Isaias 27 – APSD-CEB & NEN

Ang Pulong Sa Dios

Isaias 27:1-13

Leviathan

1Nianang adlawa, gamiton sa Ginoo ang iyang hait ug gamhanang espada sa pagpatay sa Leviatan, ang mangtas sa dagat nga morag bitin kon modagan.

2Nianang adlawa usab, moawit kamo mahitungod sa mabungahong ubasan. 3Ako, ang Ginoo, ang nagaatiman niining ubasan. Gibisbisan ko kini kanunay. Gibantayan ko kini adlaw ug gabii aron walay makahilabot niini. 4Wala na ako masuko niini nga tamnanan. Apan sa higayon nga may makita akong mga tunokon nga tanom diha kaniya, makig-away ako kaniya ug sunogon ko siya. 5Apan maluwas lang siya kon makighigala siya kanako, ug mohangyo sa akong pagpanalipod.

6Moabot ang adlaw nga ang katawhan sa Israel, ang mga kaliwat ni Jacob, manggamot sama sa tanom. Manalingsing kini ug mamulak. Mamunga kinig daghan nga molukop sa tibuok kalibotan. 7Wala siloti ug pamatya sa Ginoo ang Israel sama sa pagsilot ug pagpamatay niya sa mga kaaway niini. 8Gipabihag sa Ginoo ang iyang katawhan isip silot kanila. Giabog niya sila pinaagi sa hapak sa makusog nga hangin gikan sa sidlakan. 9Mapasaylo lang sila kon gub-on nila ang ilang mga bato nga halaran ug dugmokon nila kini, ug wad-on nila ang mga poste nga simbolo sa diosa nga si Ashera, ug ang mga halaran nga sunoganan nilag insenso.

10Nalumpag na ang pinarilan nga lungsod. Naawaaw na kini sama sa kamingawan; wala nay nagpuyo niini. Nahimo na lang kining sabsabanan ug pahulayan sa mga baka. Gihurot ug sibsib sa mga baka ang mga dahon sa mga sanga. 11Ug sa dihang nangalaya ug nangabali ang mga sanga, gitigom kini sa mga babaye aron isugnod. Tungod kay ang mga katawhan niini nga siyudad walay pagtagad, dili sila kaloy-an sa Dios nga nagbuhat kanila.

12Nianang adlawa, tigomon sa Ginoo ang mga Israelinhon gikan sa Suba sa Eufrates hangtod sa Lugut sa Ehipto sama sa trigo nga gilain gikan sa uhay. 13Ug nianang higayona patingogon ang budyong sa makusog. Mamalik sa Jerusalem ang mga Israelinhon nga nagaantos sa pagkabinihag sa Asiria ug Ehipto. Ug simbahon nila ang Ginoo didto sa balaan nga bukid sa Jerusalem.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 27:1-13

Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli

127:1 Eze 29:3; Mwa 3:24; Hes 3:15; Ufu 12:9; Isa 2:11; Kum 32:41; Ay 26:13; Za 68:30; Isa 28:5; 31:8; 34:6; 66:16; Eze 21:3; Ay 3:8Katika siku ile,

Bwana ataadhibu kwa upanga wake,

upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu,

ataadhibu Lewiathani27:1 Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. yule nyoka apitaye kwa mwendo laini,

Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda;

atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.

227:2 Yer 2:21; Isa 24:21; 5:1Katika siku ile:

“Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:

327:3 Isa 58:11; Za 91:4; Yn 6:39; Isa 5:2Mimi, Bwana, ninalitunza,

nalinyweshea maji mfululizo.

Ninalichunga usiku na mchana

ili mtu yeyote asije akalidhuru.

427:4 Isa 10:17; Mt 3:12; 2Sam 23:6; Ebr 6:8Mimi sijakasirika.

Licha pangekuwepo michongoma na miiba kunikabili!

Ningepambana dhidi yake katika vita,

ningeliichoma moto yote.

527:5 Isa 25:4; Efe 2:12-14; Ay 22:21; Za 119:165; Rum 5:1; 2Kor 5:20Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,

wao na wafanye amani nami,

naam, wafanye amani nami.”

627:6 Mwa 40:10; Hos 14:5-8; Za 72:16; 2Fal 19:30; Eze 17:23; 36:8; Isa 11:1Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,

Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua,

naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda.

727:7 Isa 10:26; 37:36-38Je, Bwana amempiga

vile alivyowapiga wale waliompiga?

Je, yeye ameuawa

vile walivyouawa wale waliomuua yeye?

827:8 Isa 49:14; Yer 10:24; Ay 23:6; Isa 54:7; Mwa 41:6; Isa 50:1Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:

kwa mshindo wake mkali anamfukuza,

kama siku ile uvumapo upepo wa mashariki.

927:9 Kut 34:13; Rum 11:27; Za 78:38; Kut 23:24; 2Nya 14:5; Law 26:30Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,

nalo hili litakuwa matunda ya utimilizo wa kuondolewa kwa dhambi yake:

Wakati atakapoyafanya mawe yote ya madhabahu

kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa vipande vipande,

hakuna nguzo za Ashera au madhabahu za kufukizia uvumba

zitakazobaki zimesimama.

1027:10 Kum 13:16; Isa 17:2; 5:5, 17; Mao 5:18; Yer 26:6; 10:22; Isa 32:14; Mwa 1:2; Kum 13:16; Isa 5:6; 32:14; Yer 10:22; Law 1:4; 5:18; Isa 5:5; 5:17; 17:2Mji ulio na boma umebaki ukiwa,

makao yaliyotelekezwa, yaliyoachwa kama jangwa.

Huko ndama hulisha,

huko hujilaza,

wanakwanyua matawi yake.

1127:11 Kum 32:18, 38; Yer 8:7; 4:22; Isa 9:17; 10:33; Yer 11:16; Isa 33:12; 41:8; 44:21-24Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa

nao wanawake huja na kuwasha navyo moto.

Kwa kuwa hili ni taifa lisilo na ufahamu,

kwa hiyo yeye aliyewafanya hana huruma juu yao,

Muumba wao hawaonyeshi fadhili.

1227:12 Mwa 15:18; Kum 30:4; Isa 1:9; Mt 3:12; Isa 21:10; 17:6Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja. 1327:13 Hes 10:2; Amu 3:27; Mt 24:31; Isa 10:19; Hos 8:1; Law 25:9; Za 106:47Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.