Néhémie 11 – BDS & NEN

La Bible du Semeur

Néhémie 11:1-36

Le repeuplement de Jérusalem et l’organisation de la ville

1Les chefs du peuple s’installèrent à Jérusalem. Pour le reste du peuple, on tira au sort pour faire venir s’établir à Jérusalem, la ville sainte, une famille sur dix. Les neuf autres pouvaient rester dans les autres localités. 2Certains hommes s’offrirent volontairement pour habiter à Jérusalem. Leurs compatriotes les bénirent. 3Dans les villes de Juda habitaient les Israélites, les prêtres, les lévites, les desservants du Temple et les descendants des serviteurs de Salomon, chacun dans sa propriété et sa ville respective. Et voici la liste des chefs de la province qui se fixèrent à Jérusalem. 4De plus, des gens des tribus de Juda et de Benjamin s’établirent à Jérusalem : De la tribu de Juda : Ataya, fils d’Ozias, ayant pour descendants : Zacharie, Amaria, Shephatia, Mahalaléel, de la lignée de Pérets, 5et Maaséya, fils de Baruch, dont les ascendants étaient Kol-Hozé, Hazaya, Adaya, Yoyarib, Zacharie et Shiloni. 6Les descendants de Pérets qui s’établirent à Jérusalem furent en tout 468 hommes d’âge adulte.

7Membres de la tribu de Benjamin : Sallou, fils de Meshoullam, qui avait pour ascendants : Yoëd, Pedaya, Kolaya, Maaséya, Itiel et Esaïe. 8Il y avait en outre Gabbaï et Sallaï. Cela fait en tout 928 hommes. 9Joël, fils de Zikri, était leur responsable ; et Juda, fils de Hassenoua, était l’adjoint de la ville.

10Parmi les prêtres : Yedaeya, fils de Yoyarib, Yakîn, 11Seraya, fils de Hilqiya, qui avait pour ascendants Meshoullam, Tsadoq, Merayoth et Ahitoub, responsable en chef du temple de Dieu. 12822 membres de son lignage étaient occupés au service du Temple. Il y avait aussi Adaya, fils de Yeroham, qui avait pour ascendants Pelalia, Amtsi, Zacharie, Pashhour et Malkiya, 13ainsi que 242 chefs de groupes familiaux de sa lignée. Il y avait Amashsaï, fils d’Azaréel, dont les ascendants étaient Ahzaï, Meshillémoth, Immer. 14Avec les autres hommes valeureux de sa lignée, ils étaient au nombre de 128. Zabdiel, fils de Guedolim, en était le chef. 15Parmi les lévites, Shemaya, fils de Hashoub, descendant d’Azriqam, d’Hashabia et de Bounni, 16Shabthaï et Yozabad, qui faisaient partie des chefs des lévites, étaient chargés des travaux extérieurs du Temple. 17Mattania, fils de Michée, descendant de Zabdi, descendant d’Asaph, qui était responsable d’entonner la louange lors de la prière, Baqbouqia, le second parmi ses frères, et Abda, fils de Shammoua, descendant de Galal et Yedoutoun. 18284 lévites habitaient la ville sainte. 19Il y avait encore 172 portiers, chargés de surveiller les portes : Aqqoub et Talmôn, et les membres de leur groupe familial. 20Le reste des Israélites, des prêtres et des lévites étaient établis dans toutes les villes de Juda, chacun dans son patrimoine. 21Les desservants du Temple habitaient le quartier de l’Ophel11.21 Voir 3.26 et note.. Tsiha et Guishpa étaient leurs chefs.

22Le responsable des lévites à Jérusalem était Ouzzi, fils de Bani, qui avait pour ascendants Hashabia, Mattania et Michée, descendants d’Asaph. Les descendants d’Asaph étaient les musiciens chargés du service musical dans le Temple. 23Ils étaient soumis à des ordonnances royales qui réglaient leur activité jour par jour.

24Petahya, fils de Meshézabéel, de la lignée de Zérah, fils de Juda, était le délégué du roi pour toutes les affaires civiles.

Les localités repeuplées par des Judéens

25D’autres membres de la tribu de Juda s’établirent dans les localités de la campagne à Qiryath-Arba11.25 C’est-à-dire Hébron (voir Gn 23.2 ; Jos 15.54). et les villages qui en dépendent, à Dibôn et les villages qui en dépendent, à Yeqabtséel et les localités qui en dépendent, 26à Yéshoua, à Molada, à Beth-Paleth ; 27à Hatsar-Shoual, à Beer-Sheva et les villages qui en dépendent, 28à Tsiqlag, à Mekona et les villages qui en dépendent, 29à Eyn-Rimmôn, à Tsorea, à Yarmouth, 30à Zanoah, à Adoullam et les localités qui en dépendent, à Lakish et les fermes des environs, à Azéqa et les villages qui en dépendent. Ils occupèrent ainsi toute la région depuis Beer-Sheva jusqu’à la vallée de Hinnom.

31Les membres de la tribu de Benjamin occupèrent Guéba, Mikmas, Aya, Béthel et les villages qui en dépendent, 32Anatoth, Nob, Anania, 33Hatsor, Rama, Guittaïm, 34Hadid, Tseboïm, Neballath, 35Lod et Ono, la vallée des Artisans.

36Certains groupes de lévites de Juda allèrent s’installer parmi les Benjaminites.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 11:1-36

Wakazi Wapya Wa Yerusalemu

111:1 Isa 48:2; Neh 7:4; Isa 64:10; Zek 14:20-21Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe. 211:2 Amu 5:9Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.

311:3 1Nya 9:29; Ezr 2:44-45Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu,11:3 Yaani Wanethini (pia 11:21). na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali, 411:4 Ezr 1:5; Mwa 38:29; Ezr 2:70; 1Nya 9:3ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu).

Kutoka wazao wa Yuda:

Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi. 5Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni. 6Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.

7Kutoka wazao wa Benyamini:

Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya 8na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928. 9Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.

1011:10 1Nya 9:10Kutoka makuhani:

Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini, 1111:11 2Fal 25:18; Ezr 7:2Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu, 12pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya, 13na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri, 14na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.

15Kutoka Walawi:

Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni; 1611:16 Ezr 10:15; 2Nya 34:13; Ezr 8:33Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu; 1711:17 1Nya 9:15; Neh 12:8; 2Nya 5:12Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. 1811:18 Ufu 21:2; Ezr 9:8; Mt 24:15Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.

1911:19 1Nya 9:17; Neh 7:45; 12:25Mabawabu:

Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.

20Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.

2111:21 Ezr 2:43; Neh 3:26; 2Nya 27:3Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.

2211:22 1Nya 9:15Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu. 2311:23 1Nya 15:16; Neh 7:44Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

2411:24 Mwa 38:30; 1Nya 23:28Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.

2511:25 Mwa 35:27; Yos 14:15; Hes 21:30Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake, 2611:26 Yos 15:27katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti, 2711:27 Mwa 21:14katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake, 2811:28 Isa 27:6katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake, 2911:29 Yos 15:33-35; Yer 10:3katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi, 3011:30 Yos 10:39; 10:10; 15:28Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.

3111:31 Yos 21:17; Isa 10:29; 1Sam 13:2Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake, 3211:32 Isa 10:30; 1Sam 21:1katika Anathothi, Nobu na Anania, 3311:33 Yos 11:1; 18:25; 2Sam 4:3katika Hazori, Rama na Gitaimu, 3411:34 1Sam 13:18katika Hadidi, Seboimu na Nebalati, 3511:35 1Nya 8:12; 4:14katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

36Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.