa 2:7; 3:19-20; Ay 34:10Wote huenda mahali panapofanana; wote hutoka mavumbini, mavumbini wote hurudi. 213:21 Mhu 12:7Ni nani ajuaye kama roho ya mtu huenda juu na roho ya mnyama hushuka chini ardhini?”

223:22 Mhu 2:10, 24; 5:18; Ay 31:2Kwa hiyo nikaona kwamba hakuna kitu kilicho bora zaidi kwa mwanadamu kuliko kuifurahia kazi yake, kwa sababu hilo ndilo fungu lake. Kwa maana ni nani awezaye kumrudisha ili aje kuona kile kitakachotendeka baada yake?