Genesis 36 – APSD-CEB & NEN

Ang Pulong Sa Dios

Genesis 36:1-43

Ang mga Kaliwat ni Esau

(1 Cro. 1:34-37)

1Mao kini ang sugilanon bahin sa pamilya ni Esau (nga gitawag usab ug Edom).

2Naminyo si Esau sa mga babaye nga taga-Canaan. Sila mao si Ada nga anak ni Elon nga Hitihanon, si Oholibama nga anak ni Ana ug apo ni Zibeon nga Hibihanon, 3ug si Basemat nga anak ni Ishmael ug igsoon ni Nebayot. 4Ang anak ni Esau kang Ada mao si Elifaz. Ang iyang anak kang Basemat mao si Reuel. 5Ug ang iyang mga anak kang Oholibama mao sila si Jeush, Jalam, ug Kora. Sila ang mga anak ni Esau nga natawo sa Canaan.

6Gidala ni Esau ang iyang mga asawa, mga anak, ug ang tanang sakop sa iyang panimalay, apil ang mga kabtangan ug kahayopan nga natigom niya sa Canaan, ug mibalhin siya sa usa ka dapit, layo kang Jacob nga iyang igsoon. 7Kay dili sila mahimong mag-uban sa usa ka dapit tungod sa kadaghan sa ilang kabtangan; ug ang mga sabsabanan sa dapit nga ilang gipuy-an dili paigo sa daghan nila nga mga kahayopan. 8Busa didto nagpuyo si Esau (nga gitawag usab ug Edom) sa kabungtoran sa Seir.

9Mao kini ang sugilanon mahitungod sa pamilya ni Esau nga amahan sa mga Edomihanon nga nagpuyo sa kabungtoran sa Seir.

10Ang anak ni Esau kang Basemat mao si Reuel, ug ang anak niya kang Ada mao si Elifaz.

11Ang mga anak ni Elifaz mao sila si Teman, Omar, Zefo, Gatam, ug Kenaz. 12Anak usab niya si Amalek sa usa pa niya ka asawa nga si Timna. Sila ang mga apo ni Esau sa iyang asawa nga si Ada.

13Ang mga anak ni Reuel mao sila si Nahat, Zera, Shama, ug Miza. Sila ang mga apo ni Esau sa iyang asawa nga si Basemat.

14Ang mga anak ni Esau kang Oholibama mao sila si Jeush, Jalam, ug Kora. (Si Oholibama anak ni Ana ug apo ni Zibeon.)

15Mao kini ang mga kaliwat ni Esau nga nahimong pangulo: si Teman, Omar, Zefo, Kenaz, 16Kora, Gatam, ug Amalek. Mga anak kini sila ni Elifaz ug mga apo ni Esau sa iyang asawa nga si Ada. Nangulo sila sa Edom.

17Nahimo usab nga mga pangulo sa Edom ang mga anak ni Reuel nga sila si Nahat, Zera, Shama, ug Miza. Sila ang mga apo ni Esau sa iyang asawa nga si Basemat.

18Nahimo usab nga mga pangulo ang mga anak ni Esau kang Oholibama nga anak ni Ana. Sila mao si Jeush, Jalam, ug Kora.

19Silang tanan ang mga kaliwat ni Esau nga mga pangulo sa Edom.

Ang mga Kaliwat ni Seir

(1 Cro. 1:38-42)

20Mao kini ang mga anak ni Seir nga Horihanon nga nagpuyo sa Edom: si Lotan, Shobal, Zibeon, Ana, 21Dishon, Ezer, ug Dishan. Nahimo silang pangulo sa mga Horihanon nga nagpuyo sa Edom.

22Ang mga anak ni Lotan mao sila si Hori ug si Hemam.36:22 Hemam: o, Homam. Managsoon si Lotan ug si Timna nga usa sa asawa ni Elifaz.

23Ang mga anak ni Shobal mao sila si Alvan, Manahat, Ebal, Shefo, ug Onam.

24Ang mga anak ni Zibeon mao si Aya ug si Ana. Si Ana mao ang nakakaplag sa tuboran didto sa kamingawan sa dihang nagbantay siya sa mga asno sa iyang amahan nga si Zibeon. 25Ang mga anak ni Ana mao si Dishon ug si Oholibama.

26Ang mga anak ni Dishon mao sila si Hemdan, Eshban, Itran, ug Keran.

27Ang mga anak ni Ezer mao sila si Bilhan, Zaavan, ug Akan.

28Ang mga anak ni Dishan mao si Uz ug si Aran.

29-30Mao kini sila ang mga pangulo sa mga Horihanon nga midumala sa mga dapit sa Seir: si Lotan, Shobal, Zibeon, Ana, Dishon, Ezer, ug Dishan.

Ang mga Hari sa Edom

(1 Cro. 1:43-54)

31Mao kini sila ang mga hari sa Edom sa panahon nga wala pay mga hari ang mga Israelinhon: 32Si Bela nga anak ni Beor nahimong hari sa Edom. Dinhaba ang ngalan sa iyang ulohang lungsod. 33Pagkamatay niya, gipulihan siya ni Jobab nga anak ni Zera nga taga-Bozra. 34Pagkamatay ni Jobab, gipulihan siya ni Husham nga taga-Teman. 35Pagkamatay ni Husham, gipulihan siya ni Hadad nga anak ni Bedad. Si Hadad maoy mipildi sa mga Midianhon didto sa Moab. Avit ang ngalan sa iyang ulohang lungsod. 36Pagkamatay ni Hadad, gipulihan siya ni Samla nga taga-Masreka. 37Pagkamatay ni Samla, gipulihan siya ni Saul nga taga-Rehobot nga duol sa Suba sa Eufrates. 38Pagkamatay ni Saul, gipulihan siya ni Baal Hanan nga anak ni Acbor. 39Pagkamatay ni Baal Hanan, gipulihan siya ni Hadar. Pau ang ngalan sa iyang ulohang lungsod. Ang iyang asawa mao si Mehetabel nga anak ni Matred ug apo ni Mezahab.

40-43Si Esau (o Edom) mao ang katigulangan sa mga Edomihanon. Mao kini sila ang nahimong pangulo sa mga kaliwat ni Esau nga ang ilang mga tribo ug dapit ginganlan usab sa ilang mga ngalan: Timna, Alva, Jetet, Oholibama, Elah, Pinon, Kenaz, Teman, Mibzar, Magdiel, ug Iram.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 36:1-43

Wazao Wa Esau

(1 Nyakati 1:34-42)

136:1 Mwa 2:4; 25:30Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

236:2 Mwa 26:34; 28:8-9Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi, 3pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

436:4 1Nya 1:35Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli, 536:5 1Nya 1:35Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.

636:6 Mwa 12:5; 1Nya 1:35Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake. 736:7 Mwa 13:6; 27:39Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao. 836:8 Kum 2:4Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.

936:9 Mwa 2:4Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

1036:10 Mwa 36:3Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:

Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

1136:11 1Nya 1:45Wana wa Elifazi ni:

Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

1236:12 Kut 17:8, 16; 1Sam 15:2Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.

1336:13 Mwa 36:3Wana wa Reueli ni:

Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

1436:14 Mwa 36:2Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:

Yeushi, Yalamu na Kora.

1536:15 Mwa 36:19-40; Kut 15:15Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:

Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:

Temani, Omari, Sefo, Kenazi, 1636:16 Mwa 32:3Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.

1736:17 1Nya 1:37Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:

Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

1836:18 Mwa 36:2Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:

Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.

1936:19 1Nya 1:35Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.

2036:20 Mwa 14:6Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 2136:21 Mwa 36:30Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

22Wana wa Lotani walikuwa:

Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.

23Wana wa Shobali walikuwa:

Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

2436:24 Mwa 36:2Wana wa Sibeoni walikuwa:

Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.

2536:25 Mwa 36:2Watoto wa Ana walikuwa:

Dishoni na Oholibama binti wa Ana.

26Wana wa Dishoni walikuwa:

Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

27Wana wa Eseri walikuwa:

Bilhani, Zaavani na Akani.

28Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani.

2936:29 Mwa 36:20Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, 3036:30 Mwa 36:21Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.

Watawala Wa Edomu

(1 Nyakati 1:43-54)

3136:31 Mwa 17:6Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:

32Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

3336:33 Isa 34:6Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

3436:34 Yer 49:7Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

3536:35 Rut 1:1, 6; Mwa 19:37Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

36Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

3736:37 Mwa 26:22Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

38Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

39Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

4036:40 Mwa 36:15Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:

Timna, Alva, Yethethi, 41Oholibama, Ela, Pinoni, 42Kenazi, Temani, Mibsari, 4336:43 Mwa 36:9Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.

Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.