Dwom 114
1Bere a Israelfo fii Misraim,
na Yakobfifo fii ananafo asase so no,
2Yuda bɛyɛɛ Awurade kronkronbea
na Israel bɛyɛɛ nʼaheman.
3Po no hwɛe, na eguanee,
Yordan san nʼakyi;
4Mmepɔw huruhuruwii sɛ adwennini,
nkoko nso huruhuruwii sɛ nguantenmma.
5Dɛn na ɛbae, ɛpo, na wuguanee?
Yordan, adɛn, na wosan wʼakyi?
6Mmepɔw, adɛn, na muhuruhuruw sɛ adwennini,
na mo nkoko, muhuruhuruw sɛ nguantenmma yi?
7Asase, ma wo ho mpopo wɔ Awurade anim,
wɔ Yakob Nyankopɔn anim,
8ɔno na ɔmaa ɔbotan no dan asubura,
na ɔbotan dennen dan nsuwa aniwa no.
Zaburi 114
Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri
1114:1 Kut 13:3; 29:46Wakati Israeli walipotoka Misri,
nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2114:2 Kut 15:17; Za 76:1; 78:68, 69Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,
Israeli akawa milki yake.
3114:3 Kut 14:21; Za 77:16; Kut 15:8; Yos 3; 16Bahari ilitazama ikakimbia,
Yordani ulirudi nyuma,
4114:4 Amu 5:5milima ilirukaruka kama kondoo dume,
vilima kama wana-kondoo.
5114:5 Kut 14:21Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,
nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,
enyi vilima, kama wana-kondoo?
7114:7 Kut 15:14; 1Nya 16:30Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,
mbele za Mungu wa Yakobo,
8114:8 Kut 17:6; Hes 20:11aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,
mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.