Numero 26 – APSD-CEB & NEN

Ang Pulong Sa Dios

Numero 26:1-65

Ang Ikaduhang Pagsensos

1Human sa katalagman, miingon ang Ginoo kang Moises ug kang Eleazar nga anak sa pari nga si Aaron, 2“Esensus ninyo ang tibuok katilingban sa Israel basi sa ilang pamilya—tanan nga nagpangidaron ug 20 ka tuig pataas nga makahimo sa pagserbisyo isip sundalo sa Israel.” 3Busa nakigsulti si Eleazar nga pari ug si Moises sa mga Israelinhon didto sa kapatagan sa Moab sa daplin sa Suba sa Jordan atbang sa Jerico. 4Miingon sila, “Sensosa ang mga tawo nga nagaedad ug 20 ka tuig pataas, sumala sa gisugo sa Ginoo kang Moises.”

Mao kini ang mga Israelinhon nga migawas gikan sa Ehipto:

5Ang mga kaliwat ni Reuben, nga kamagulangang anak ni Jacob,26:5 Jacob: sa Hebreo, Israel. mao ang pamilya ni Hanoc, Palu, 6Hezron, ug Carmi. 7Mikabat ug 43,730 ang mga kaliwat ni Reuben.

8Ang anak ni Palu mao si Eliab, 9ug ang mga anak ni Eliab mao sila si Nemuel, Datan, ug Abiram. Kini si Datan ug si Abiram mao ang mga pangulo sa katilingban nga nakigkunsabo kang Kora sa pagrebelde batok sa Ginoo pinaagi sa pagsupak kang Moises ug kang Aaron. 10Apan gilamoy sila sa yuta uban kang Kora, kansang 250 ka mga sumusunod nangamatay pinaagi sa kalayo. Kining maong panghitabo nahimong pasidaan ngadto sa mga Israelinhon. 11Apan ang mga anak ni Kora wala maapil ug kamatay niining hitaboa.

12Ang mga kaliwat ni Simeon mao ang mga pamilya ni Nemuel, Jamin, Jakin, 13Zera, ug Saul. 14Mikabat ug 22,200 ang mga kaliwat ni Simeon.

15Ang mga kaliwat ni Gad mao ang mga pamilya nila ni Zefon, Hagi, Shuni, 16Ozni, Eri, 17Arod, ug Areli. 18Mikabat ug 40,500 ang mga kaliwat ni Gad.

19Si Juda dunay duha ka anak nga si Er ug Onan, nga namatay sa yuta sa Canaan. 20Apan may mga kaliwat gihapon si Juda nga mao ang mga pamilya nila ni Shela, Perez, ug Zera. 21Ang mga kaliwat ni Perez mao ang mga pamilya nga naggikan kanila ni Hezron ug ni Hamul. 22Mikabat ug 76,500 ang mga kaliwat ni Juda.

23Ang mga kaliwat ni Isacar mao ang mga pamilya nila ni Tola, Pua, 24Jashub, ug Shimron. 25Mikabat ug 64,300 ang mga kaliwat ni Isacar.

26Ang mga kaliwat ni Zebulun mao ang mga pamilya nila ni Sered, Elon, ug Jalel. 27Mikabat ug 60,500 ang mga kaliwat ni Zebulun.

28Ang mga kaliwat ni Jose naggikan sa duha niya ka anak nga si Manase ug Efraim. 29Ang mga kaliwat ni Manase mao ang mga pamilya nga naggikan kang Makir ug sa anak niining si Gilead. 30Ang mga anak ni Gilead mao sila si Iezer, 31Asriel, Helek, Shekem, 32Shemida, ug Hefer. 33Ang anak ni Hefer nga si Zelofehad walay anak nga lalaki, apan may mga anak siya nga babaye nga ang mga ngalan mao sila si Mala, Noa, Hogla, Milca, ug Tirza. 34Mikabat ug 52,700 ang mga kaliwat ni Manase.

35Ang mga kaliwat usab ni Efraim mao ang mga pamilya nila ni Shutela, Beker, Tahan, 36ug sa anak ni Shutela nga si Eran. 37Mikabat ug 32,500 ang mga kaliwat ni Efraim. Kini nga mga pamilya nga naggikan kang Manase ug Efraim mao ang mga kaliwat ni Jose.

38Ang mga kaliwat ni Benjamin mao ang mga pamilya nila ni Bela, Ashbel, Ahiram, 39Shufam, ug Hufam. 40Ang mga kaliwat ni Bela mao ang mga pamilya nila ni Ard ug Naaman. 41Mikabat ug 45,600 ang mga kaliwat ni Benjamin.

42Ang mga kaliwat ni Dan mao ang mga pamilya ni Shuham. 43Mikabat ug 64,400 ang mga kaliwat ni Dan.

44Ang mga kaliwat ni Asher mao ang mga pamilya nila ni Imna, Ishvi, ug Beria. 45Ang mga kaliwat ni Beria mao ang mga pamilya nila ni Heber ug Malkiel. 46(May anak nga babaye si Asher nga si Sera.) 47Mikabat ug 53,400 ang mga kaliwat ni Asher.

48Ang mga kaliwat ni Naftali mao ang mga pamilya nila ni Jazeel, Guni 49Jezer, ug Shilem. 50Mikabat ug 45,400 ang mga kaliwat ni Naftali.

51Ang gidaghanon sa tanang mga lalaki nga Israelinhon nga giihap mikabat ug 601,730.

52Unya miingon ang Ginoo kang Moises, 53“Bahina ang yuta ingon nga ilang panulondon basi sa gidaghanon sa kada tribo. 54Ang tribo nga daghan, bahini ug dako ug ang tribo nga gamay ra bahini ug gamay. 55Kinahanglan pinaagi sa pagripa ang pagbahin sa yuta subay sa tribo diin sila nasakop. 56Ang bahin nila mag-agad sa gidak-on sa ilang pamilya.”

57Ang mga kaliwat ni Levi mao ang mga pamilya nila ni Gershon, Kohat, ug Merari. 58Ug kanila naggikan ang mga pamilya nila ni Libni, Hebron, Mali, Mushi, ug Kora.

Si Kohat mao ang amahan ni Amram. 59Ug ang asawa ni Amram mao si Jokebed nga kaliwat usab ni Levi. Natawo si Jokebed sa Ehipto. Si Amram ug Jokebed mao ang mga ginikanan nila ni Aaron, Moises, ug Miriam. 60Si Aaron mao ang amahan nila ni Nadab, Abihu, Eleazar, ug Itamar. 61Apan namatay si Nadab ug si Abihu sa dihang migamit silag kalayo nga dili maoy ginagamit sa ilang paghalad sa Ginoo.

62Ang gidaghanon sa mga lalaking kaliwat ni Levi nga nagaedad ug usa ka bulan pataas mikabat ug 23,000. Wala sila iapil sa kinatibuk-an nga ihap sa gidaghanon sa mga Israelinhon kay wala man silay bahin sa yuta nga gipanunod sa mga Israelinhon.

63Mao kini ang mga Israelinhon nga naihap ni Moises ug ni Eleazar nga pari didto sa kapatagan sa Moab sa daplin sa Jordan atbang sa Jerico. 64Wala nay naapil gikan sa nahaunang pag-ihap nga gihimo ni Moises ug ni Aaron nga pari sa kamingawan sa Sinai, 65kay miingon ang Ginoo kanila kaniadto nga sigurado gayong mangamatay sila sa kamingawan. Ug walay usa nga nahibilin gawas kang Caleb nga anak ni Jefune, ug kang Josue nga anak ni Nun.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 26:1-65

Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

126:1 Hes 14:37; 25:8Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni, 226:2 Kut 30:11-16; Hes 1:3; Kut 38:25“Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.” 326:3 Hes 33:48; Yos 13:22; Hes 22:1; Kum 4:46-49Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema, 426:4 Kut 6:14; 13:3“Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.”

Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

526:5 Hes 1:20; Mwa 46:8, 9; 1Nya 5:3; Ufu 7:5Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

626:6 1Nya 5:3; Mwa 46:9kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

7Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

8Mwana wa Palu alikuwa Eliabu, 926:9 Hes 16:1; 1:16; 16:2; Isa 65:16; Kum 11:6; Hes 27:3; 16:1, 2nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana. 1026:10 Kut 15:12; Hes 16:35, 38; Kut 3:12; Ay 31:3; Za 145:20; Yer 29:22; 2Pet 2:6; Yud 7Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. 1126:11 Kut 6:24; Hes 16:33; Kum 5:9; 24:16; 2Fal 14:6; 2Nya 25:4; Eze 18:20Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

1226:12 Mwa 46:10; 1Nya 4:24; Kut 6:15Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

1326:13 Mwa 46:10kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

1426:14 Mwa 46:10; Hes 1:23Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

1526:15 Mwa 46:16Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

16kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

1726:17 Mwa 46:16kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

1826:18 Mwa 30:11; Hes 1:25; Yos 13:24-28Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

1926:19 Mwa 38:3; 38:4; 38:7; 46:12; 1Nya 2:3Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

2026:20 Mwa 38:5; 38:29; Yos 7:17Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

2126:21 Mwa 38:29; Rut 4:19; 1Fal 2:9Wazao wa Peresi walikuwa:

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

2226:22 Hes 1:27Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

2326:23 Mwa 46:13; 49:14Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

2426:24 Mwa 46:13kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

2526:25 Mwa 30:18Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

2626:26 Hes 1:30; Mwa 46:14; 49:13Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

2726:27 Mwa 30:20Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

2826:28 Hes 1:32; 36:1; Mwa 41:52; 46:20; 48:3Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

2926:29 Hes 1:34; Mwa 50:23; Amu 11:1; Hes 32:39Wazao wa Manase:

kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

3026:30 Hes 27:1; 36:1; 1Nya 7:14; Yos 17:2; Amu 6:11; 8:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

31kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

32kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

3326:33 Hes 27:1; 36:2; Yos 17:3; 1Nya 7:15; Hes 27:3; 36:11(Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

3426:34 Hes 1:35Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

3526:35 Hes 1:32; 1Nya 7:20Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

36Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

3726:37 Hes 1:33; Kum 33:13-17Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

3826:38 Mwa 46:21; Hes 1:36; 1Nya 8:40Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

3926:39 Mwa 46:21; 1Nya 7:12kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

4026:40 Mwa 46:21; 1Nya 8:3Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

4126:41 Hes 1:37Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

4226:42 Hes 1:38, 39; Amu 18:19; Mwa 46:23; 49:16; Kum 33:22Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani: 43Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

4426:44 Hes 1:40; 26:47; 1:41Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

45kutoka kwa wazao wa Beria:

kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

46(Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

47Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

4826:48 Mwa 30:8; 46:24; 1Nya 7:13Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

4926:49 1Nya 7:13kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

5026:50 Hes 1:42, 43Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

5126:51 Kut 12:37; Hes 1:46; 2:32Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

52Bwana akamwambia Mose, 5326:53 Yos 11:23; 14:1; Eze 45:8“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina. 5426:54 Hes 33:54; 35:8Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa. 5526:55 Hes 34:13; Yos 11:23; 14:2Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. 56Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

5726:57 Mwa 46:11; Kut 6:16; 1Nya 6:16Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

5826:58 Kut 6:20Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

ukoo wa Walibni;

ukoo wa Wahebroni;

ukoo wa Wamahli;

ukoo wa Wamushi;

ukoo wa wana wa Kora.

(Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu; 5926:59 Kut 2:1; 6:20; 2:4; 15:20jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu. 6026:60 Kut 6:23Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari. 6126:61 Law 10:1-2; Hes 3:4; 1Nya 24; 2Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)

6226:62 Hes 3:39; 1:47; 18:23; 2:33; 18:20-24; 35:2-8; Kum 14:27-29Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

6326:63 Hes 1:19; 22:1Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko. 6426:64 Hes 14:29; 1:44; 1:1; Kum 2:14, 15Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai. 6526:65 Hes 14:18; 1Kor 10:5; Hes 13:6; 11:28; Za 90:3-8; Rum 11:22; Kum 32:49-50; Yos 14:10; Hes 14:18, 30; Ebr 3:17, 18; Yud 5Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.